mind ur business
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 416
- 415
Uko huru. Hukasiriki kirahisi. Unachukuliana na kila mtu. Unajua kujenga hoja na post zako nyingi zina kitu ndanimwe. Yaani mtu anaweza tu kukujengea taswira ya binti mmoja anayeyajua maisha sana na mwenye misimamo yake, kitu ambacho ni nadra sana siku hizi. Na tule tunote twako twa kuandika kwa mkono yaani....
You are one of a kind kweli Joanna [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Unaona sasa!Yaani umenisifia hadi nimepata bichwa kweli kweli hapa,asanteee SHIMBA YA BUYENZE kama huwa unaniona hivi ulivyonielezea
Kuhusu kukasirika kasirika sijui kwanini kuna baadhi humu huwa wananiona mwenye gubu/mkali kwenye comments na majibu yangu(wakati kiuhalisia huwa natokwa na mapovu na huwa naonesha kukasirika mara chache mnoooooooooooooooo)
Asante kwa kuweza kunisoma na kunitafsiri the way umenitafsiri hapo juu...nimefarijika sana
Tunote twa mkono [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16]
View attachment 1344562
Unaona sasa!
Hivi nami nikikuanzishia uzi kweli utanikasirikia? [emoji16][emoji16][emoji16]
On a serious note; niliyoyasema hapo juu ni kweli tu, at least from my perspective.
Uzidi kubarikiwa Joanna [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Kwani joanah kasemaje kwenye hili kabla sijafanya maamuzi magumu?
Hebu niambie dia babu nifanyaje?
Kaka yangu Mgugu kashakubali lakini sijajua Don Clericuzio namuachaje
Hahaha, aisee.
Naona jamaa kaamua kujilipua.
Kama kawaida yao
Nimegundua Mgugu ni kigeugeu kama Bashite, Namlamba BAN la kuingia kwenye familia yetu.Hebu niambie dia babu nifanyaje?
Kaka yangu Mgugu kashakubali lakini sijajua Don Clericuzio namuachaje
Yaaaaas!nisaidieHahaha, wanaume lazima wajaribishe bahati zao.
Nitaanza kuzijibu PM zao, maana nazisoma tu kimya kimya.
Nimegundua Mgugu ni kigeugeu kama Bashite, Namlamba BAN la kuingia kwenye familia yetu.
Anakubalije kirahisi namna hii bila kunihusisha????
Watu wa namna hii ndio wananyima wenzao HAKI YA KUISHI
Kuhusu "utafanyaje" hebu fanya hima weekend hii tuonane tuangalie cha kufanya
Nimemaliza
Yaaaaas!nisaidie
Ila hawa wanaoleta thread huku sioni wakituma PM, wanaotuma ni wengine
Hahahahh hawa waanzisha thread wanatania
Ooh, itakuwa hivyo.
Weekend vipi inaisha powa?
Weekend inaisha vizuri,vipi kwako?
Naona kule EPL mnazidi kukenua tu
Sawa kabisa, najua lazima 'tutafanya' mazuri na vizuri tu.Haya babu
Hii weekend tutajua 'tunafanyaje'