Huyu spider Man wa Bongo achukuliwe hatua kwa kuhamasisha ushoga akikata viuno barabarani

Huyu spider Man wa Bongo achukuliwe hatua kwa kuhamasisha ushoga akikata viuno barabarani

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Kuna video imekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana wa kiume aliyevalia mavazi ya spider Man akikata mauno barabarani kwenye zebra akicheza taarabu.

Mamlaka husika yapaswa imchukulie hatua kwa tabia mbaya alionesha akiwa kwenye zebra ya kuhamasisha ushoga.

Kijana huyu amekuwa maarufu hapa Dar.Amefanya interview ktk kituo cha redio cha Clouds FM akihojiwa na Mwijaku kwenye kipindi cha Leo Tena.Vilevile amehojiwa na kituo cha redio cha East Africa akiwa ametoka Posta mpaka Mbezi kwa miguu.

Spider Man wa mchongo atakuwa mtu maarufu sana hapa Bongo kwa ujinga wake.
 
Kuna video imekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana wa kiume aliyevalia mavazi ya spider Man akikata mauno barabarani kwenye zebra.

Mamlaka husika yapaswa imchukulie hatua kwa tabia mbaya alionesha akiwa kwenye zebra ya kuhamasisha ushoga.

Kijana huyu amekuwa maarufu hapa Dar akihojiwa na kituo cha redio cha Clouds FM na East Africa Television.
Mashoga hawawezi kuisha.
Walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo

Cha muhimu wasipewe airtime
 
Kuna video imekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana wa kiume aliyevalia mavazi ya spider Man akikata mauno barabarani kwenye zebra.

Mamlaka husika yapaswa imchukulie hatua kwa tabia mbaya alionesha akiwa kwenye zebra ya kuhamasisha ushoga.

Kijana huyu amekuwa maarufu hapa Dar akihojiwa na kituo cha redio cha Clouds FM na East Africa Television.
Bongo ukifanya mambo ya kukatika katika, kama mdada akivuavua basi atapata interview faster. Sasa uwe na jambo lako la uvumbuzi au solution kwa tatizo au unataka toa elimu hiyo interview utaiskia tu. Hawakupi kamwe.
Ila kama kukatika kunahusiana na ushoga basi waanze na band za mziki maana akina fally wanakata mauno balaa
 
Video nyingi zimekuja na sasa watu wameshazisahau, zitakuja video mpya na watu watazishabikia sana na mwisho watazisahau.
Nileteeni Mirinda nyeusi 😁😁
 
Kwahio kodi zetu zitumike kumshika huyu Bwana na kumpatia Chakula cha bure ?

Kama kwenye Jalada letu la matatizo ya nchi lina page elfu moja na hili lipo page ya 900, basi hatujamaliza hata ukurasa wa kwanza na hata top five ya matatizo bado, kumfuatilia huyu kama nchi tutakuwa hatuna tofauti naye (afadhali yeye anaburudisha watu na ana-following which means he is a showman)
 
Back
Top Bottom