Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Hakuna cha kuwafanya UKAWA kuhofia katika ibara ya 97 nothing at all!
Waganga njaa wa Ukawa mnajulikana tuu, wazee wa jero jero, hamchoki kuwemo humu ndani njaa zitawaua nyie watoto, duh mnapinga hata yaliyoya kweli, Ukawa yenyewe chali haijielewi kwa sasa mpaka wengine wanajuta kufunga ndoa na Ukawa maana wamekutana na mijitu yenye kupenda madaraka akina Mbowe na Slaa na Mbatia.
 
Ndomana nasema usiangalie upande mmoja tu.
Angalia hili:-
1. Katiba imebainisha kuwa kila mtu anahaki ya kuajiliwa, kwanini useme lazima awe na elimu hii na ujuzi Hui!

2 katiba imesema kila mtu anahaki ya kupata elimu, kwanini wengine wasipokelewe vyuoni kutokana na kufeli!

3 katiba inasema kila mtu anahaki ya kuchahua na kuchaguliwa, mbona urais wameweka kigezo cha elimu.

Hata tufanyeje, hapa wamechemsha mkuu. Tusiwe washabiki yuongee ukweli
Usiisome katiba kama kasuku wewe, hivi lini utaacha uvivu wa kusoma, ndo maana unaelewa vitu nusunusu, sasa kwa styl hiyo hutoelewa hiyo katiba kijana, soma vipengele vyote kwa makini then ujue yaliyomo.
 
Behind the scene ya kila kinachoonekana kuipinga katiba inayopendekezwa na wale wanaojiita UKAWA ipo katiba ibara ya 97

Chanzo cha kuaminika toka katika umoja huo kinasema kuwa, kutokana na mipango ya umoja huo hasa kujidai wanataka nafasi ya urais na kulingana na mipango yao ya baadae kama wanavyojidanganya wataishika dola....ibara hii na vipengele vyake imekuwa ikiwaumiza vichwa na kuwa mwiba mchungu kwenye mikakati yao na hii imekuwa ni moja ya sababu ya wao kuipinga katiba inayopendekezwa na chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vinavyoendelea kukaliwa na umoja huo wanaendelea kuangalia vifungu vinavyoonekana vitakuwa mwiba kwao na kutaka vile vitakavyo onekana vitawasaidia...na pia chanzo hicho kimeeleza kuwa katika vikao vilivyokaliwa hivi karibuni waliweka wasiwasi kutokana na kila ishara inayoonesha katiba hiyo itapita baada ya wananchi kuanza kuielewa na kutambua faida ya yale yaliyomo katika katiba hii

Kuthibitisha ubora wa katiba hiyo umoja huo(UKAWA) umepanga na umeshatoa ombi la kutumika kwa baadhi ya vipengele vilivyo katika katiba inayopendekezwa....baadhi ya sehemu walizoomba zitumike ni

1) Rais kushinda kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1

2) Mgombea huru

3) Matokeo ya Rais kupingwa mahakamani

4) Tume huru ya Uchaguzi..........

Chanzo hicho kimeahid kuendelea kutujuza yale yaliyomo katika makubaliano ya umoja huo...

UKAWA ni MBOWE maana ndiye anayeirimoti. Aidha waikubali katiba ama wasambaratike kwa ibara hiyo.
 
Anakera sana
Amekuwa ni lijitu la vurugu kila kona afu linajifanya linajua kuongea as if mdomo wale umewekewa kifurshi cha OFA MAALUM cha tigo, lkn kwa bahati mbaya yote anayoongeaga ni pumba tupu. Na hakika hafai kuwa kiongozi maana naamini nchi itaingia machafukoni. Hata huyo babu yao Slaa ndo wale wale wazinzi wenye kuiba wake za watu, hivyo hafai kuwa kiongozi maana atatumia ubabe wake kuiba wake za wenzie, Upadremumemshinda atauweza Urais?
 
