Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Tupo mtandaoni heshima tulindiane, mimi sio mdogo wako, Kumbuka hata hapa JF nipo kabla yako, so I am a senior to you. Majibu yalihusu kejeli iliyotolewa kuhusu elimu yake, Degree yake ya PhD sio ya heshima, mtu asikejeli elimu yako, Kuhusu Katiba inaonesha ww ni mweupe haujaisoma, zisome hizo ibara nilizotaja uone ujinga mwingine uliomo homo, usikurupuke kama paka aliyefumwa akiiba mboga, Jiheshimu uheshimiwe
Mtu na ndugu mnazozana hahahahahahha kazi ipo.
 
Ingekuwa kapewa ya heshima ningekuunga mkono, ila yy (Dr. W. Slaa) kaisotea hiyo PhD kwa miaka minne au zaidi, hata kama ukimuonea wivu ila yeye kakuzidi elimu hata iweje.Kwenye Katiba Pendekezwa, kasome ibara ya 90 na ile 91 uone vituko vilivyowekwa mpaka nashindwa kuwaelewa akina chenge wanamdanganya nani kuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, How come on earth unamshtaki na kuhoji matokea ya urais ambaye tayari ameapishwa!!!!!

Nashukuru umesoma hiyo ibara ni hatua kubwa sana...ila kuielewa umeshindwa...mwakaboko hebu isome tena usishupalie vitu kama hujaelewa.....hicho unachokisema sio wenzio UKAWA ndio wanakililia kila uchao......
 
We chali tu Mwakaboko gani mnafiki kama wewe!na hilo sio jina lako ungekuwa mtu makini ila kwa kukosa uelewa wa mambo unajihami uelewa kuhusu Katiba inayopendekezwa ulio nao wewe ni ule wa kupinga kila kitu, unapinga muungano, mahakama, tume huru, mandate ya prezida,mgombea huru,Misingi ya taifa na kila kitu unachokiona mbele yako!afu unajiita Mwakaboko wa wapi??
Utapata shida sana kuuliza jina, Hilo jina umelikut, umeliiga na utaliacha hapa hapa baada ya matumizi yako kuisha (maana jina lako lina expiring date) kulitumia, mie nikiendelea nalo kama kawaida maana ni langu sio jina la bandia kama lako la kuiga. Katiba hii pendekezwa wewe haujaisoma ila umelishwa cha kupost hapa JF. Mtu yeyote mwenye sound mind, ambaye hana ushabiki wa chama chochote (wala halindi maslahi yake ya kifisadi) akiisoma hiyo document ya serikali ataona hayo madhaifu makubwa, na tunaposema madhaifu haina maana kuwa kila kilichomo ni rubbish, No. Kuna mazuri yapo ila nami nimekushangaa umetaja maeneo ambayo yana udhaifu mkubwa sana yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho and on top of that ongeza na eneo la maadili nalo liko hovyo hovyo... Halafu kuna watu tunawaambia wanasema eti nao wameona, eti kwa sasa tupitishe tu marekebisho yatafanyika baadaye, very strange ideas,,,,.... the best option is not constitutional amendment but let's start afresh b'se now we have failed the nation
 
Nadhani kunahaja watanzania kuwa watu wa kufikiri wenyewe, na tusiwe watu wakusikiliza MTU kasema nini ili nawewe ukakielezee Kwa watu, utakwama na hutokuwa na hoja ya kuitetea. Hebu angalia hili tuone km ni la ukawa au kero Kwa watanzania wote.
ILI UAJILIWE KAMA MUHUDUMU SERIKALINI NI LAZIMA UWE NA ELIMU KUANZIA FORM FOUR.
LAKINI SIFA YA MTU KUWA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.
KILA MTU ANAELEWA KAZI MOJA WAPO YA BUNGE NI KUTUNGA SHERIA, HUYU MTU AMBAYE HATA COZ MOJA HANA ATATUNGA AU KUPISHA SHERIA ILIYO BORA? Matokeo ndo wanabaki na kuimba bungeni "ndiooooooooo".
Tunapitishiwa sheria mbovu ambazo zinatuumiza sisi.
Tusiwachukie eti kwakuwa ukawa. Hata wewe angalia uone km katiba pendekezwa Kwa ujumla wake inakulinda
 
