Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Akwilina: Padri Mayanga ataka aliyeua awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania


Bila bila
Mkuu,
Poise, huwa sishabikii vyama.vya siasa.

Jiulize, NEC na DED wa Kinondoni umewaona kwenye msiba wakisindikiza Akwilina!?

Au umewaona katika mahakama ya kisutu wakisomewa mashitaka ya kuwa chanzo kikuu cha kifo cha Akwilina B!?

Acha kufanya propaganda za kiuchwara mbuzi kwenye mambo yasiyohitaji siasa.

Tanzania, tatizo lake ni
CCM. CCM must go...

Kagame. Kagame must be stopped visiting Tanzania.
(Maana, amefanywa kuwa waziri na mshauri wa serikali ya ccm ndiyo matokeo yake hayo)

Management ya NEC na DED wa Kinondoni watumbuliwe wafungwe. Ndiyo wauaji polisi ilikuwa ni chaneli tu ya kuua ila.NEC, DED na CCM ndiyo wauaji.

Mwisho,
We need an immediate justice for our daughter Akwilina B.

R.I.P Binti, Akwilina A. B.
Ndoto zako zote zimezimwa ghafula kama vile mshumaa uzimwavyo.

Daima tutakukumbuka Binti, Kristo Yesu akuangazie mwangaza wake wa milele. Amina.
 
Jinyonge basi ndio hvyo ni shithole....[emoji23] nchi ya ngosha hii aka fidq
teh..teh... nauna sasa unataka tukupime mkojo!
ngosha ataondoka na atakuja mwingine naye ataondoka.
lazima ukubali mambo hayawezi kuwa sawa siku zote wakati mwingine tunakosea na inatupa fursa ya kujipanga zaidi na sio kukata tamaa na kujikataa hii haifai.
bado haijafikia hapo hii nitabisha mpaka bando liishe na nitatoa like mpaka zikatae lakini siwezi kukubali kuilinganisha nchi yangu na tobo chafu!
 
Hii shughuli iishe jamani maisha yaendelee. Tuendelee kuijenga nchi .

Ziroseventytwo
Mkuu,
Avatar yako na ID yako vinasadifu ulichokiandika.

Siku ikiwa kwako au kwenu utaelewa.

CCM must go...

Kagame must be stopped visiting Tanzania.

R.I.P.Binti Akwilina A. B.

Ndoto zako zote zimezimwa ghafula kama vile mshumaa uzimwavyo!!
 
Daah dunia hii hakuna haki kabisa, Dada wa watu walimpiga risasi na kumuua ili tu wasalie madarakani! Hatari sana hii, halafu kuna wapumbavu fulani nao wanaunga mkono harakati hizi!
 

Chiwa
Mkuu,
Nataraji hii sentence inakubalika.
African countries they have shithole leaders.
 
Asante sana mleta mada!
Rip Aqulina
 
Wandanba Uwe na aibu jp kidogo acha kutetea upuuzi au kwakuwa ni msiba wa mwenzio. Ipi siku utakuwa kwako hutasema ujinga wako huo
 
Maneno mazito
 
Chiwa
Mkuu,
Nataraji hii sentence inakubalika.
African countries they have shithole leaders.
ehe... hapa umesema kweli na sahihi zaidi lakini eti africa nzima yenye mali kibao tuite vile hii hapana
 
Hizi kazi za kuamrishwa amrishwa madhara yake ndiyo hayo. Unashika bunduki unaambiwa Piga wewe unapiga tu. Tunapaswa kulinda Amani siyo kuingia Vitani
 
Mmh maneno ya mama nmeyaelewa vzur
 
So sad.... Pumzika kwa amani Mrembo; damu yako haitamwagika bure lazima inakwenda kutenda jambo.
 
Baadhi ya waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali, yakiwamo ya kumtaka waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba na mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro kujiuzulu.

Ibada hiyo inafanyika leo Februari 22, 2018 katika viwanja vya NIT, Mabibo na kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu, wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali.

Waombolezaji hao walinyanyua mabango hayo baada ya waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako aliponyanyuka kutoa salamu kwa wafiwa kama walivyofanya viongozi wengine, akiwamo mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Baadhi ya ujumbe katika mabango hayo ni; “muuaji hawezi kujichunguza na Mwigulu, Sirro kwa mauaji haya bado mko ofisini.”


Juhudi za kuwataka waombolezaji hao kushusha mabango ziligonga mwamba kutokana na baadhi ya watu waliokuwa karibu yao kuja juu, wakitaka waachwe kwa maelezo kuwa wana haki ya kufanya hivyo.


Katika salamu zake za rambirambi, Profesa Ndalichako alisema: “Rais Magufuli ameshaagiza uchunguzi ufanyike na mimi kama waziri nasisitiza vyombo vinavyohusika vifanye uchunguzi haraka.


“Matukio ya aina hii hayapaswi kuendelea, nimehuzunika kwa msiba huu na naomba Watanzania waungane kuiombea familia.”
Soma: Padri ataka aliyempiga risasi Akwilina awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania -VIDEO
 

Attachments

  • mabango%2Bpic.jpg
    35.4 KB · Views: 60
Mbona sioni mabango yenye kile ulichoandika?
 
Dogo Bangi mbaya. wapi unakwama? mabango husika yapo wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…