Huyu unaweza kuta ni Baba yake mtu au naye ana Wazazi wanasema wana mtoto wa kiume

Huyu unaweza kuta ni Baba yake mtu au naye ana Wazazi wanasema wana mtoto wa kiume

Wewe una chuki zisizo na Sababu, yeye anajua ana nufaika vipi kuwa kada wa Chama Cha mapinduzi.

Nawewe kama utaona inafaa tafuta Chama na uonyeshe mapenzi yaliyo tukuka kwa icho Chama.
Kuwa chukia wengine haitabadili maisha Yako na kutafuta maradhi ya Moyo sababu ya chuki.
Chuki ni Sumu.
Siyo kwamba Asiyejulikana anchukia. Anaelezea tu alivyo mjinga, mtu mwemye akili huru hawezi kujigeuza kinyag hivo.
 
1737303947646.jpg
 
Ni aibu sana kuwa na mtu wa hivi... Aibu mpaka mwingine unawaza watu wa namna hii waliumbwa masaa yapi wakati wa uumbaji? Mtu anavaa hivi kabisa kuonesha ukada? Huyu utakuta choka mbaya amefika hapo kwa lift au kubebwa.
View attachment 3207309

Nafikiri aliyetengeneza alijua itavaliwa; na imevaliwa, Tanzania ni nchi ambayo ina watu wengi sana wanaoitaji pesa tu kufanya mambo ya kipumbavu!

Ni kujilinda tu wewe na Jamii yako kwa Tabia hizi za hovyo!
 
Ni aibu sana kuwa na mtu wa hivi... Aibu mpaka mwingine unawaza watu wa namna hii waliumbwa masaa yapi wakati wa uumbaji? Mtu anavaa hivi kabisa kuonesha ukada? Huyu utakuta choka mbaya amefika hapo kwa lift au kubebwa.
View attachment 3207309
Nchi hii inatakiwa kusafishwa sana, watu kama hawa ni rahisi kuuza siri za nchi kwa njaa
 
Ni aibu sana kuwa na mtu wa hivi... Aibu mpaka mwingine unawaza watu wa namna hii waliumbwa masaa yapi wakati wa uumbaji? Mtu anavaa hivi kabisa kuonesha ukada? Huyu utakuta choka mbaya amefika hapo kwa lift au kubebwa.
View attachment 3207309
Mbona hii miwani imekaa kama ya wale watu wa Upinde? design hii ni kwa nini iruhusiwa wakati watu wa upande hawaungwi mkono nchini?
 
Back
Top Bottom