Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Jamaa sijui anatuonaje yaan hapo anaandika huku kashiba makande kavimbiwa na Namba kawawekea wajinga wajinga watumie miamala alafu yeye Hana hata mpango wa kufaYaan ana simu janja na ana bando huyo mbwa, anamkufuru maanani... Dawa yake tumlambe viboko tu
Hana shida Wewe drama za JF hauzijui? Hawezi kukujibu kaweka Namba tuma muamalaShida Nini ndugu tukushauri?
Hata mie hapa nna magumu yangu yanayoniacha mpweke hata nkimwambia mtu hanielewi. Ila nimechagua kupambana nayo
Ndio maana kaandika kinyonge ili kuwavutia wachangiaji kina Mama huruma na Baba huruma,si ajabu sasa hivi anapata zake KVant ya baridiii na Popcorn.Na kuna mapunguani yanamchangia Hela Muda huu kwa kumrushia miamala ndio kumuonea huruma walipwe na Mungu leo Jumapili acha waliwe mpaka akili ziwakae sawa
Unapokufa maana yake unarudi kule ulipotwaliwa au ulipokuwa kabla ya kufanywa kiumbe hai.Sasa mavumbini c ndo kufa au ww Umeelewa nn
Njoo pm nimalize shida zako,Shida Nini ndugu tukushauri?
Hata mie hapa nna magumu yangu yanayoniacha mpweke hata nkimwambia mtu hanielewi. Ila nimechagua kupambana nayo
Muache afeUnapokufa maana yake unarudi kule ulipotwaliwa au ulipokuwa kabla ya kufanywa kiumbe hai.
Kabla ya BWANA MUNGU kukufanya wewe kuwa kiumbe hai ulikuwa mavumbini. Haukuwa Mbinguni wala Jehanamu.
U mavumbi wewe na MAVUMBINI utarudi.
Kwani bado yupo hai? basi hayupo serious.Muache afe
Naomba uje P.MShida Nini ndugu tukushauri?
Hata mie hapa nna magumu yangu yanayoniacha mpweke hata nkimwambia mtu hanielewi. Ila nimechagua kupambana nayo
Watu wa hivyo wanakera sana,Kuna member anaitwa mpauko back then alisema kama huyu jamaa,watu wakaanza kejeli na utani,Jamaa akajiua,watu Bado hatujifunzi tu kua positive??kwani Kila Post Hadi useme kitu?? Wengine wanaleta chitchat na kujuana kwenye masuala sensitive kama haya..Kuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏
Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
Hana shida huyo Wewe endelea na shughuli zako ya wenzio yatakushinda, shauri yakohabari kaka, naomxa utambue kuwa hilo silo suluhisho, naomba unite muda utafkari ustawi w ahao watoto bila uwepo wako. naomba ukipata muda na wasaa tuwasiliane kwa sam4peny@gmail.com
Utakutana na dume mwenzio ndo utaelewa jf ni zaidi ya usanii.Njoo pm nimalize shida zako,
Acha kuishi kinyonge.
Kukata tamaa ya kuishi ni matokeo ya kushindwa kuishi kwenye mfumo uliopo.Mfumo Dume upi na mfumo umeingiaje kwenye matatizo ya mleta Mada inamaana na Wanawake wenye matatizo ya kuziba kwa mirija ya uzazi tatizo ni mfumo jike?
Hivi mmeona kuwa na simu janja na bando ndo Maisha?Yaan ana simu janja na ana bando huyo mbwa, anamkufuru maanani... Dawa yake tumlambe viboko tu
Sasa tuchangamke tumlie njama, tujue location yake tumvute sehemu very suitable and conducive tumchukue tumpeleke chimbo tukamcharaze weeeeee mpaka akome.Jamaa sijui anatuonaje yaan hapo anaandika huku kashiba makande kavimbiwa na Namba kawawekea wajinga wajinga watumie miamala alafu yeye Hana hata mpango wa kufa
Mkuu,sasa baada ya huyo mpauko kujiua ni nani alipata hasara zaidi yake?Watu wa hivyo wanakera sana,Kuna member anaitwa mpauko back then alisema kama huyu jamaa,watu wakaanza kejeli na utani,Jamaa akajiua,watu Bado hatujifunzi tu kua positive??kwani Kila Post Hadi useme kitu?? Wengine wanaleta chitchat na kujuana kwenye masuala sensitive kama haya..
*****! Ngoja tumdake huyo mbwa, ataeleza kilichomnyima Kuku kukojoa 😂👍Ndio maana kaandika kinyonge ili kuwavutia wachangiaji kina Mama huruma na Baba huruma,si ajabu sasa hivi anapata zake KVant ya baridiii na Popcorn.