I hate first days

I hate first days

Mi ni mtu mwenye aibu saana na sio muongeaji, home walishanizoea nikisalimia naingia rum kwangu nafanya yangu, iwe kuchati au kusoma au chochote but I like being alone.

Changamoto ni kukaa na watu wengi hasa wageni huwa sina cha kuchangia kwenye mazungumzo yao.

Turudi kwenye Mada nipo Doma kikazi kwa wiki 2 nlipofika nikaanza kupitishwa ofisi moja baada ya nyingine kutambulishwa, kiukweli sijapenda maana kazi yangu haiwahusu ALL STAFFS ni mafails tuu basi wangekusanyika tukatambuana.

Hii ni kama nipoanza kazi ishu ilikua hivi hivi.

Hatavukienda kusali kanisa geni unaambiwa usimame ujitambulishe I hate this!

Nahisi ni ugonjwa wangu ila napenda sana kuwa alone home au kazini.
Dar ofisini walishanizoea nikikaa ofisini kwangu kuamka labda naenda chooni au kuna kitu natafuta.

Home napenda saana kukaa ndani naangalia tv au kuchati kwa grups hata one to one chats pia naboreka. Nikiwa naendesha huwa hata mziki nazima nisikilize " my intuitions and thoughts and imaginations and I don't know whats"

Thats me niki named Einstein112
Ila napenda saana marafiki nikiwa "pombeni"

Mnizoee bure but I was raised in a very good Christian family

Jana nkiwa hapa Dom akaja bosi mmoja akaniambia "mbona umekaa mwenyewe siku nzima ? Watembelee wenzako ujichanganye nao"

[emoji851][emoji851][emoji851] nkamuitikia "nlikua na family problems tu" akaniacha.

Sipendi saaaaana kutambulishwa sijui ni ugonjwa au vipi?

Kuna mwenye tabia kama yangu??
Tiririka hapa. Ila napenda kuchati saaana yani ukiniacha na simu mie burudani kabisa

That's me Einstein112

Why 112???? It was my favour group back in time

Ni listen to "SKY IS THE LIMI" by B.I.G ft 112

HAVE A NICE DAY GUYS

Tukutane jioni watu wangu DomView attachment 1821317
Hii track puffy aliinyonga kisawa sawa

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Mi nikiwa bar huwa muongeaji sana ila nikiwa sober napenda kuwa mwenyewe. My mind travels a thousands miles away.
Una aibu sana au inferiority complex...na hiyo huwa inaondolewa na pombe. Madhara yake siku unaweza kunywa kupitiliza ukafanya vituko na kesho yake ukajuta. Au unaringa unajiona una pesa au akili nyingi.
 
Una aibu sana au inferiority complex...na hiyo huwa inaondolewa na pombe. Madhara yake siku unaweza kunywa kupitiliza ukafanya vituko na kesho yake ukajuta. Au unaringa unajiona una pesa au akili nyingi.
Inferiority complex naogopa nini kwa mfano?? Najua kukontro kichwa changu gauge ikisoma nasepa
 
Jamaa umeniwahi

Toka jumatatu Natamani kuanzisha uzi nipate ushauri namna ya kubakia na watu bila kuwapoteza

Nina tatizo kama lako na Kadri siku zinavyosonga naona linazidi

Toka nikiwa mdogo nilipendelea kukaa mwenyewe,na mpaka Hivi sasa,
Naweza kwenda kwenye mkusanyiko nisiconect na mtu yoyote mpaka naondoka

Nikipata mgeni naona kama ananiboa, nahitaji tu kukaa mwenyewe

Tukikutana na mtu anaweza akaanzisha mazungumzo mpaka akachoka mpaka labda nimzoee sana ila at the end nitampotezea

Naweza nikapata marafiki Wapya ila baada ya muda nikawapotezea tu.

I don’t know how to keep people at all.
Tupo Pa1 hapa.
 
Kwani kuna maisha matamu km kuwa lonely.? Naenjoy kwa kweli kuwa alone ev time en where.
 
You are an introvert. You enjoy your "me" time. Miaka ya nyuma nilikuwa na tabia kama hiyo ilichangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi. Ilikuweza kuchangamka ilinibidi ninywe pombe ila nikajakugundua pombe hainipi uhalisia wa tabia yangu.

Hivyo basi, taratibu nikaanza kujifunza kujichanganya na watu, na kuboresha my esteem. Kadiri siku zilivyosogea na kwa kujifanyia self-analysis I transitioned to being open to people.

DOWNSIDE OF INTROVERT

1. Jamii inaweza kukuona kama uncaring "mashauzi"
2. Missing out on opportunities
3. Failing to learn from people
4. Unaweza kukosa pisi kali kisa umejitenga
5. Stress level zinakuwa juu.. You might even commit suicide kwa kusoa wa kuongea nae.

BENEFITS
1. You get enough time to concentrate on important matters of life and being perfect at it

2. Most times, introverts are geniuses
 
Sasa unachart na kina nani mkuu? Kwasababu charting ili zinoge ni vizuri mkajuana hata utani wa hapa na pale ni rahisi. Tukionana huongei kwenye simu ndo unachart kama nini sa si utaonekana mnafki kwa wana.
Amefanana na dada mmoja tulijuliana fb, kwenye chating na video call atakuonyesha kila utakacho adi utupu, siku tumeonana live ana aibu iliyopitiliza, ukimwangalia anaangalia kwingine au kama ana mtandio anajifunika usoni akiacha kanafasi kidogo ka kuchungulia, hata siku tulizoenda tukioni sijawahi kuangaliana nae live zaidi ya sekunde 3. Sielewi hao viumbe dizaini hii nini kinawapata
 
Amefanana na dada mmoja tulijuliana fb, kwenye chating na video call atakuonyesha kila utakacho adi utupu, siku tumeonana live ana aibu iliyopitiliza, ukimwangalia anaangalia kwingine au kama ana mtandio anajifunika usoni akiacha kanafasi kidogo ka kuchungulia, hata siku tulizoenda tukioni sijawahi kuangaliana nae live zaidi ya sekunde 3. Sielewi hao viumbe dizaini hii nini kinawapata
sikuamini mkuu hebu nipe namba yake nimpigie nihakikishe
 
Back
Top Bottom