Huyu trafiki kumkaribia hivi Rais sio hatari?

Ni kama alikua na jambo lake, kwa nini aeleke kule kule kwa rais...
Msafara wa Rais huwa unatisha, walinzi, askari wenye mitutu huwezi kusema umejisahau au kupotea. Sasa yeye sijui alitaka apite chini kabisa ya Mama
 
Mkuu tuwe wakweli hapo walinzi wote walikuwa alert ndio maana amefukuzwa kusogea karibu.
Ndio walikuwa alert lakini umeona walikuwa 'concerned' naye? Wamemtizama kwa sekunde kadhaa, hizo sekunde zimekuwa destruction kwao
 
Msafara wa Rais huwa unatisha, walinzi, askari wenye mitutu huwezi kusema umejisahau au kupotea. Sasa yeye sijui alitaka apite chini kabisa ya Mama
Alikua na jambo lake, na attention waliyompa pale ni ya hatari sana...

Maana ile mistake ya concentrate nae ni mbaya sana...

Mpambe wa Rais nimependa hakua distrusted kabisa...
 
Niambieni ni kuanzia dakika ya ngapi ili na mm niangalie maana video ni ndefu
 
Alikua na jambo lake, na attention waliyompa pale ni ya hatari sana...

Maana ile mistake ya concentrate nae ni mbaya sana...

Mpambe wa Rais nimependa hakua distrusted kabisa...
Mpambe naye alishusha mikono kama kuwa tayari kwa lolote na yeye kamuangalia kwa muda mrefu wakati jamaa anaondoka
 
Sasa kam
Sasa Kamanda kapigiwa Saluti halafu hajajibu. Hii ni sawa?
 
Nimeona mkuu, Hii ni Ignorance sababu mwisho wa siku wote ni wanausalama. Hakuna atakachofanywa. Jiulize angekuwa ni Raia wa kawaida kama Bwana Petro ingekuwaje.

Hii concept ya kuamini zaid wanausalama ndo inatumika sana kwenye assasinations attempts za viongozi wengi. Mfano Laurent Kabila, Abeid Karume, n.k .

Timu ya Ulinzi wa Kiongozi tu ndo inapaswa kuwa na jukumu hilo.Tena body contact inawahusu wachache zaid kutokana na perimeter wanazopewa. Wengine wanakuwa treated kama civilians tu
 
System iliyokamilika ina CHECKS AND BALANCES.

What if ulinzi wa Raisi ulikuwa unatestiwa hapo jinsi utakavyo-react?

Cha muhimu ulinzi wa Raisi uwe makini zaidi na zaidi.

Kuna uwezekano wakapigwa chini wote hao.
 
Hata huyo kama mwanajeshi aliyekuwa anamnong`oneza Afisa wa suti nyeusi naye alimzuia. In such siyo mwanajeshi bali ni kikosi cha Tiss wenye majukumu kama hayo wanayofanya. Lakini hoja inabaki palepale kuwa kwa wao huyo Traffic ni mgeni na angeweza kuwa mtu yeyote au adui aliyejipenyeza na kusababisha harm (Let say Bomu la kudetonate manually/suicide bombing) . Walikosea kumuignore, alitakiwa azuiwe na kuhojiwa kwana.

WanaJF pia nahisi kama Tunamsagia Kunguni, maana Muslim ana sifa sana akiona hii anaweza kumuita
 
Umeongea vizuri sana, kunywa bia kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…