Tuangalie ukweli bila kushabikia ukawa wala ccm, kiujumla katiba imeharibiwa na kuna vipengele havina maantik, usisapot kitu Kwa kumfurahisha MTU.
Mimi sijadharau asiyesoma, nimelinganisha jinsi wabunge wenyewe wanyojipendelea, elimu kujua kusoma na kuandika halafu mshahara milioni kibao, hata hapo kuelewa kunahitaji darubini?
 
Tuangalie ukweli bila kushabikia ukawa wala ccm, kiujumla katiba imeharibiwa na kuna vipengele havina maantik, usisapot kitu Kwa kumfurahisha MTU.
Mimi sijadharau asiyesoma, nimelinganisha jinsi wabunge wenyewe wanyojipendelea, elimu kujua kusoma na kuandika halafu mshahara milioni kibao, hata hapo kuelewa kunahitaji darubini?
Wewe piga jero jero zako acha kudanganya watu hapa, unaropoka tu eti katiba imeharibiwa ya kwako wewe iko wapi nzuri? Huo ndo upotoshaji wenyewe kwa umma, kwanza we ni nani wa kuwasemea watanzania humu ndani?
 
Mkkta Acha hizo! Kila Mbunge anaumuhimu wake kulingana na wananchi wa jimbo lake walivyoona anafaa, wewe usilaumu Mkatiba, Kazi ya Katiba ni kuwa Sheria mama ya nchi na kutoa miongozo mbalimbali na haimbagui raia wa nchi husika isipokuwa inawapa fursa, wenye sifa hizo za kuwa Wabunge hujitokeza na wakionekana wanafaa na kuchaguliwa na wananchi wawakilishe! Ni wajibu wao kuwawakilisha vema na ipasavyo waliowachagua. Zaidi ya hayo, Wakati wa kuandaa muswada wa sheria, Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Kamati ya Bunge, Kikundi cha Wabunge au Mbunge atahakikisha kwamba anawashirikisha wananchi kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo juu ya muswada huo.
Kwa hiyo, kwa mtazamo wako BUKAMA suala la viwango kwako halima maana? Endapo hatuwezi kuweka viwango husika, hawa wabunge watatunga sheria zipi na kuisimamia serikali vipi iwapo umuhimu wa elimu na weledi tutavidharau? Basi kama ni hivyo hakuna haja ya kuwa na professionalism Tanzania. Tusimlaum daktari endapo amefanya upasuaji na kuacha kitambaa tumboni mwamgonjwa, tusiwalaum Tanesco endapo LUKU hazisomi na tunaishia kulipa gharama kubwa, tusimlaum Magufuri, endapo barabara mbovu zinajengwa na kuharibika muda mfupi, tusimlaum waziri wa elimu endapo wanafunzi wamemaliza kidato cha 4 hawajua kusoma bado. Mimi wewe na wenzio mlojiunga kuanzia mwezi wa tatu 2015 kwa wingi hapa JF naona hamlitakii mema taifa hili. Kwa mtu yeyote mtafiti kidogo anaweza kuona jinsi mnavyoshangilia hata mambo ambayo kwa hekima ya kawaida yanahitaji kuangaliwa upya badala ya ushabiki
 
