JF ni jokes tu my.. [emoji1787][emoji1787]Bonge la bwana JF?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mama mchungaji hebu fanya maombi vijana waache kuwaza ngono. Huyo mtu hata ukimuuliza alichonipendea hakijui, hajawahi kuniona wala kusikia sauti yangu. Hizi ni chit chat potezea sisy
Huyo hawezi nizidi akili amini nakwambia.Akikujibu nitag bro maswali mazuri sana umemuuliza..!!
ππππ nyie watu mna nini lakini???Kwahiyo hapo ndio umemaliza βkuiombaβ?
πππ We mshindwe kwa jina la YesuMpige ndele kama unajua uhakika wa kumpata ni asilimia 0
Usichukulie serious, sometimes watu wanafanya utani tu πHuoni kama jamaa tyr kafall, hata kama sio serious it's a waste of time, energy and effort. Hatujuani humu ukute jamaa anawaza seriously for a fake ID
Boss huna baya....ukifa nizikwe mimi boss wanguπ€
Eh sasa sindio anampenda mudada ya watu unataka mwanamke ampendee??Ilo ni dume
Nimeuliza hivyo sababu sijui mnajuana vipi,Ila Kama jamaa Hadi kawa jasiri hivi,mpe sikioAkikujibu nitag bro maswali mazuri sana umemuuliza..!!
Hapana mie nakamimba sasa wapi na wapi naenda leba sooon kuleta kichangaMchukue ww da mau mi naenda kusomea usista πππ
Mimi namtaadhalisha tu, asije akaingia ghetto kichwa kichwa akaishia kuinamishwa yeye π πππππ shem acha kuvuta skanka sio nzuri kwa afya yako
NakaziaMuandishi wa Uzi ni Kielelezo cha namna nchi hii ilivyo na wapumbavu wengi!
Sidhani kama Mimi na wewe tumeelewana.Eh sasa sindio anampenda mudada ya watu unataka mwanamke ampendee??
Maneno yote kwishaaaKwahiyo hapo ndio umemaliza βkuiombaβ?
Sijui Kwanini hata Mimi nimekuchagua uwe Dada yangu ? It might be Nina upendo wa Kweli sio mihemko kama ya hawa Vijana wanaopenda I'd na Avatar πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mna nini lakini???