π€£π€£π€£π€£Tulia Leo nakunywa mzinga wa konyagi ya kati nachanganya na Zanzi kubwaMlevi hajitangazii Sister wacha kutupoteza maboya π π π
Najua kutengeneza Zanzi Sister lakini kinachonishinda ni kuweka preservative isiharibikeπ€£π€£π€£π€£Tulia Leo nakunywa mzinga wa konyagi ya kati nachanganya na Zanzi kubwa
hivi mkuu ni wewe bado upo chuo Arusha una miaka 22? Au mechanganya ID?Ni mfupi mnene ana machunusi
Sikushauri
We Serious?Najua kutengeneza Zanzi Sister lakini kinachonishinda ni kuweka preservative isiharibike
Ndio Sister najua na nilifundishwa na rafiki zangu Wajerumani mbona simple sana πWe Serious?
Naona tulipelekwa Marekani mara moja hata huku kwangu mpaka I'd zilikuwa zinasoma majina tofauti kabisa π π πJamani mwenzenu nusu nipate presha,si comment zangu zikabadilika zikawa za kizungu mie Moyo paaah! kizungu tenaa mbona mambo yatakuwa magumu Sasa?
Deep down to my heart!Sema kweliβ
Na Mimi,nimerudi Tanzania majina tofauti yaani kizungumkutiNaona tulipelekwa Marekani mara moja hata huku kwangu mpaka I'd zilikuwa zinasoma majina tofauti kabisa π π π
Natamani unifundishe dogoNdio Sister najua na nilifundishwa na rafiki zangu Wajerumani mbona simple sana π
Nilikuwa najaribu kuipeleka Tanzania inakataa inataka Marekani, labda Kuna maintenance inafanywa na wataalam wa JFNa Mimi,nimerudi Tanzania majina tofauti yaani kizungumkuti
Usijali you are my Sister nitakufundisha tu. Jinsi ya kuweka preservative ndio sijuiNatamani unifundishe dogo
Hahahahaha..mie niko hm sijatokaSikukuu unailia wapi rafiki?
Hahahahaha..unalewa wapi RafikiLeo Nina mpango wa kulewaaa,hapa naifosi simu iishe chaji kabisaaa na bundle nisije nikamwaga Siri humuπππ
Mi hapa nawaza kurudi home nikacheck movie, ww hizo siri zilete kwangu nikutunzie usijali πLeo Nina mpango wa kulewaaa,hapa naifosi simu iishe chaji kabisaaa na bundle nisije nikamwaga Siri humuπππ
Ndiomana zinaingia zinatoka bwawa limejaa maji πNshakata visungura viwili hapa type c