Kwa hiyo, kwa mtazamo wako BUKAMA suala la viwango kwako halima maana? Endapo hatuwezi kuweka viwango husika, hawa wabunge watatunga sheria zipi na kuisimamia serikali vipi iwapo umuhimu wa elimu na weledi tutavidharau? Basi kama ni hivyo hakuna haja ya kuwa na professionalism Tanzania. Tusimlaum daktari endapo amefanya upasuaji na kuacha kitambaa tumboni mwamgonjwa, tusiwalaum Tanesco endapo LUKU hazisomi na tunaishia kulipa gharama kubwa, tusimlaum Magufuri, endapo barabara mbovu zinajengwa na kuharibika muda mfupi, tusimlaum waziri wa elimu endapo wanafunzi wamemaliza kidato cha 4 hawajua kusoma bado. Mimi wewe na wenzio mlojiunga kuanzia mwezi wa tatu 2015 kwa wingi hapa JF naona hamlitakii mema taifa hili. Kwa mtu yeyote mtafiti kidogo anaweza kuona jinsi mnavyoshangilia hata mambo ambayo kwa hekima ya kawaida yanahitaji kuangaliwa upya badala ya ushabiki
Vitu visivyo na kiwango hakuna anayevikubali isipokuwa aliyevitengeneza. Kwa ujumla tunataka nchi iendeshwe vizuri ili waliowengi wafaidi keki ya Taifa. Hapa kinachokataliwa ni upotoshaji wa maudhui ya Katiba Inayopendekezwa na mchakato mzima wa kutunga Katiba Mpya.
 
Labda nikukumbushe ndugu kuwa huwezi kutengeneza Katiba Inayokubaliwa na kupendwa na watu wote. Hiyo haitakuwa katiba bali kitabu cha hadithi hata ambacho hakipendwi na watu wote. Katiba Inayopendekezwa kura ya ndiyo haiepukiki.
 
Unajifanya kuikataa id yako ulofungua juzi baada ya maboss wako wa Ukawa kukwambia uongeze id nyingine humu ndani, hahahhaha njaaa hiyooo mchumia tumbo na kibaraka wa Ukawa.
You belong to the foolish group, kama unafanya ujinga huo unadhani kila mtu yuko kama ww
 
Mchumia tumbo namba moja wewe unamiliki id nyingi afu unazikataa, we unanambia mimi nina id nyingi umeziona wapi zitaje sasa, wewe ndo unaemiliki Mwakaboko king na hiyo Mwakaboko acha kutuzogoa humu huna lolote umetumwa wewe, ondoa hiyo moja ubaki na moja, njaa itakuua wewe
ukikua utaacha kuandika ujinga huuu
 
Huwezi kuona tofauti wewe hujui jema na baya kwako utukane usitukane ni sawa tu unauliza nini wakati ndo maisha yako!!sona haja ya kubishana na wewe huna constructive point kaa mbali!

haya nakaa mbali endelea kubwabwaja kisiruanimbalizakariamentalistik wewe.
 
You belong to the foolish group, kama unafanya ujinga huo unadhani kila mtu yuko kama ww

Acha vurugu,kila mtu anaweza kutoa lugha unayoitumia,Kwa mwendo wako unafikiri inakusaidia instead of being constructive unaharibu!jitahidi kujenga hoja!!
 
Kwa hiyo, kwa mtazamo wako BUKAMA suala la viwango kwako halima maana? Endapo hatuwezi kuweka viwango husika, hawa wabunge watatunga sheria zipi na kuisimamia serikali vipi iwapo umuhimu wa elimu na weledi tutavidharau? Basi kama ni hivyo hakuna haja ya kuwa na professionalism Tanzania. Tusimlaum daktari endapo amefanya upasuaji na kuacha kitambaa tumboni mwamgonjwa, tusiwalaum Tanesco endapo LUKU hazisomi na tunaishia kulipa gharama kubwa, tusimlaum Magufuri, endapo barabara mbovu zinajengwa na kuharibika muda mfupi, tusimlaum waziri wa elimu endapo wanafunzi wamemaliza kidato cha 4 hawajua kusoma bado. Mimi wewe na wenzio mlojiunga kuanzia mwezi wa tatu 2015 kwa wingi hapa JF naona hamlitakii mema taifa hili. Kwa mtu yeyote mtafiti kidogo anaweza kuona jinsi mnavyoshangilia hata mambo ambayo kwa hekima ya kawaida yanahitaji kuangaliwa upya badala ya ushabiki

Duu jamaa umeandika bonge la ushairi sijui unataka ukimaliza kulisoma mwenyewe unamkabidhi nani?
 
Back
Top Bottom