- Thread starter
- #61
Mbinguni aitwa Baba,
Akiwa katika mwili wa mwanadamu aitwa Mungu mwana,
Akiwa katika kuwahudumia mwanadamu Dunia nzima Kwa wakati mmoja, anaitwa Roho mtakatifu. Lakini anabaki kuwa Mungu Mmoja .
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.
Amen
Akiwa katika mwili wa mwanadamu aitwa Mungu mwana,
Akiwa katika kuwahudumia mwanadamu Dunia nzima Kwa wakati mmoja, anaitwa Roho mtakatifu. Lakini anabaki kuwa Mungu Mmoja .
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake.
Amen