i love u so much please understand me

i love u so much please understand me

well start seeing those negative side of him

he is not anything special
first he lied to you so that you can send all the photos to him
then he lied by saying its not real
while the truth after looking into your photos he realized you are not his type
you are not worth even one night stand for him...
now you are here crying....for him....
how old are you?

duu mpe kidogo kidogo basi
 
duu mpe kidogo kidogo basi

eti jaman..anamfanyia mwenzio ajione na mapungufu makubwa sana..

"You are not worth even one night stand for him"

dah hii si itamuumiza jmn dada wa watu.
 
he he he mie JLO wa JF au Brad Pitty wa mtaani if you know warra i mean.

Kama nikikutumia lazima server yako ijam kwa muda wa mwezi.

Kongosho nitumie mapicha yako nikutathimini maana unanisumbua sana kwenye PM.......ooh mara wewe hendsam (umeniona?) mara napenda mwandiko wako (kwani naandikia wino)
 
Last edited by a moderator:
Member Array

Join Date : 17th May 2012
Posts : 44
Rep Power : 315
Likes Received6
Likes Given39


JF NI ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIIFAHAMU..

Ila kapata somo....next time atakuwa mshauri mzuri kwa wahanga kama yeye....
 
Na wanawake wa JF vipi, wao hawapendi kutongozwa?



Hata wanawake wa JF nao hivyo hivyo. Wengi wao ni wasanii tu na watu tuna first hand experience ya usanii wao. Kwa hiyo mpaka hapo ni ngoma droo.



Hata wanawake wa JF nao hivyo hivyo. Wengi wao wana wapenzi wao nje lakini humu wanajifanya wako singo.



Hata mimi Ngabu, yaani mimi kama mimi, nikimpemda mwanamke huwa nampenda kweli kweli.



Kusema kweli hata mimi nimekoma. So far nimeambulia patupu. Yaani full usanii. Najuta kuwajua hao niliowajua.



Kweli kabisa. Unakutana na mdada humu unadhani wewe kwake uko peke yako. Kumbe hapa hapa JF mko wengi. Anajitongozesha kwako leo, Facebook anajitongozesha kwa The Boss, Skype yuko na The Finest...akirudi kwako anamuua mmoja wao kati ya hao. Anakusimulia yote kuhusu huyo mtu. Oh yuko hivi, yuko vile. Akitoka kwako anarudi kwa The Boss. Huko anaanza kutiririka kuhusu wewe sasa. Utasikia...'ah yule Ngabu michosho sana. Anajifanya much know sana, anaringa sana, anajifanya eti handsome, n.k.



Huu ushauri mzuri sana na unahusika kwa jinsia zote. Kuweni makini jamani.



Hata mimi nimejifunza hilo. Nimekutana na wanawake wasanii sijapata kuona. Chondechonde akina kaka wenzangu. Kuweni waangalifu na hawa wadada wa humu.



Wewe kweli ni mhudhuriaji na mchangiaji mzuri sana kule.


Ngabu, i miss u
 
hii maswala ya kuwasiliana na mtu usiemjua na ukampenda sababu tu ya msg zake au sauti yake kwenye simu, inakera, inaumiza, na nawashauli msifanye hivo. ilinitokea mimi wik 3 zilizopita, nipokutana na mdada niliewasiliana nae takriban mwez mzima kukutana nae mwenge kidogo nijifiche hata nisisalimiane nae. kipolygon ajab..... so dadaangu labtec1 usipende mtuusiemjua, shukuru mungu kakupotezea hata kabla hujamuona, coz may be ungekuja kujuta kwa nini ulimpenda.
 
