Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Acha vurugu,kila mtu anaweza kutoa lugha unayoitumia,Kwa mwendo wako unafikiri inakusaidia instead of being constructive unaharibu!jitahidi kujenga hoja!!
nimeharibu kitu gani wewe, siwapendi watu wenye dharau. Kuna Watz wanakiburi sana miongoni mwao ni pamoja na huyo unayemtetea, kuna hoja uliiona alipost zaidi ya maneno aliyolishwa au na wewe ni walewale ambao hawana uwezo wa kujenga hoja wanaelekezwa namna ya kufikiri?
 
nimeharibu kitu gani wewe, siwapendi watu wenye dharau. Kuna Watz wanakiburi sana miongoni mwao ni pamoja na huyo unayemtetea, kuna hoja uliiona alipost zaidi ya maneno aliyolishwa au na wewe ni walewale ambao hawana uwezo wa kujenga hoja wanaelekezwa namna ya kufikiri?
Mwakaboko uwe muelewa hoja zako hazinaga maana humu,mumekalia ubishi tu kisa umetumwa kupinga lolote kuhusu katiba, kamwe huwezi kufanikiwa kwa kuharibu mambo mazuri, jipange upyaaa
 
Mwakaboko uwe muelewa hoja zako hazinaga maana humu,mumekalia ubishi tu kisa umetumwa kupinga lolote kuhusu katiba, kamwe huwezi kufanikiwa kwa kuharibu mambo mazuri, jipange upyaaa
Nimeharibu kitu gani wewe. Hivi kwa akili yako unaona Katiba kuruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa ni sawa tu, maadili ya viongozi kuwa hovyo hovyo ni sawa tu, eti mbunge ajue kusoma na kuandika, nawe inakuingia akilini?, na unashangilia kama zuzu!!! ushabiki ni mbaya, kumbuka hata juzi kwa ushabiki tu wa kichama walipitisha sheria ambayo pamoja na mambo mengine inacriminate mtu aliyepokea message, ushabiki, ushabiki hubomoa Taifa, ww huna tofauti na Nkurunzinza, ambaye mashabiki wake wamemshawishi aendelee kugombea wakati ni kinyume na Katiba for their own good. Funguka, shamba lako linaliwa, kweli nimeamini huu usemi "The forest will change but the monkey will remain the same." who knows may be unaishabikia for your own good, ILA FAHAMU KUWA WATANZANIA WA LEO SIO MAZUZU and we (TANZANIANS) are not monkey in the forest, but judge yourself who are you in the forest!!!!
 
Nimeharibu kitu gani wewe. Hivi kwa akili yako unaona Katiba kuruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa ni sawa tu, maadili ya viongozi kuwa hovyo hovyo ni sawa tu, eti mbunge ajue kusoma na kuandika, nawe inakuingia akilini?, na unashangilia kama zuzu!!! ushabiki ni mbaya, kumbuka hata juzi kwa ushabiki tu wa kichama walipitisha sheria ambayo pamoja na mambo mengine inacriminate mtu aliyepokea message, ushabiki, ushabiki hubomoa Taifa, ww huna tofauti na Nkurunzinza, ambaye mashabiki wake wamemshawishi aendelee kugombea wakati ni kinyume na Katiba for their own good. Funguka, shamba lako linaliwa, kweli nimeamini huu usemi "The forest will change but the monkey will remain the same." who knows may be unaishabikia for your own good, ILA FAHAMU KUWA WATANZANIA WA LEO SIO MAZUZU and we (TANZANIANS) are not monkey in the forest, but judge yourself who are you in the forest!!!!

Maadili ya kiutu ni yale yanayotakiwa kupatikana katika binadamu yeyote ili aweze kutenda kwa uadilifu kadiri ya utu wake unaomtofautisha na wanyama, yaani hasa akili inayomwezesha kufikiria na kuelewa maana na matokeo ya matendo yake.

Taifa la Tanzania ni miongoni mwa mataifa yanayoheshimika duniani kwa kufuta sheria na taratibu zinazoliongoza taifa. Mwakaboko, Huku ni kujidharau na kujidhalilisha unapowafananisha Watanzania na Nkurunzinza, kwa misingi ipi? Uwe mkweli na ukweli utakuweka huru.

Watanzania ni watu wenye maadili ya kiutu ambayo yanalingana zaidi na maadili ya Kimungu na kijamii ya Kitanzania.

mwakaboko
ni vema kuwa na hofu ya Mungu ndani yako itakayo kuongoza kwenye unyenyekevu ambao utakuondoa kwenye ufinyu wa moyo na kiburi ambacho kinakusumbua kila mara humu JF na nadhani hata nadani ya jamii ndivyo ulivyo.

Maandiko yanasema “Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu” (Math 11:29).
 
Nimeharibu kitu gani wewe. Hivi kwa akili yako unaona Katiba kuruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa ni sawa tu, maadili ya viongozi kuwa hovyo hovyo ni sawa tu, eti mbunge ajue kusoma na kuandika, nawe inakuingia akilini?, na unashangilia kama zuzu!!! ushabiki ni mbaya, kumbuka hata juzi kwa ushabiki tu wa kichama walipitisha sheria ambayo pamoja na mambo mengine inacriminate mtu aliyepokea message, ushabiki, ushabiki hubomoa Taifa, ww huna tofauti na Nkurunzinza, ambaye mashabiki wake wamemshawishi aendelee kugombea wakati ni kinyume na Katiba for their own good. Funguka, shamba lako linaliwa, kweli nimeamini huu usemi "The forest will change but the monkey will remain the same." who knows may be unaishabikia for your own good, ILA FAHAMU KUWA WATANZANIA WA LEO SIO MAZUZU and we (TANZANIANS) are not monkey in the forest, but judge yourself who are you in the forest!!!!
Wewe mvivu wa kusoma, wapi panasema kuwa Katiba inayopendekezwa inaruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa? Nitajie Sura gani na Ibara gani na ni Katiba ipi hyo nayosema hivo, labda unaweza ukawa umejitungia vitu vya ajabu ajabu, maana umeajiriwa na Ukawa kwa kazi ya kuipinga hii katiba, wala cku shangai niwekee ushaidi huo, kama huweki basi wewe hufai humu ndani maana umekali kupotosha umma tuuu.
 
Katiba imekua wimbo wa taifa
Viongozi hawataki maoni na matakwa ya wananchi daaah so sad
But leaders u need to be fair cuz mnaieka nchi kwny mazngira magum
Au mpaka watu wafany bloodsheding
 
Katiba imekua wimbo wa taifa
Viongozi hawataki maoni na matakwa ya wananchi daaah so sad
But leaders u need to be fair cuz mnaieka nchi kwny mazngira magum
Au mpaka watu wafany bloodsheding

Just wait siku ya kupiga kura ukafanye maamuzi yako kama huielewi na kama hujasoma just find your copy usome uelewe ili ukija kuchangia hapa U - identify hoja hizo unazozisema watu tuchangie!
 
Wewe mvivu wa kusoma, wapi panasema kuwa Katiba inayopendekezwa inaruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa? Nitajie Sura gani na Ibara gani na ni Katiba ipi hyo nayosema hivo, labda unaweza ukawa umejitungia vitu vya ajabu ajabu, maana umeajiriwa na Ukawa kwa kazi ya kuipinga hii katiba, wala cku shangai niwekee ushaidi huo, kama huweki basi wewe hufai humu ndani maana umekali kupotosha umma tuuu.
Usidhani kila anayepinga ujinga ni UKAWA, wengine ni ACT, CCM wengine hawana vyama ila ni wazalendo kwa taifa. Kumbe katiba yenyewe hujaisoma unataka nikusaidie, Okay. Kasome ibara ya 29, utaelewa. Kumbe ulikuwa haujaisoma, je, utaelewa utakachosoma? ww ndiye mpotoshaji, kasome na sifa za kuwa mbunge, bila kusahau idadi ya mawaziri, wabunge... halafu eti watu wazima wanahubiri mitaani eti gharama za uendeshaji serikali zimepungua!!! wengine wamekuja na wimbo mpya eti marekebisho yatafanyika mbele ya safari.

ushabiki, ushabiki hubomoa Taifa, ww huna tofauti na Nkurunzinza, ambaye mashabiki wake wamemshawishi aendelee kugombea wakati ni kinyume na Katiba for their own good. Funguka, shamba lako linaliwa, kweli nimeamini huu usemi "The forest will change but the monkey will remain the same." who knows may be unaishabikia for your own good, ILA FAHAMU KUWA WATANZANIA WA LEO SIO MAZUZU and we (TANZANIANS) are not monkey in the forest, but judge yourself who are you in the forest!!!!
 
Maadili ya kiutu ni yale yanayotakiwa kupatikana katika binadamu yeyote ili aweze kutenda kwa uadilifu kadiri ya utu wake unaomtofautisha na wanyama, yaani hasa akili inayomwezesha kufikiria na kuelewa maana na matokeo ya matendo yake.

Taifa la Tanzania ni miongoni mwa mataifa yanayoheshimika duniani kwa kufuta sheria na taratibu zinazoliongoza taifa. Mwakaboko, Huku ni kujidharau na kujidhalilisha unapowafananisha Watanzania na Nkurunzinza, kwa misingi ipi? Uwe mkweli na ukweli utakuweka huru.

Watanzania ni watu wenye maadili ya kiutu ambayo yanalingana zaidi na maadili ya Kimungu na kijamii ya Kitanzania.

mwakaboko
ni vema kuwa na hofu ya Mungu ndani yako itakayo kuongoza kwenye unyenyekevu ambao utakuondoa kwenye ufinyu wa moyo na kiburi ambacho kinakusumbua kila mara humu JF na nadhani hata nadani ya jamii ndivyo ulivyo.

Maandiko yanasema "Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu, kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu" (Math 11:29).
acha kuchezea maandiko matakatifu
 
Eti bana, inatia hasira na kichefu kuona kijana hajui mwelekeo wa taifa lake na wala haoni umuhimu wake. Kazi kupelekwa na mwelekeo wa upepo tu!.
jembe na mwenzio wote mmekosa akili za kufikiri, kibaya hapo ni kipi ktk katiba hiii inayopendekezwa? Nyie mnaonekana mpo kwa maslahi ya matumbo yenu na sio kwa maslahi ya watanzania! Duh hakika njaa zeni hizo zitawaua mwaka huu maana Ukawa wanawatumia kama mifagio ya chooni
 
Usidhani kila anayepinga ujinga ni UKAWA, wengine ni ACT, CCM wengine hawana vyama ila ni wazalendo kwa taifa. Kumbe katiba yenyewe hujaisoma unataka nikusaidie, Okay. Kasome ibara ya 29, utaelewa. Kumbe ulikuwa haujaisoma, je, utaelewa utakachosoma? ww ndiye mpotoshaji, kasome na sifa za kuwa mbunge, bila kusahau idadi ya mawaziri, wabunge... halafu eti watu wazima wanahubiri mitaani eti gharama za uendeshaji serikali zimepungua!!! wengine wamekuja na wimbo mpya eti marekebisho yatafanyika mbele ya safari.

ushabiki, ushabiki hubomoa Taifa, ww huna tofauti na Nkurunzinza, ambaye mashabiki wake wamemshawishi aendelee kugombea wakati ni kinyume na Katiba for their own good. Funguka, shamba lako linaliwa, kweli nimeamini huu usemi "The forest will change but the monkey will remain the same." who knows may be unaishabikia for your own good, ILA FAHAMU KUWA WATANZANIA WA LEO SIO MAZUZU and we (TANZANIANS) are not monkey in the forest, but judge yourself who are you in the forest!!!!
Wewe utabaki kuwa mbumbu na mvivu wa kusoma ndo maana umekuwa mgumu kuelewa, cjui class ulikuwaje asee, duh akili kama zako za kushake well before use ni shidaaaaah!
 
Wewe utabaki kuwa mbumbu na mvivu wa kusoma ndo maana umekuwa mgumu kuelewa, cjui class ulikuwaje asee, duh akili kama zako za kushake well before use ni shidaaaaah!

Wakati mwingine watu kama hawa ni kuwaombea tuu! Maana wanaweza kuwa ni shiiiiiida! ndani ya jamii.
 
Sio kosa lako! Ni vile tu Ubongo wako umejaa jongoo ! Umefikia end of thinking capacity!. Mfyuu.

jembe na mwenzio wote mmekosa akili za kufikiri, kibaya hapo ni kipi ktk katiba hiii inayopendekezwa? Nyie mnaonekana mpo kwa maslahi ya matumbo yenu na sio kwa maslahi ya watanzania! Duh hakika njaa zeni hizo zitawaua mwaka huu maana Ukawa wanawatumia kama mifagio ya chooni
 
Sio kosa lako! Ni vile tu Ubongo wako umejaa jongoo ! Umefikia end of thinking capacity!. Mfyuu.
Eti unajiita jembe, we jembe au mpini? Maana kama ni jembe basi ni lile jembe butu lisilokata, wewe kiazi sana ndo maana mada zako ziko upside down! Pole sana ungekuwa na upungufu wa damu ningekusaidia lakn cwez kukusaidia maana we una upungufu wa akili, ebu jitathmini nkusaidieje wewe kijana ulielishwa uongo na hao maboss wako wa Ukawa?
 
Wewe utabaki kuwa mbumbu na mvivu wa kusoma ndo maana umekuwa mgumu kuelewa, cjui class ulikuwaje asee, duh akili kama zako za kushake well before use ni shidaaaaah!
asante ila fahamu kuwa nina elimu kubwa kuliko wewe na sia ajabu mimi ni mwalimu wako
 
Back
Top Bottom