Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
Behind the scene ya kila kinachoonekana kuipinga katiba inayopendekezwa na wale wanaojiita UKAWA ipo katiba ibara ya 97

Chanzo cha kuaminika toka katika umoja huo kinasema kuwa, kutokana na mipango ya umoja huo hasa kujidai wanataka nafasi ya urais na kulingana na mipango yao ya baadae kama wanavyojidanganya wataishika dola....ibara hii na vipengele vyake imekuwa ikiwaumiza vichwa na kuwa mwiba mchungu kwenye mikakati yao na hii imekuwa ni moja ya sababu ya wao kuipinga katiba inayopendekezwa na chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vinavyoendelea kukaliwa na umoja huo wanaendelea kuangalia vifungu vinavyoonekana vitakuwa mwiba kwao na kutaka vile vitakavyo onekana vitawasaidia...na pia chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vilivyokaliwa hivi karibuni waliweka wasiwasi kutokana na kila ishara inayoonesha katiba hiyo itapita baada ya wananchi kuanza kuielewa na kutambua faida ya yale yaliyomo katika katiba hii

Kuthibitisha ubora wa katiba hiyo umoja huo(UKAWA) umepanga na umeshatoa ombi la kutumika kwa baadhi ya vipengele vilivyo katika katiba inayopendekezwa....baadhi ya sehemu walizoomba zitumike ni

1) Rais kushinda kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1

2) Mgombea huru

3) Matokeo ya Rais kupingwa mahakamani

4) Tume huru ya Uchaguzi..........

Chanzo hicho kimeahid kuendelea kutujuza yale yaliyomo katika makubaliano ya umoja huo...
 
Behind the scene ya kila kinachoonekana kuipinga katiba inayopendekezwa na wale wanaojiita UKAWA ipo katiba ibara ya 97

Chanzo cha kuaminika toka katika umoja huo kinasema kuwa, kutokana na mipango ya umoja huo hasa kujidai wanataka nafasi ya urais na kulingana na mipango yao ya baadae kama wanavyojidanganya wataishika dola....ibara hii na vipengele vyake imekuwa ikiwaumiza vichwa na kuwa mwiba mchungu kwenye mikakati yao na hii imekuwa ni moja ya sababu ya wao kuipinga katiba inayopendekezwa na chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vinavyoendelea kukaliwa na umoja huo wanaendelea kuangalia vifungu vinavyoonekana vitakuwa mwiba kwao na kutaka vile vitakavyo onekana vitawasaidia...na pia chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vilivyokaliwa hivi karibuni waliweka wasiwasi kutokana na kila ishara inayoonesha katiba hiyo itapita baada ya wananchi kuanza kuielewa na kutambua faida ya yale yaliyomo katika katiba hii

Kuthibitisha ubora wa katiba hiyo umoja huo(UKAWA) umepanga na umeshatoa ombi la kutumika kwa baadhi ya vipengele vilivyo katika katiba inayopendekezwa....baadhi ya sehemu walizoomba zitumike ni

1) Rais kushinda kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1

2) Mgombea huru

3) Matokeo ya Rais kupingwa mahakamani

4) Tume huru ya Uchaguzi..........

Chanzo hicho kimeahid kuendelea kutujuza yale yaliyomo katika makubaliano ya umoja huo...
Mtu akiwa na kichefuchefu ni dalili za mambo kadhaa mojawapo kuwa na ujauzito. Kwa hiyo kama kuna watu wa aina hiyo basi wamwendee daktari ili waanze kliniki.
 
Umbea umbea mtupu!
Eti kulingana na mipango yao kama wanavyojidanganya!!!!!!

WANAJIDANGANYA??

Eti kuwa "Mwiba mchungu"
Unachekesha kweli weye!!!

Kelele za matakwa ya matumizi ya vipengele vinavyofanana na hivyo au hivyo hivyo imeshapigwa sana toka enzi ya tume za kina Jaji Nyalali, N.k

Yaani bandiko lako linawafurahisha waliokutuma, lakini halivui hata dagaa mmoja atakayewaeleweni maccm nyie.

Wastage of time and resources.

Please next time you have to try the phone that works.
 
Mtu akiwa na kichefuchefu ni dalili za mambo kadhaa mojawapo kuwa na ujauzito. Kwa hiyo kama kuna watu wa aina hiyo basi wamwendee daktari ili waanze kliniki.