I hope your all fine

I just wanted to say am heart broken and I don’t know what to do next

Nilitokea kumpenda mkaka mmoja sana kupitiliza ingawa sijawai kumuona ila ni kwakuchat naye humu ndani (najua mtashangaa sana).he was so polite to me ever,he was so sweet ever,so caring I have never met in my whole life before,and so gentle than I can explain,nikajikuta nimempenda sana kupitiliza mpaka namuota

usiku,sikuishia hapo I took his avatar and made it my screen saver in my laptop home and at my office computer,I was like running crazy to him .he asked my facebook account I didn’t even think twice I just gave him the link and asked for his account and he said ooh! Don’t worry I will give it to you soon but he never did,then he said to me do you know the meaning of dustbin ,,,I said to him yes I do know


…then he continued just take me as your dustbin and throw all your photos to me and never empty the dustbin..i was like crazy and very happy then I did it mean time I spent the whole week going every place around the city to take some new photos and new clothes to make him see me beautifully at the moment and sent all photos to him,,even my phone number but he never made that call back..



Tuliendelea kuongea mara nyingi na kuna wakati nilikua namuomba kua siwezi kulala can you help me to sleep na alikua ananisaidia kuniandikia maneno ya kunifanya najisikia furaha mpaka nalala,then one day I asked him if he is real in love with me like the way I do

You know what I wish nisingemuuliza hilo swali mana alijibu kwa upole(in written words)ila nilielewa aliandika kwa upole sana kua dada kwani umejiunga lini huku JF? Na usichukulie mambo ya huku kua ni serious kiasi hicho,,huku ni stress freezone ivo hakuna ya ukweli huku hata moja.na usione watu wanataniana humu ndani ukadhani wanamaanisha kila mtu anamaisha yake huko uraiani.
ni ivo tu alinijibu alafu akawa ananipotezea nikimuandikia hajibu au anachelewa sana kujibu mpaka nilivochoka nikaacha ila nimeumia sana mana mimi nilimpenda sana na I was thinking about him a lot na kujiona mimi na yeye katika ndoa tayari na watoto wetu.najua mtashangaa sana ila naomba mnisaidie ili niondokane na hii hali mana najisikia vibaya mpaka nashindwa kutoka nje(I feel so lonely)


Nimeshamtumia text(pm) nyingi anajibu kama kaka yangu (sio kama zamani tuliongea kama wapenzi)na kunisihi eti nisiendekeze mambo ya JF lasivo nitakufa kabla ya siku zangu mana huku hakuna cha ukweli hata kimoja,,yeye ameshaniona mimi ila mimi sijawai kumuona au he didn’t like me

I regret sending my all photos to you..i hate you but I love you and you know that so please answer my PM please????

Ps: I love u
Ingetusaidia zaidi kama ungeweka jina leke.
 
Kama hataki nipe mie baby, watu tunatafuta mademu walio siriasi kama wewe yeye anakuzingua! Ama kweli penye vinu hamna mitwangio, na penye mitwangio hamna vinu.
 
Nipo cacico mamito....mm mwenywe nashangaa kwakweli..Mmmh babu yako hatari kwakweli kwanini asimwachie bibi!!
babu yangu mchunie Rogie yupo busy na wajukuu, huyu wa humu ndani leo nimekwama kushauri, akili imestuck!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana itabidi uanze ku-identify kipaji jingine ambacho kitakupa pumziko la nafsi
 
Pole sana, sasa utampendaje mtu hujamuona, Pili nakushauri siku nyingine usiwe mwepesi kujirahisi kwa mwanamume hivyo mara utume picha siyo vema wala siyo sahihi kwako wewe mtoto wa kike, Tulia fanyakazi yao usije ukajikuta unapoteza kazi yako kwa mtu asiyekuwa na upendo na wewe wala humjui, Je ukikuta ni Mume wa mtu, kutakuwa na mapenzia ya kweli hapo au kuharibu ndoa ya watu???? Nachokushauri achana na hayo mambo ya kupenda mtu usiyemfahamu. Tulia muda wako utakapofika hakuna atakayezui wewe kuwa na mwezi/Mume. siku njema.
 
Back
Top Bottom