I hate first days

I hate first days

We ndio upo kama mimi mkuu, sijui tatizo lilianzia wapi ila mi toka mdogo ndivo nilivyo, kama sina kitu cha kufanya naenda zangu kulala hata kama ni mchana
Kuwa peke yako, sometimes, ama most of the times, siyo jambo geni wala crime. Tatizo linakuja pale UNAPOSHINDWA kujichanganya, kuunda marafiki kirahisi, ama kufurahia social environment au hata kuwakeep marafiki au kudumisha positive conversation na communication. Seriously, huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Halafu, ukweli mchungu, ni ugonjwa wa akili.
 
Acha kabisa
Nimepoteza marafiki almost wote
Kukiwa na get together siendi au nikienda nakua tu bored
Kukiwa na mitoko natafuta excuses
Siku hizi hata simu hawapigi
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jina
 
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jina

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wavuta-sigara na walevi wengi ukiwashauri waache kujidhuru kiafya, tena kwa hoja za kitaalamu kabisa, watakwambia hivihivi kama wewe, ^Fulani na fulani alikuwa anavuta sigara 100 kwa siku tena ameisha muda mrefu sana tu.^ Huu nao ni ugonjwa mwingine. Kumbe unapenda ugonjwa huo!??? Sasa why unataka uukimbie!???


Siku ukijifunza maana ya ubinafsi na jinsi ya kuuondoa, utakuwa umevumbua jambo kubwa sana, mithili ya Newton na ile falling ^apple^ ama Archimedes na ^heureka^ (I have found).
Asante Dr ntajaribu kuacha ndio maana kama umenifuatilia kwa wiki moja na nusu nipo sana viwanja vya kujichanganya
 
Ila kuu kuna kipindi mwaka juzi tulikutana 5N temboni I hope hunikumbuki maana ilikuwa saa5 usiku ulikuwa na Member mmoja wa humu namsahau jina

Imagine yule member siyo rafiki yangu tena

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
We jamaa nimekukubali ulivyoambatanisha hiyo cover..
Humo ndani
1. Natoriuos thugs
2. Whats Beef
3. You're nobody
4. Niggas bleed

Ukijumlishia na Warning from Ready to die
Ukijumlisha na Wu Shot Ya

Unataka story na watu za nini? Just listen to your intuitions..
Pmoja sana mkuu hii ngoma wakati inaanza kuna mama yake na B.I.G anamwambia "....I want you yo hold on to that dream son"
 
Daah,mkuu polesana ww nikatika kundi lile lawatu wakimya,wapole,haupendi makuu..amani kwako ndio jiwe lamsingi kabisa,huo sio ugonjwa niasiri yandani kabisa.
Hata mm nipo hivo ila sio zaid kama ulivo sema..kwani mm ninayamudu mazingira vizuri japo ilinichukua muda sana.
tUpo pamoja saaana mkuu
 
Kuwa peke yako, sometimes, ama most of the times, siyo jambo geni wala crime. Tatizo linakuja pale UNAPOSHINDWA kujichanganya, kuunda marafiki kirahisi, ama kufurahia social environment au hata kuwakeep marafiki au kudumisha positive conversation na communication. Seriously, huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Halafu, ukweli mchungu, ni ugonjwa wa akili.
I do socialise but I like being alone I feel much better
 
Hamna ni kupotezeana tu yaani iko hivyo kwa marafiki nnaokutana nao tunaweza hang out mara kadhaa
Najikuta bored basi inaisha hivyo
I don’t pick up calls, I don’t text back
Haya bhana ndio maisha uliyojichagulia
 
Back
Top Bottom