I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Kwa Upande wangu nafikiri kitakachokutoa hapo ni wewe kuwa mcha Mungu zaidi. ni hii itakuwa nzuri kama tayari unaye mmoja unayeishi naye au boyfried. Katika hali ya kawaida hii itakuwa ngumu sana hasa ukichukulia maisha ya sasa ambayo hata sisi wanaume uwezo wa kufanya hii kitu unapungua sana kutokana na hali ya maisha ya sasa. Kama ni mkristo jitahidi uwe unaenda maombi ya mara kwa mara hata ikiwezekana jiunge na kikundi cha kwaya ya kanisa hii kitu itaisha. Kama unapenda kujirusha forget kumaliza hii kitu otherwise uwe na wanaume watano kama siyo saba..Kila la heri

Nyege hazimalizwi kwa Sala. Dudu ni dawa yake
 
Kwa Upande wangu nafikiri kitakachokutoa hapo ni wewe kuwa mcha Mungu zaidi. ni hii itakuwa nzuri kama tayari unaye mmoja unayeishi naye au boyfried. Katika hali ya kawaida hii itakuwa ngumu sana hasa ukichukulia maisha ya sasa ambayo hata sisi wanaume uwezo wa kufanya hii kitu unapungua sana kutokana na hali ya maisha ya sasa. Kama ni mkristo jitahidi uwe unaenda maombi ya mara kwa mara hata ikiwezekana jiunge na kikundi cha kwaya ya kanisa hii kitu itaisha. Kama unapenda kujirusha forget kumaliza hii kitu otherwise uwe na wanaume watano kama siyo saba..Kila la heri
Asijiunge na kwaya huyu atamaliza wanakwaya atawasambazia raha hadi wakome
 
Hapa najaribu tu kuimagine jinsi kitanda chako kilivyo busy...

Anyway si jambo la ajabu kuwa na libido kuna wanawake wanahaha kutafuta kuwa hivyo...
Kaka umeniangusha sana aseeee na nmeona kumbe mentor ndo anamiliki eti daaah
 
ingekuwa wewe ni me ndio ingekuwa shida kwani huenda ungetumia pesa nyingi kuhonga ila kwa kuwa wewe ni ke usichezee hicho kipaji tuchune haswaa wale tutakao jipitisha kwako yani unakuwa na double advantages huku unapunguza nyege huku unapata mkwanja!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom