Ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yoyote. Rais Samia hakupaswa kulalamika yeye kutosikilizwa . Ni

Ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yoyote. Rais Samia hakupaswa kulalamika yeye kutosikilizwa . Ni

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Sheria mama ya taifa letu ipo wazi kabisa na imeweka wazi kuwa rais hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yoyote yule. Isipokuwa kama imetanabaishwa kwenye katiba ya JMT. Hii ipo wazi kwenye ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT.

Sasa kama rais wetu analalamika kuwa ushauri wake haukufuatwa ina maana hii katiba haifai?

Kwenda kulalama kwenye media za kimataifa ni kuweka wazi kwa mataifa ya nje kuwa hii katiba ya sasa ya JMT haifai maana haimlazimishi rais wa JMT kukubali ushauri wa mtu yoyote.
 
Sheria mama ya taifa letu ipo wazi kabisa na imeweka wazi kuwa rais hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yoyote yule. Isipokuwa kama imetanabaishwa kwenye katiba ya JMT. Hii ipo wazi kwenye ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT.

Sasa kama rais wetu analalamika kuwa ushauri wake haukufuatwa ina maana hii katiba haifai?

Kwenda kulalama kwenye media za kimataifa ni kuweka wazi kwa mataifa ya nje kuwa hii katiba ya sasa ya JMT haifai maana haimlazimishi rais wa JMT kukubali ushauri wa mtu yoyote.
Sasa hata kama katiba inasema hakuna ulazima wa rais kusikiliza ushauri wa mtu,wewe kama mtu mwenye akili timamu,unaona hilo jambo ni zuri?
 
Sasa hata kama katiba inasema hakuna ulazima wa rais kusikiliza ushauri wa mtu,wewe kama mtu mwenye akili timamu,unaona hilo jambo ni zuri?
Sasa kama sio jambo zuri mbona hataki kuliondoa? Kulalamika kwa wazungu ndio suluhu?
 
Sheria mama ya taifa letu ipo wazi kabisa na imeweka wazi kuwa rais hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yoyote yule. Isipokuwa kama imetanabaishwa kwenye katiba ya JMT. Hii ipo wazi kwenye ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT.

Sasa kama rais wetu analalamika kuwa ushauri wake haukufuatwa ina maana hii katiba haifai?

Kwenda kulalama kwenye media za kimataifa ni kuweka wazi kwa mataifa ya nje kuwa hii katiba ya sasa ya JMT haifai maana haimlazimishi rais wa JMT kukubali ushauri wa mtu yoyote.
Bado hamkomi kumtetea yule mt(fu)?Mkianzishiwa mashambulizi mnajiliza.😂😂😂😂😂
 
Hata kama sijui kizungu lakini hawezi kuwalalamikia NY times.

Watasaidia nini?

Tusipende tu kukuza mambo.
Hatukuzi mambo; mkuu wa nchi kalalama alikuwa na wakati mgumu kufanya kazi na hayati JPM hii ina maana gani? Alikuwa hasikilizwi. Je katiba yetu inasemaje?
 
Sheria mama ya taifa letu ipo wazi kabisa na imeweka wazi kuwa rais hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yoyote yule. Isipokuwa kama imetanabaishwa kwenye katiba ya JMT. Hii ipo wazi kwenye ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT.

Sasa kama rais wetu analalamika kuwa ushauri wake haukufuatwa ina maana hii katiba haifai?

Kwenda kulalama kwenye media za kimataifa ni kuweka wazi kwa mataifa ya nje kuwa hii katiba ya sasa ya JMT haifai maana haimlazimishi rais wa JMT kukubali ushauri wa mtu yoyote.
Sio tu kwa rais.
Kukubali au kukataa ushauri ni maamuzi ya kila mmoja wetu. Ushauri sio amri. Unaweza kuukubali au kuukata.
Labda kama ni mapendekezo au maamuzi ya baraza la mawaziri au chama.

Hata hivyo, si kila ushauri unafaa. Mfano suala la covid, watanzania wengi walimuunga mkono hayati JPM.
Na kwa kadri mama anavyoongea ongea ndio tunajua dhahiri kwamba, upinzani ulianzia ndani ya serikali. Swali la kujiuliza ni je, kama angesikilizwa,kukawa na lockdown, hali ya uchumi ingekuwaje?

Baada ya yeye (mama) kuwa rais, ni mabadiliko gani amefanya?
Jambo la kukumbuka ni kwamba, wapo waliokubaliana na itikadi za hayati JPM!
Kumsema vibaya hakutasaidia kuondoa itikadi (imani) ya watanzania waliomwamini! Na inawezekana, kutokana na kutokukubaliana kwao, kwa wakati huo siri nyingi za serikali zilivuja tofauti na sasa!. 🤔
 
Sio tu kwa rais.
Kukubali au kukataa ushauri ni maamuzi ya kila mmoja wetu. Ushauri sio amri. Unaweza kuukubali au kuukata.
Labda kama ni mapendekezo au maamuzi ya baraza la mawaziri au chama.

Hata hivyo, si kila ushauri unafaa. Mfano suala la covid, watanzania wengi walimuunga mkono hayati JPM.
Na kwa kadri mama anavyoongea ongea ndio tunajua dhahiri kwamba, upinzani ulianzia ndani ya serikali. Swali la kujiuliza ni je, kama angesikilizwa,kukawa na lockdown, hali ya uchumi ingekuwaje?

Baada ya yeye (mama) kuwa rais, ni mabadiliko gani amefanya?
Jambo la kukumbuka ni kwamba, wapo waliokubaliana na itikadi za hayati JPM!
Kumsema vibaya hakutasaidia kuondoa itikadi (imani) ya watanzania waliomwamini! Na inawezekana, kutokana na kutokukubaliana kwao, kwa wakati huo siri nyingi za serikali zilivuja tofauti na sasa!. 🤔
Umenena vyema.
 
Back
Top Bottom