I Love you too much Lamomy

I Love you too much Lamomy

Tatizo they've no emotional control, manzi karomantisize kidogo tu kwenye thread jamaa huyo🀣🀣🀣
Asilimia kubwa wanaume tukiwekewa mtego na mwanamke huwa hatutoboi Yani tunajaaga mazima mazima, wanaume emotional control ndogo. Lakini akili kumkichwa lazima ujicontrol lasivyo utakufa vibaya
 
Sema nitakuwa nimemkosea mdogo wangu, ukute ana kibuzi chake kingine humu kakipanga hana mwanaume humu zaidi yake kumbe kuna lijirani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚ hakuna cha sema wala semaji. Huyo mtu wa hivyo hayupo, amu singo, amu singo ageini, ooh yes amu singo
 
Ulimbukene mwingine loh! Usikute hilo ni limwanaume alafu wewe unajikuta nyege zimekukaba angalia utatolewa rinder!
 
Back
Top Bottom