Hypocrite Kenyans to repatriate somalians

..I meant u should open your borders to Somalis and give them every right like Kenyan citizens.

..what rebuilding r u doing in Somalia. Mlikuwa mmelala miaka yote and u let Somalia descend into anarchy.

Do something and you are damned, do nothing and you are damned;how many people here claim we invaded somalia illegaly and conveniently forget that we employed a handsoff approach for decades ?
 
..I meant u should open your borders to Somalis and give them every right like Kenyan citizens.

..what rebuilding r u doing in Somalia. Mlikuwa mmelala miaka yote and u let Somalia descend into anarchy.

It is not our duty to do as you want, that is the work of the international community Tanzania included. If you feel that we have not done much for the Somalis as Kenyans then you are free to take over. We have hosted these refugees for over 20 years yet you claim that we have been sleeping. Didn't you sleep too when your neighbors Rwanda and Burundi were in turmoil?
 
Joka kuu,

kamanda heshima mbele.

Naona unasukuma hii bahasha ya wakenya kuwafukuza wasomali kana kwamba wamekosea. hapo nd'o sasa
mwenzio umeniacha mataani.

...Kwani wakenya wamekosea? Hebu nipe darasa.
 

yes tz are hypocrites, while their immediate neighbours rw burundi were in turmoil, they were they were forging alliances with the south
 
yes tz are hypocrites, while their immediate neighbours rw burundi were in turmoil, they were they were forging alliances with the south

we hosted over 20,000 burundi refugees for decades, some of them we even integrated (gave them citizenship), plus our leaders like Nyerere were the ones mediating burundi conflict. what are you talking about?
 
Joka kuu,

kamanda heshima mbele.

Naona unasukuma hii bahasha ya wakenya kuwafukuza wasomali kana kwamba wamekosea. hapo nd'o sasa
mwenzio umeniacha mataani.

...Kwani wakenya wamekosea? Hebu nipe darasa.
Ab-Titchaz,

..kufukuza wakimbizi ni kuvunja sheria za kimataifa zinazowalinda wakimbizi.

..hata Tanzania tuliwahi kuingia ktk "mgogoro baridi" na UN/UNHCR baada ya Raisi Mkapa kuwa-repatriate wakimbizi kutoka Rwanda.

..pia kama utakumbuka, wakati Tanzania ilipofukuza illegal immigrants hivi karibuni, SG wa EAC ambaye anatoka Rwanda, akishirikiana na maofisa habari wa EAC wanaotoka Kenya, walianza kuishambulia Tanzania kutokana na uamuzi huo. hata vyombo vya habari vya Kenya navyo vilijiunga in their assault against Tanzania.

..hoja ya SG wa EAC na genge lake ndani ya EAC, and within Kenyan and Rwandan media, ilikuwa ni kwamba Tanzania inafanya kinyume na spirit ya integration ktk eneo letu la East Africa.

..hoja zilezile ambazo walikuwa wanajenga dhidi ya Tanzania, na sisi tunazitumia ku-question uamuzi wa Kenya kuwarudisha wakimbizi wa Kisomali.

..kuna UHUNI mwingi sana unafanywa na majirani zetu. kwa mfano suala la work permits hata Kenya wameondoa fees mwezi uliopita, lakini Dr.Sezibera[EAC SG] amekuwa akitumia vyombo vya habari vya Kenya na Rwanda kuishutumu Tanzania kuhusu suala hilo, huku akiwa bubu kuilaumu Kenya.
 
Last edited by a moderator:

" Kufukuza" ? Who has done that? there is surely a distinction between repatriation and expulsion. Doesn't JokaKuu notice this distinction?
 
" Kufukuza" ? Who has done that? there is surely a distinction between repatriation and expulsion. Doesn't JokaKuu notice this distinction?

..Somalia hakuna amani kwa hiyo repatriation is out of question here.

cc Ab-Titchaz
 
Last edited by a moderator:
What are you talking about? If UNHCR is in agreement then who are you to dispute?
Kenya signs pact for refugees return to Somalia | Capital News

..basically UNHCR has forced Kenya not to use force and expel Somali refugees.

..now the repatriation will be VOLUNTARY and coordinated by UNHCR, the governments of Somalia and Kenya. governments.

..and bcuz there is no peace in Somalia, it has been agreed kwamba zoezi hili litachukua miaka 3.



cc Ab-Titchaz, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
What do you know about lack of peace in Somalia from the comfort of your computer. Tell that to a Somali and he will surely kick you.
 
What do you know about lack of peace in Somalia from the comfort of your computer. Tell that to a Somali and he will surely kick you.

..Tanzania tumewapa uraia Wasomali wakati nyinyi mnafikiria kuwafukuza. have u ever heard about Somali bantus??

..Ethiopia, Uganda,na Rwanda, wamepeleka majeshi Somalia, wakati Kenya mpo mnastarehe.

..Msaada wa Kenya kwa Somalia ni too little too late.
 
Huyu Sezibera alitoa madai kuwa kuyumba kwa EA kunatokana na kuondoa wahamiaji haramu. Leo amekaa kimya hakanushi maneno ya JK.

