EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mi ni mtu mwenye aibu saana na sio muongeaji, home walishanizoea nikisalimia naingia rum kwangu nafanya yangu, iwe kuchati au kusoma au chochote but I like being alone.
Changamoto ni kukaa na watu wengi hasa wageni huwa sina cha kuchangia kwenye mazungumzo yao.
Turudi kwenye Mada nipo Doma kikazi kwa wiki 2 nlipofika nikaanza kupitishwa ofisi moja baada ya nyingine kutambulishwa, kiukweli sijapenda maana kazi yangu haiwahusu ALL STAFFS ni mafails tuu basi wangekusanyika tukatambuana.
Hii ni kama nipoanza kazi ishu ilikua hivi hivi.
Hata ukienda kusali kanisa geni unaambiwa usimame ujitambulishe I hate this!
Nahisi ni ugonjwa wangu ila napenda sana kuwa alone home au kazini.
Dar ofisini walishanizoea nikikaa ofisini kwangu kuamka labda naenda chooni au kuna kitu natafuta.
Home napenda saana kukaa ndani naangalia tv au kuchati kwa grups hata one to one chats pia naboreka. Nikiwa naendesha huwa hata mziki nazima nisikilize " my intuitions and thoughts and imaginations and I don't know whats"
Thats me niki named Einstein112
Ila napenda saana marafiki nikiwa "pombeni"
Mnizoee bure but I was raised in a very good Christian family
Jana nkiwa hapa Dom akaja bosi mmoja akaniambia "mbona umekaa mwenyewe siku nzima ? Watembelee wenzako ujichanganye nao"
[emoji851][emoji851][emoji851] nkamuitikia "nlikua na family problems tu" akaniacha.
Sipendi saaaaana kutambulishwa sijui ni ugonjwa au vipi?
Kuna mwenye tabia kama yangu??
Tiririka hapa. Ila napenda kuchati saaana yani ukiniacha na simu mie burudani kabisa
That's me Einstein112
Why 112???? It was my favour group back in time
Ni listen to "SKY IS THE LIMI" by B.I.G ft 112
HAVE A NICE DAY GUYS
Tukutane jioni watu wangu Dom
Changamoto ni kukaa na watu wengi hasa wageni huwa sina cha kuchangia kwenye mazungumzo yao.
Turudi kwenye Mada nipo Doma kikazi kwa wiki 2 nlipofika nikaanza kupitishwa ofisi moja baada ya nyingine kutambulishwa, kiukweli sijapenda maana kazi yangu haiwahusu ALL STAFFS ni mafails tuu basi wangekusanyika tukatambuana.
Hii ni kama nipoanza kazi ishu ilikua hivi hivi.
Hata ukienda kusali kanisa geni unaambiwa usimame ujitambulishe I hate this!
Nahisi ni ugonjwa wangu ila napenda sana kuwa alone home au kazini.
Dar ofisini walishanizoea nikikaa ofisini kwangu kuamka labda naenda chooni au kuna kitu natafuta.
Home napenda saana kukaa ndani naangalia tv au kuchati kwa grups hata one to one chats pia naboreka. Nikiwa naendesha huwa hata mziki nazima nisikilize " my intuitions and thoughts and imaginations and I don't know whats"
Thats me niki named Einstein112
Ila napenda saana marafiki nikiwa "pombeni"
Mnizoee bure but I was raised in a very good Christian family
Jana nkiwa hapa Dom akaja bosi mmoja akaniambia "mbona umekaa mwenyewe siku nzima ? Watembelee wenzako ujichanganye nao"
[emoji851][emoji851][emoji851] nkamuitikia "nlikua na family problems tu" akaniacha.
Sipendi saaaaana kutambulishwa sijui ni ugonjwa au vipi?
Kuna mwenye tabia kama yangu??
Tiririka hapa. Ila napenda kuchati saaana yani ukiniacha na simu mie burudani kabisa
That's me Einstein112
Why 112???? It was my favour group back in time
Ni listen to "SKY IS THE LIMI" by B.I.G ft 112
HAVE A NICE DAY GUYS
Tukutane jioni watu wangu Dom