Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Kuna watu walihoji wa kuajiri watu kwa kigezo cha umaarufu bila kuzingatia academic background ya presenter/ host wa kipindi itatupeleka wapi miaka kadhaa ijayo?!Hivi vyombo vyetu vya habari vimekalia ujinga ujinga tuu
Hiki ni kituo cha kwanza tujiandae kuna mengi yanakuja.