Umeniponda ili ule kitu, haya mkuu.Acha hizo mkuu, **** ikiichoka kwa mwenzio ni mupyaa.
Naitamani sana nafasi kwa huyu dada inaelekea ana viwango vyake avitakavyo lkn hajavipata
Tuttyfruity
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi nawe siku zote ni washindani.Umeniponda ili ule kitu, haya mkuu.
Labda utasaidie MkuuHivi na wale watatu ambao walikuwa hawafahamiani alitoa hitimisho lao?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]Mtani wangu Patience123 nampenda sana, and she knows it.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi nawe siku zote ni washindani.
Patience123 yu wapi siku hizi?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Huyo dada ni mwanamke bora kabisa I see, lile fukuto sitalisahau hakika.[emoji23][emoji23]Mtani wangu Patience123 nampenda sana, and she knows it.
Wanawake wa aina hiyo Mara nyingi wanakuwaga na Jini mahaba ndiyo huwa yanawaendesha Kama Gari bovu!!Wewe ukishalala na mwanaume ndo unamkinai???.
Huwa mnapima????.
Nyuzi zako zote ni umepata, umekinai, umepata, umekinai ...
Mwanamke wa aina gani wewe ???.
Kiukweli, wewe na wa aina yako... Mnahaja ya kubadilika...
Thamanisha mwili wako.!!!!!
Huyo kaona hautoshi kwenye ile nafasi ya mke anayemtarajia...... naamini hajakuelewa,. ..upo sahihi ku-move on.Nimekuelewa boss. Mimi sikutaka kumbana hata kidogo. Nilimpa nafasi jummamosi aspend na marafiki zake. Ili jumapili tuwe wote. Yeye sasa jumamosi na jumapili zote anakua ametingwa. Siku za kazi anatoka kazini saa 2 usiku inakua ngumu kuonana. Nilishindwa hapo. Weekend nzima hata nikimpigia hapokei. Kuna mahusiano hapo au napoteza mda wangu?
Kumbe unamkubali eeh!Huyo dada ni mwanamke bora kabisa I see, lile fukuto sitalisahau hakika.
Patience123
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Tako,Elimu,tabia nzuri na kazi nzuri unavyo vyote hivyo!? Au wataka kutupiga Mahari kubwa for nothing!!Insha Allah!! Kwetu mahari sio chini ya $5000 [emoji4]
Kwa jinsi abnavyobadilisha njemba, nampa kongole anayekuja kuwa mume.Tako,Elimu,tabia nzuri na kazi nzuri unavyo vyote hivyo!? Au wataka kutupiga Mahari kubwa for nothing!!
Kwa hiyo Jamaa ako hakuwa Rizikii...!! Daah...Nnavyozidi kufikiria ndo kichwa kinazidi kupata moto. Astaghafiru naskia kutapika.
Anyways alinipa historia yake at one point alikua street kid yani baada ya wazazi wake kufariki alilelewa na aunty yake ambae alikua anamtuma akauze mayai ya kuchemsha stendi. Alikua anashinda huko siku nzima na kurudi home saa 7 usiku. Nikafkiria mtoto mdogo akiishi maisha hayo anakua exposed na vitu vingi.
Sex wise akifanya bila kondom anamaliza ndani ya dakika moja ila akivaa condom ndo afadhali. Sikutaka kumuhoji sana coz I didn't want kumuingilia privacy yake. Plus utamuulizaje mwanaume kama aliwahi kua abused utotoni.
Sex hapendi yani mara nyingi ilikua kama namforce na anaonekana hes not enjoying it.
Too much info [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi huyo atakua njia mbili,na anapendelea njia ya pili zaidi kuliko kutumia njia kuu!Nnavyozidi kufikiria ndo kichwa kinazidi kupata moto. Astaghafiru naskia kutapika.
Anyways alinipa historia yake at one point alikua street kid yani baada ya wazazi wake kufariki alilelewa na aunty yake ambae alikua anamtuma akauze mayai ya kuchemsha stendi. Alikua anashinda huko siku nzima na kurudi home saa 7 usiku. Nikafkiria mtoto mdogo akiishi maisha hayo anakua exposed na vitu vingi.
Sex wise akifanya bila kondom anamaliza ndani ya dakika moja ila akivaa condom ndo afadhali. Sikutaka kumuhoji sana coz I didn't want kumuingilia privacy yake. Plus utamuulizaje mwanaume kama aliwahi kua abused utotoni.
Sex hapendi yani mara nyingi ilikua kama namforce na anaonekana hes not enjoying it.
Too much info [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitufanyie hivyo,Halafu 2021 atakuja jamaa yetu kabisa, atatangaza nia dadeq, atapangiwa mahari ya 3+million. Atawehuka kuzitafuta ili aweke chuma ndani.
I insist, japo nipo nje ya mada, tusitishe mahari jamani.
Mapenzi hajapata mwenyewe...na hayajawahi kuwa fair kabisaUsitufanyie hivyo,
ila ishu za mahusiano bhana ni ngekewa tu kuna bikira ye kaolewa kwa laki 1 tu, ila yule anaejiuza anatolewa mahari mamilioni ya pesa
Kukanyaga mafuta?Round ya pili Mungu akufanyie wepesi usikosekane kwa mwamposa
Mkuu kwani wewe hupendi maisha mazuri?Kwanini unahangaika na wenye hela?
Mkuu kwani wewe hupendi maisha mazuri?Kwanini unahangaika na wenye hela?