I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Hyo ni hulka yako tu, yaani umeumbwa hvyo nafkiri utakuwa umenielewa!.

Kuna kila bin adamu ana hulka Yake,
 
Hapa najaribu tu kuimagine jinsi kitanda chako kilivyo busy...

Anyway si jambo la ajabu kuwa na libido kuna wanawake wanahaha kutafuta kuwa hivyo...
Vitanda vinalegea 😔😔😔
 
My drive is high pia,very high indeed..changamoto nayopata ni kuwa na patners ambao wana low sex drive au ya kawaida..mwisho wa siku making love inakuwa one sided..na kila siku unaonekana we ndo unataka tuu. Asee hii hali inachoshaga sana..I truly wish ningepataga a patner like you no lie..
Nlikua sina uvumilivu kwa partner asiependa, yani no discuss you don't like sex basi tuachane
 
Kama kisu cha bucha vile kinavyoisha na makali yake na wewe Unazeeka na utamu wako😂😂😂😂😂😂
 
Ni maumbile tu,lakini hata ukiwa na mtu HUAMINIKI na pia HUJIAMNINI ukisafiri hata kwa siku nane tu.
Wanawake wa aina yako ni wale unakutananao hotelini,baada ya kuwasili mji mgeni,akishaoga anakaa pale bar anaagiza kinywaji baadae munaunga urafiki wa ghafla munatoka kidogo,mukirudi muko room moja.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom