Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu nyie mbona mnafatiliana sana? Nikiona comment ya sisy chap Trezo ata reply πππMmmmh
π² mbona haanzi kwa jina hiloK bana au humpendi π
EehHalafu nyie mbona mnafatiliana sana? Nikiona comment ya sisy chap Trezo ata reply πππ
Mna kitu nyie mtuweke wazi ndugu zenu
Nasshindwa kuamini nikiangalia chatting na vichambo vya lammoyHahaha π
Unataka nimwage mchele kwenye kuku wengi sasa jirani ππ² mbona haanzi kwa jina hilo
Jirani mwaga tu ila hapana hiyo jina πUnataka nimwage mchele kwenye kuku wengi sasa jirani π
Sema nitakuwa nimemkosea mdogo wangu, ukute ana kibuzi chake kingine humu kakipanga hana mwanaume humu zaidi yake kumbe kuna lijirani ππππJirani mwaga tu ila hapana hiyo jina π
Asilimia kubwa wanaume tukiwekewa mtego na mwanamke huwa hatutoboi Yani tunajaaga mazima mazima, wanaume emotional control ndogo. Lakini akili kumkichwa lazima ujicontrol lasivyo utakufa vibayaTatizo they've no emotional control, manzi karomantisize kidogo tu kwenye thread jamaa huyoπ€£π€£π€£
Asubiri dirisha la usajili lifunguliwe πππLomoni muelewe jamaa yangu bwana
Anakupendaππ
π hakuna cha sema wala semaji. Huyo mtu wa hivyo hayupo, amu singo, amu singo ageini, ooh yes amu singoSema nitakuwa nimemkosea mdogo wangu, ukute ana kibuzi chake kingine humu kakipanga hana mwanaume humu zaidi yake kumbe kuna lijirani ππππ
Unataka kumponza mwenzio naijua hiyo ππππ hakuna cha sema wala semaji. Huyo mtu wa hivyo hayupo, amu singo, amu singo ageini, ooh yes amu singo
Mwenzangu yupi jirani mbona nipo mwenyewe kumbe nna mtu na simjui?Unataka kumponza mwenzio naijua hiyo πππ
Wakome,wakae Kwa kutuliaππππππππ basi inatosha unakoelekea utaweka na picha kumthibitishia halafu waniibie beibyy wangu π€¦ββοΈ
π€£π€£π€£π€£Nini sasa?we hujui mjini mipango?Mmmmh
Mke wake wahuni Wana mmezea mate naye Yuko mbaliHeee!! Jamani pole ya nini?? πππ