Yeye na genge la Wakenya wameichafua sana Tanzania kuhusu wahamiaji haramu. Jambo zuri serikali iliendelea kuwapakia katika malori bila kujali Kenya na Rwanda wanasema nini

Joka kuu Kenya inacheza politics za ajabu sana. Leo Kenya waliokuwa wanazungumzia suala la uhamaiji haramu ndio wanawafunga na kuwapiga wasomali wa kule isilii usiku wa manane kwa siri kabisa. Wasomali wengi wamepotea kiajabu hilo haliandikwi sisi tunaotembelea maeneno hayo na kule south C tunajua.

Kenya keshapata mradi wake wa miundo mbinu kwa kutumia Rwanda na Uganda. Baada ya kazi hiyo sasa anarudi kusifia hotuba ya JK kana kwamba walikuwa hawajui nini kinaendelea. Manafiki wakubwa sana hawa.

Wamegundua kuwa partner wao ni Tanzania na kwamba huko kwingine wanahanagaika tu.

Raia wa Kenya na investors wamehoji sana kuhusu EA na kama Kenya inafanya maamuzi sahihi.
Nimesoma maoni ya wasomi wao wanasosema kuwa kutosa soko la watu milioni 43 kwasababu za kisiasa kutaumiza Kenya na si Tanzania.Manafiki hawa wamegeuga tayari kama walivyofanya suala la wahamiaji haramu.
 
Wacha kujihusisha kwenye siasa za kimataifa wakati uelewa wako ni wa kitaa. Wasomali Kenya wanamiliki mkoa mzima, hivyo hata sio uraia pekee, wengi pia wapo kwenye ngazi za Kiserikali. Kenya imewapokea wakimbizi tokea nchi kadhaa ikiwemo Sudan Kusini, Somalia, DRC nk na tumehusika katika kurejesha utulivu kwenye hizo nchi. Wasomali walifanya kura yao ya urais ya kwanza nchini Kenya.
Sisi hatukua tunaingilia ugomvi wao, ila tulihusika kila walipotaka amani na mazungumzo, tukawapa platform. Hivi ilitulazimu kuingilia walipoanza kuhujumu uchumi wetu kwa kuwateka watalii. Tuliingia humo kwa ndege za kivita, meli na nchi kavu na kuhakikisha wahuni wamefagiliwa hadi wakabaki kujificha gizani. Sasa kuna Wasomali wengi wanataka rudi nyumbani, sio wakimbizi waliopo Kenya tuu, bali hata ulaya baadhi yao wakiwa wasomi na kadhalika.
Uraia tumewapa waliotaka, ila hamna kitu muhimu kama mtu kurudi nyumbani kwa watu wake, kuishi nchi nyingine hata kama umepewa uraia unabaki kuwa mtumwa tuu maana kuna mengi huwezi husika na zaidi hutakua na uzalendo wa kweli.
 
Wewe mbona unalipuka bila kuwashwa, Tanzania kwa kuwapakia wahamiaji haramu hayo yalikua maamuzi yenyu na muna uhuru wa kufanya mutakacho. Hata Id Amin aliwafukuza wahindi na kuwanyonga wengine. Wasomali Kenya sio wahamiaji haramu ila ni wakimbizi. Mkimbizi huishi nchi za kigeni kwa muda hadi amani inapopatikana nyumbani basi anarejea. Amani sasa ipo Somalia na wengi wanataka rudi kwa hiari yao, na sisi hatuwapakii kwa malori kiholela, ila ni hiari.
Waliopo Eastleigh wengi wamepata uraia na wanafanya biashara zao, ila kuna wale wanafanya uhuni kwa kutulipua kwa mabomu, hao lazima wasakwe na ikiwezekana wapigwe risasi tu. Maharamia wa Westgate walipewa hifadhi Eastleigh na wenzao. Hivyo basi lazima washughulikiwe.
Hili la EAC unalofyatuka nalo, unafaa uelewe Wakenya nia yetu siku zote sio kuungana na nchi zingine na kua nchi moja, hilo hata mimi hupinga kwa dhati, ila ushirikiano wa kibiashara. Kenya na Tanzania wamewekeza sana pale Namanga kurahisisha biashara na hukuskia malalamiko tokea Rwanda na Uganda, sasa tunapotaka wekeza katika kurahisisha usafiri wa mabehewa tokea Mombasa hadi Kigali, nyie munalalamika. Huo ndo tunaita unafiki na ufisi.
 

..hapa tunazungumzia Wasomali walioingia Kenya kama wakimbizi.

..hao ndiyo mmepewa AMRI ya kutowafukuza, mpaka watakapoondoka kwa hiari yao, and the UNHCR is watching your government.

..kwa kifupi ni kwamba Somalia hakuna amani na wakimbizi hawawezi kurudishwa kinguvu huko.
 
Tumia wakati wako kufuatilia taarifa za habari za kimataifa kabla hujajibu. Visa vya uhalifu vimepungua na wengi wamechoka na vita. Wakimbizi watarudi kwa HIARI - elewa maana ya hilo neno. Hakuna kuwapakia kwa lazima bila huruma, ila ni hiari.
 

You argument here is laughable, just because you hate Kenya does not give you the right to peddle falsehoods. The whole world ( except you of course ) know what Kenya has done for the Somalis. Even the Somalis themselves know it. Now if you really care you can receive these people on our behalf and that of the Somali government. By the way if i may ask how many Burundians did you grant citizenship status? Half a million?
 

Again, when did Rwanda deploy her troops in Somalia? See another falsehood here. Please research first Mkuu, don't just post for the sake of it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…