EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #61
Pamoja sana mkuuKama ndiyo hivi, basi sina ugomvi na wewe. Lakini ulivyoandika tangu mwanzo kuna uwalakini. Anyways!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana mkuuKama ndiyo hivi, basi sina ugomvi na wewe. Lakini ulivyoandika tangu mwanzo kuna uwalakini. Anyways!!!
Ushauri wangu: Use more of your brain than your feelings to make life decisions. Call imeingia, usipoipik hiyo ni foolhardy na ignorance. Why do you own a phone, even!??? Unless una hakika kwamba wote wanaokupigia na kutext ni full mediocre, hapo sawa.Hamna ni kupotezeana tu yaani iko hivyo kwa marafiki nnaokutana nao tunaweza hang out mara kadhaa
Najikuta bored basi inaisha hivyo
I don’t pick up calls, I don’t text back
Nakuwa naona sihitaji tu kuongea na mtuUshauri wangu: Use more of your brain than your feelings to make life decisions. Call imeingia, usipoipik hiyo ni foolhardy na ignorance. Why do you own a phone, even!??? Unless una hakika kwamba wote wanaokupigia na kutext ni full mediocre, hapo sawa.
Inapobidi muu huwa najichanganya ila siwi conformable, mtu akiniongelesha saana naona ananikera ila simwambii tu. ila nikipiga Kili zagu 4 tunastorika hadi asubuhi but not when I'm soberJitahidi kujichanganya na watu mbalimbali pale inapobidi kufanya hivyo.
Mi hata kuwa na mpenzi anayenipigia au kunitext kila mara huwa namchoka mapema saana, nipigie au kunitext ukiwa na jambo la msingi la kunishirikisha.nakuwa naona sihitaji tu kuongea na mtu
Kiafya hapana wala kisaikolojia ni hivyo ndivyo nlivyo toka zamani kabisaHakuna kasoro hapo unless kama ushawahi pata shida ya kisaikolojia au kiafya...
Kiafya hapana wala kisaikolojia ni hivyo ndivyo nlivyo toka zamani kabisa
Asante mkuuThen ishi hivyo ulivyo mkuu...upo fresh kabisa
Ukiwa na waroma ishi kama wao, ukiwa na wachina ishi kama wao n.k
I wish I was this wayJamaa umeniwahi
Toka jumatatu Natamani kuanzisha uzi nipate ushauri namna ya kubakia na watu bila kuwapoteza
Nina tatizo kama lako na Kadri siku zinavyosonga naona linazidi
Toka nikiwa mdogo nilipendelea kukaa mwenyewe,na mpaka Hivi sasa,
Naweza kwenda kwenye mkusanyiko nisiconect na mtu yoyote mpaka naondoka
Nikipata mgeni naona kama ananiboa, nahitaji tu kukaa mwenyewe
Tukikutana na mtu anaweza akaanzisha mazungumzo mpaka akachoka mpaka labda nimzoee sana ila at the end nitampotezea
Naweza nikapata marafiki Wapya ila baada ya muda nikawapotezea tu.
I don’t know how to keep people at all.
Kwaninj mkuu?[emoji848][emoji848]I wish I was this way
Utachat nn sasa wakati huna mazoea? Utaishia kuongea na kujibu visivyoelewekaNdio yakoje hayo?
Afu kweli,maana hata sielewiHuu sasa wivu...😜🤣
Ushindwee!!!Watu wa aina yako huwa wana akili sana lakini huwa hawafanikiwi sana maishani kwa sabau ili ufanikiwe ni lazima uwe well-connected, uwe a good communicator na uwe socially adaptive. Watu wa aina yako huwa na "A" za darasani lakini huku maishani hawawezi kuwa ma-CEO, Wabunge, Mawaziri, Mameneja... Kwa hiyo utabaki kuwa wa hapo chini ama katikati tu. Nadhani umenielewa.
Kama ninavyochati hapa mbona naweza?Utachat nn sasa wakati huna mazoea? Utaishia kuongea na kujibu visivyoeleweka
Jamaa umeniwahi
Toka jumatatu Natamani kuanzisha uzi nipate ushauri namna ya kubakia na watu bila kuwapoteza
Nina tatizo kama lako na Kadri siku zinavyosonga naona linazidi
Toka nikiwa mdogo nilipendelea kukaa mwenyewe,na mpaka Hivi sasa,
Naweza kwenda kwenye mkusanyiko nisiconect na mtu yoyote mpaka naondoka
Nikipata mgeni naona kama ananiboa, nahitaji tu kukaa mwenyewe
Tukikutana na mtu anaweza akaanzisha mazungumzo mpaka akachoka mpaka labda nimzoee sana ila at the end nitampotezea
Naweza nikapata marafiki Wapya ila baada ya muda nikawapotezea tu.
I don’t know how to keep people at all.
Ila penye miti hakunaga wajenzi...😎🤓Afu kweli,maana hata sielewi
Aisee hapana mfano mimi kwenye issues za biashara natakiwa niconect na nitengeneze mahusiano mazuri na watu wengi kwa faida zaidi ila sasa nashindwa yaani tunaweza tukaongea tu kiasi ila baada ya hapo nakaa kimyaI wish I was this way