Nakuunga mkono bmbalamwezi, ni dalili nzuri kwa ndoa changa, kliniki ni option nzuri, ni vizuri ikianza mapema.
 
Last edited by a moderator:
Umbea umbea mtupu!
Eti kulingana na mipango yao kama wanavyojidanganya!!!!!!

WANAJIDANGANYA??

Eti kuwa "Mwiba mchungu"
Unachekesha kweli weye!!!

Kelele za matakwa ya matumizi ya vipengele vinavyofanana na hivyo au hivyo hivyo imeshapigwa sana toka enzi ya tume za kina Jaji Nyalali, N.k

Yaani bandiko lako linawafurahisha waliokutuma, lakini halivui hata dagaa mmoja atakayewaeleweni maccm nyie.

Wastage of time and resources.

Please next time you have to try the phone that works.

Ipo siku utaona aibu baada ya kuaibishwa na hao unaowaamini....nani asiyejua UKAWA wanahofu kutokana na ubora wa katiba inayopendekezwa? Ndio maana wanahangaika kila mahali kupata msaada....sasa tunasubiri kusikia hoja alizoleta Slaa (sor i cant call him a dkt. Cause he dont deserve....) na watu wa mataifa nje...you pipo u cant fool Us.....
 
akili za kuambiwa toka Lumumba unazileta hapa think big gamba wewe

Akili za kuishiwa hoja hizo wewe! kasome hiyo Ibara na sio kuweka matuc humu ndani, wala hayakusaidiii kitu, sasa wewe unamwambia Lumumba we ulimuona huko Lumumba au wewe ndo wa Lumumba? aibu hiyo
 
Akili za kuishiwa hoja hizo wewe! kasome hiyo Ibara na sio kuweka matuc humu ndani, wala hayakusaidiii kitu, sasa wewe unamwambia Lumumba we ulimuona huko Lumumba au wewe ndo wa Lumumba? aibu hiyo

unajua matusi wewe? angalia kwenye majibu yangu halafu nionyeshe matusi niliyotukana
 
Minja acha kujishushia heshima yako kwa kuanza kuongea lugha ya kuudhi,humu Jf kuna watu wastaarabu huwezi kujibu hoja husika bora uache kuliko kutukana na kuongea lugha mbaya kwa wenzio!


usiruhusu mikono yako iandike ----- hapa kabla kichwa chako hakijafikiria vizuri,nionyeshe lugha chafu na matusi niliyotumia hapo kabla sijaanza kukutukana kiukweli maana inaonekana una hamu ya kutukanwa '';/[
 
Ipo siku utaona aibu baada ya kuaibishwa na hao unaowaamini....nani asiyejua UKAWA wanahofu kutokana na ubora wa katiba inayopendekezwa? Ndio maana wanahangaika kila mahali kupata msaada....sasa tunasubiri kusikia hoja alizoleta Slaa (sor i cant call him a dkt. Cause he dont deserve....) na watu wa mataifa nje...you pipo u cant fool Us.....
Ingekuwa kapewa ya heshima ningekuunga mkono, ila yy (Dr. W. Slaa) kaisotea hiyo PhD kwa miaka minne au zaidi, hata kama ukimuonea wivu ila yeye kakuzidi elimu hata iweje.Kwenye Katiba Pendekezwa, kasome ibara ya 90 na ile 91 uone vituko vilivyowekwa mpaka nashindwa kuwaelewa akina chenge wanamdanganya nani kuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, How come on earth unamshtaki na kuhoji matokea ya urais ambaye tayari ameapishwa!!!!!
 
Umbea umbea mtupu!
Eti kulingana na mipango yao kama wanavyojidanganya!!!!!!

WANAJIDANGANYA??

Eti kuwa "Mwiba mchungu"
Unachekesha kweli weye!!!

Kelele za matakwa ya matumizi ya vipengele vinavyofanana na hivyo au hivyo hivyo imeshapigwa sana toka enzi ya tume za kina Jaji Nyalali, N.k

Yaani bandiko lako linawafurahisha waliokutuma, lakini halivui hata dagaa mmoja atakayewaeleweni maccm nyie.

Wastage of time and resources.

Please next time you have to try the phone that works.

We jombaa jibu hoja acha matusi wewe,Katiba Inayopendekezwa itapita ati tena kwa kura nyingi watanzania tunasubiri time ya kuvote tukadondoshe kura zetu aisee!
 
Ingekuwa kapewa ya heshima ningekuunga mkono, ila yy (Dr. W. Slaa) kaisotea hiyo PhD kwa miaka minne au zaidi, hata kama ukimuonea wivu ila yeye kakuzidi elimu hata iweje.Kwenye Katiba Pendekezwa, kasome ibara ya 90 na ile 91 uone vituko vilivyowekwa mpaka nashindwa kuwaelewa akina chenge wanamdanganya nani kuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, How come on earth unamshtaki na kuhoji matokea ya urais ambaye tayari ameapishwa!!!!!

We dogo langu acha kurukaruka mara hii umekua?unajifanya kumsujudia babu eti kwa elimu yake, anakusaidia nini?badala ya kufuatiliq mqmbo yq msingi ya Katiba wewe unakalia Phd kwani nini hiyo?jisimamie mwenyewe jombaa acha kutumika kumpaisha Mtu asiyejijua kila kitu anaprovoke!ukija na masuala ya msingi ntakuelewa lakini sio hizo sound zako za mwisho hapo sijui ndo umeandika ukitokea usingizini??
 
usiruhusu mikono yako iandike ----- hapa kabla kichwa chako hakijafikiria vizuri,nionyeshe lugha chafu na matusi niliyotumia hapo kabla sijaanza kukutukana kiukweli maana inaonekana una hamu ya kutukanwa '';/[

Chali sina haja ya matusi yako kwa sababu hayanisaidii kitu,kama vipi lianzishe tu then utapata reply kutoka kwa wenzio wasiojielewa na mitusi,mitusi haina nafasi hapa mtu mzima unawaza matusi so what tumia hoja sio lugha chafu, mind ua head!!!
 
unajua matusi wewe? angalia kwenye majibu yangu halafu nionyeshe matusi niliyotukana

Huwezi kuona tofauti wewe hujui jema na baya kwako utukane usitukane ni sawa tu unauliza nini wakati ndo maisha yako!!sona haja ya kubishana na wewe huna constructive point kaa mbali!
 
Jitokeze kujiandikisha,shiriki kupiga kura ya maoni wakati utakapofika ili tupate katiba mpya kwa mustakabali wa taifa letu
 
We dogo langu acha kurukaruka mara hii umekua?unajifanya kumsujudia babu eti kwa elimu yake, anakusaidia nini?badala ya kufuatiliq mqmbo yq msingi ya Katiba wewe unakalia Phd kwani nini hiyo?jisimamie mwenyewe jombaa acha kutumika kumpaisha Mtu asiyejijua kila kitu anaprovoke!ukija na masuala ya msingi ntakuelewa lakini sio hizo sound zako za mwisho hapo sijui ndo umeandika ukitokea usingizini??
Tupo mtandaoni heshima tulindiane, mimi sio mdogo wako, Kumbuka hata hapa JF nipo kabla yako, so I am a senior to you. Majibu yalihusu kejeli iliyotolewa kuhusu elimu yake, Degree yake ya PhD sio ya heshima, mtu asikejeli elimu yako, Kuhusu Katiba inaonesha ww ni mweupe haujaisoma, zisome hizo ibara nilizotaja uone ujinga mwingine uliomo homo, usikurupuke kama paka aliyefumwa akiiba mboga, Jiheshimu uheshimiwe
 
Tupo mtandaoni heshima tulindiane, mimi sio mdogo wako, Kumbuka hata hapa JF nipo kabla yako, so I am a senior to you. Majibu yalihusu kejeli iliyotolewa kuhusu elimu yake, Degree yake ya PhD sio ya heshima, mtu asikejeli elimu yako, Kuhusu Katiba inaonesha ww ni mweupe haujaisoma, zisome hizo ibara nilizotaja uone ujinga mwingine uliomo homo, usikurupuke kama paka aliyefumwa akiiba mboga, Jiheshimu uheshimiwe

We chali tu Mwakaboko gani mnafiki kama wewe!na hilo sio jina lako ungekuwa mtu makini ila kwa kukosa uelewa wa mambo unajihami uelewa kuhusu Katiba inayopendekezwa ulio nao wewe ni ule wa kupinga kila kitu, unapinga muungano, mahakama, tume huru, mandate ya prezida,mgombea huru,Misingi ya taifa na kila kitu unachokiona mbele yako!afu unajiita Mwakaboko wa wapi??
 
Back
Top Bottom