min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Rabbon hivi unajua hapo ulipo mimi natamani uvuke ufike level nyingne kabisa utajiona ulikua mjinga sana DR Mambo Jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamini Yesu Kwa kufuatisha Sala hapo juu Kisha tuendelee, nikusaidie umjue.Kwa ku thibitisha tu
🤣🤣😅😅Rabbon hivi unajua hapo ulipo mimi natamani uvuke ufike level nyingne kabisa utajiona ulikua mjinga sana DR Mambo Jambo
Hivi mkuu nikikuambia huku nilishavuka huwa unanielewa kwel 🤔🤔Mwamini Yesu Kwa kufuatisha Sala hapo juu Kisha tuendelee, nikusaidie umjue.
Kumjua Yesu/ Mungu ni zaidi ya mahusiano ya mke na mume au mama na mtoto tumboni.
Ni uhusiano wa karibu sana, unaongea naye, unamsikia na kumuona kabisa katika Roho.
Mimi NIKO hatua ya juu kuliko zote.Rabbon hivi unajua hapo ulipo mimi natamani uvuke ufike level nyingne kabisa utajiona ulikua mjinga sana DR Mambo Jambo
Jamaa zako wamekuita kuomba msaada uwasaidie.🤣🤣😅😅
Rabbon Tatizo kashikilia Mawazo aliyofundishwa na kajibana sana kwenye Kibox na Hataki Kutoka Humo
Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo 😅😅😅😅 mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisa😅😅🤣🤣😅😅
Rabbon Tatizo kashikilia Mawazo aliyofundishwa na kajibana sana kwenye Kibox na Hataki Kutoka Humo
Thibitisha unapanda kwenda juuu na sio kushuka chini😂😂😂Mimi NIKO hatua ya juu kuliko zote.
Wewe ndio unahitaji upande viwango,
Viwango vyako unapanda kushika chini,
Mimi napanda kwenda juu.
Karibu 🙏
🤣Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo 😅😅😅😅 mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisa😅😅
Hahahaha mimi niombe msaada😅😅😅😅 ??? Au nitoe msaada ikiwa pamoja na kukupa msaada wewe🤔🤔🤔Jamaa zako wamekuita kuomba msaada uwasaidie.
Ingawa pia wote nawawwza Kwa msaada wa Mungu Roho mtakatifu.
Mungu ni MMOJA tu.Thibitisha unapanda kwenda juuu na sio kushuka chini😂😂😂
Nikuambie tu japo imani zote ni utapeli tu ila ningeamua kuwa na imani ningekua mwislamu kuliko kuwa mkristo niulize kwa nini🤔🤣
Waislamu ni level ya chini sana.
Wanajua mengi ya chini kuliko ya juu🤔
Yaani wewe kipofu unayeamini unaona,Hahahaha mimi niombe msaada😅😅😅😅 ??? Au nitoe msaada ikiwa pamoja na kukupa msaada wewe🤔🤔🤔
Thibitisha uwepo wa Mungu na mbinguni kwanza 🤔Mungu ni MMOJA tu.
Na KITI Cha enzi chake Kiko juu Mbinguni.
Unalijua Hilo?
Kwa sababu Giza na uislamu vimekaribiana sana.Nikuambie tu japo imani zote ni utapeli tu ila ningeamua kuwa na imani ningekua mwislamu kuliko kuwa mkristo niulize kwa nini🤔
Mkuu wewe ni mlokole tu hauna uwezo wakujua chochote kuhusu maumbile tofauti na imani ambayo bado ipo kwenye box😅😅Yaani wewe kipofu unayeamini unaona,
Unisaidie Mimi niliye na msaada wa Roho mtakatifu ndani yangu?
Mimi nayajua yote katika Roho, wewe unajua vichache sana.
Sasa kumbe huna hatua yoyote ulovuka.Thibitisha uwepo wa Mungu na mbinguni kwanza 🤔
Haipo Elimu iliyo juu zaidi ya walokole.Mkuu wewe ni mlokole tu hauna uwezo wakujua chochote kuhusu maumbile tofauti na imani ambayo bado ipo kwenye box😅😅
Anafikiri wote hatujatoka Huko..Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo 😅😅😅😅 mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisa😅😅
Hapa kwenye kuuokoa ulimwengu inanichanganya,yeye ni muweza wa yote inakuwaje aumbe watu watu waliomgeuka?(Yohana 10:17-18)
Hakuna mtu aniondoleaye uhai wangu, Bali Mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uwezo wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena.
...... mwisho wa kunukuu....
Ndipo ujue hata Malaika mtoa Roho hakuweza kupita na Roho ya Yesu, maana Yesu ndiye huyo huyo Mungu Mmoja.
Aliutoa uhai katika mwili wa mwanadamu Kisha kuurejesha tena.
Kulia, kuhuzunuka ni mwili wa nyama na hisia za kimwili maana alivaa mwili na kuwa kama mwanadamu Ili kuuokoa Ulimwengu, lakini KATIKA Roho, alikuwa huyo huyo Mungu Mmoja.
Amen