I and the FATHER are one!

Kwa ku thibitisha tu
Mwamini Yesu Kwa kufuatisha Sala hapo juu Kisha tuendelee, nikusaidie umjue.

Kumjua Yesu/ Mungu ni zaidi ya mahusiano ya mke na mume au mama na mtoto tumboni.

Ni uhusiano wa karibu sana, unaongea naye, unamsikia na kumuona kabisa katika Roho.
 
Mwamini Yesu Kwa kufuatisha Sala hapo juu Kisha tuendelee, nikusaidie umjue.

Kumjua Yesu/ Mungu ni zaidi ya mahusiano ya mke na mume au mama na mtoto tumboni.

Ni uhusiano wa karibu sana, unaongea naye, unamsikia na kumuona kabisa katika Roho.
Hivi mkuu nikikuambia huku nilishavuka huwa unanielewa kwel πŸ€”πŸ€”
 
Rabbon hivi unajua hapo ulipo mimi natamani uvuke ufike level nyingne kabisa utajiona ulikua mjinga sana DR Mambo Jambo
Mimi NIKO hatua ya juu kuliko zote.

Wewe ndio unahitaji upande viwango,

Viwango vyako unapanda kushika chini,

Mimi napanda kwenda juu.

Karibu πŸ™
 
πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…
Rabbon Tatizo kashikilia Mawazo aliyofundishwa na kajibana sana kwenye Kibox na Hataki Kutoka Humo
Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisaπŸ˜…πŸ˜…
 
Mimi NIKO hatua ya juu kuliko zote.

Wewe ndio unahitaji upande viwango,

Viwango vyako unapanda kushika chini,

Mimi napanda kwenda juu.

Karibu πŸ™
Thibitisha unapanda kwenda juuu na sio kushuka chiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisaπŸ˜…πŸ˜…
🀣

Waislamu ni level ya chini sana.

Wanajua mengi ya chini kuliko ya juuπŸ€”
 
Jamaa zako wamekuita kuomba msaada uwasaidie.

Ingawa pia wote nawawwza Kwa msaada wa Mungu Roho mtakatifu.
Hahahaha mimi niombe msaadaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ??? Au nitoe msaada ikiwa pamoja na kukupa msaada weweπŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
🀣

Waislamu ni level ya chini sana.

Wanajua mengi ya chini kuliko ya juuπŸ€”
Nikuambie tu japo imani zote ni utapeli tu ila ningeamua kuwa na imani ningekua mwislamu kuliko kuwa mkristo niulize kwa niniπŸ€”
 
Hahahaha mimi niombe msaadaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ??? Au nitoe msaada ikiwa pamoja na kukupa msaada weweπŸ€”πŸ€”πŸ€”
Yaani wewe kipofu unayeamini unaona,

Unisaidie Mimi niliye na msaada wa Roho mtakatifu ndani yangu?

Mimi nayajua yote katika Roho, wewe unajua vichache sana.
 
Nikuambie tu japo imani zote ni utapeli tu ila ningeamua kuwa na imani ningekua mwislamu kuliko kuwa mkristo niulize kwa niniπŸ€”
Kwa sababu Giza na uislamu vimekaribiana sana.
 
Yaani wewe kipofu unayeamini unaona,

Unisaidie Mimi niliye na msaada wa Roho mtakatifu ndani yangu?

Mimi nayajua yote katika Roho, wewe unajua vichache sana.
Mkuu wewe ni mlokole tu hauna uwezo wakujua chochote kuhusu maumbile tofauti na imani ambayo bado ipo kwenye boxπŸ˜…πŸ˜…
 
Thibitisha uwepo wa Mungu na mbinguni kwanza πŸ€”
Sasa kumbe huna hatua yoyote ulovuka.

Tuanzie na hatua Moja,

Mwamini kwanza Mungu yupondipo tuendelee.
 
Mkuu wewe ni mlokole tu hauna uwezo wakujua chochote kuhusu maumbile tofauti na imani ambayo bado ipo kwenye boxπŸ˜…πŸ˜…
Haipo Elimu iliyo juu zaidi ya walokole.

Mlokole ni habari ingine, muulize baba yenu Shetani atawaambia na kuthibitisha.
 
Hahahaha alivyojibana sijui kama anafahamu hata mimi nilijibana hivyo hivyo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mbaya zaidi kabla ya kujibana ;mimi nilikua mwislamu safi kabisaπŸ˜…πŸ˜…
Anafikiri wote hatujatoka Huko..

Hii ni sawa na Mtoto wKo mwenyewe anapobalehe anaanza kukudanganya Vitu anahisi Wewe Hukupitia Balekhe..
Na ukiona hivyo unakuwa unamkubalia Ili aendelee kukuona Hujui ili awe huru πŸ˜…πŸ˜…
 
Hapa kwenye kuuokoa ulimwengu inanichanganya,yeye ni muweza wa yote inakuwaje aumbe watu watu waliomgeuka?
Hawa watu wana uwezo mkubwa kuliko yeye aliyewaumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…