Usitufanyie hivyo,
ila ishu za mahusiano bhana ni ngekewa tu kuna bikira ye kaolewa kwa laki 1 tu, ila yule anaejiuza anatolewa mahari mamilioni ya pesa
Ndio
Moyo ukidondoka unatoa tu hizo millions tena na nyongeza juu, achana na hii kitu rafiki yanguNisamehe basi Noelia,
Japo nina mkakati wa kuwa vuvuzela ili mahari isitishwe, haiwezekani mnatufanyia hivi. Kuna vijana hawajawahi kuzifumua bikira halafu leo mnawatoza milioni tano kweli?
Ni kweli, mapenzi yana siri nzito!!Moyo ukidondoka unatoa tu hizo millions tena na nyongeza juu, achana na hii kitu rafiki yangu
Aahh kwenda zako !!!.
So, why are you looking for validations from complete online strangers? Kama sio tangazo kweli ungekaa kimya tu, kila mtu akianza kuleta upupu kama wako si tutajaza server za JF sasa.Nianze kwa kusema hili sio tangazo. Siwezi nikajitongozesha JF.
Umeamkaje leo Doc..πππππKamanzi kaajabu kweli , alafu kanaongea kapo kametuliaa utadhan kanakunywa chang'aa.
Alafu kanajiwahi... "Siwezi kujitongozesha kwa Wanaumee"......
Ili wana wakaone kamtu ,wakakimbilieee huko PM... mwisho wakale , .. Asubuh biashara, jion majesabu.
Nataka nikutoe huko chamaniHuenda just huenda hakuwa comfortable around you ndo maana marafiki zake wakimuita anaenda kwa haraka na anakuja nao hadi kwa dates zenyu.
Anyway karibu chamani.
Hapana ahsanteeNataka nikutoe huko chamani
Bora umemkataa.Hapana ahsantee
Hapo ndipo utaijua nguvu ya Chawa πππ !!!Probably. I was thinking the same labda wamemeroga coz the situation doesn't look Normal. Marafiki zake wote wapo wapo tu hawana maisha yeye tu ndo mambo safi. Anyways mambo ya kishirikina siyapi sana kipaumbele.
Ahsante. Gym tu na kula kwa kiasiBado una umbo zuri!
Imagine!! πππHapo ndipo utaijua nguvu ya Chawa πππ !!!
Wakati unapambana kudanga wahuni wanakaza wakanywe bia za bure samaki samaki.
Mzee wake wa mtoto mritoo
NaaamHahahaha, mambo vipi ,usimwambie mtoto mrito km umeniona huku