Nadhani kunahaja watanzania kuwa watu wa kufikiri wenyewe, na tusiwe watu wakusikiliza MTU kasema nini ili nawewe ukakielezee Kwa watu, utakwama na hutokuwa na hoja ya kuitetea. Hebu angalia hili tuone km ni la ukawa au kero Kwa watanzania wote.
ILI UAJILIWE KAMA MUHUDUMU SERIKALINI NI LAZIMA UWE NA ELIMU KUANZIA FORM FOUR.
LAKINI SIFA YA MTU KUWA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.
KILA MTU ANAELEWA KAZI MOJA WAPO YA BUNGE NI KUTUNGA SHERIA, HUYU MTU AMBAYE HATA COZ MOJA HANA ATATUNGA AU KUPISHA SHERIA ILIYO BORA? Matokeo ndo wanabaki na kuimba bungeni "ndiooooooooo".
Tunapitishiwa sheria mbovu ambazo zinatuumiza sisi.
Tusiwachukie eti kwakuwa ukawa. Hata wewe angalia uone km katiba pendekezwa Kwa ujumla wake inakulinda
Wewe umetumwa tuu huna lolote uliloweka hapo juu, Katiba hii imetulia kama kwako wewe ni mbaya pole sana wewe sio ndo mwakilishi wa watanzania wote, wenzio hao Ukawa walokutuma wanakuzunguka maana wameshagundua ukweli kwa,ba inafaa na wataipigia kura ya ndiyo, nakushauri na wewe uisome na kuielewa then siku ya kura kapige ndiyooo
 
Utapata shida sana kuuliza jina, Hilo jina umelikut, umeliiga na utaliacha hapa hapa baada ya matumizi yako kuisha (maana jina lako lina expiring date) kulitumia, mie nikiendelea nalo kama kawaida maana ni langu sio jina la bandia kama lako la kuiga. Katiba hii pendekezwa wewe haujaisoma ila umelishwa cha kupost hapa JF. Mtu yeyote mwenye sound mind, ambaye hana ushabiki wa chama chochote (wala halindi maslahi yake ya kifisadi) akiisoma hiyo document ya serikali ataona hayo madhaifu makubwa, na tunaposema madhaifu haina maana kuwa kila kilichomo ni rubbish, No. Kuna mazuri yapo ila nami nimekushangaa umetaja maeneo ambayo yana udhaifu mkubwa sana yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho and on top of that ongeza na eneo la maadili nalo liko hovyo hovyo... Halafu kuna watu tunawaambia wanasema eti nao wameona, eti kwa sasa tupitishe tu marekebisho yatafanyika baadaye, very strange ideas,,,,.... the best option is not constitutional amendment but let's start afresh b'se now we have failed the nation
Wewe unajijibu mwenyewe, kwanini unafungua ma Id mengi hivyooo, ona sasa umejiita Mwakaboko mara Mwakaboko King which is which? Unaonesha jinsi gani ulivyo mchumia tumbo
 
Nadhani kunahaja watanzania kuwa watu wa kufikiri wenyewe, na tusiwe watu wakusikiliza MTU kasema nini ili nawewe ukakielezee Kwa watu, utakwama na hutokuwa na hoja ya kuitetea. Hebu angalia hili tuone km ni la ukawa au kero Kwa watanzania wote.
ILI UAJILIWE KAMA MUHUDUMU SERIKALINI NI LAZIMA UWE NA ELIMU KUANZIA FORM FOUR.
LAKINI SIFA YA MTU KUWA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.
KILA MTU ANAELEWA KAZI MOJA WAPO YA BUNGE NI KUTUNGA SHERIA, HUYU MTU AMBAYE HATA COZ MOJA HANA ATATUNGA AU KUPISHA SHERIA ILIYO BORA? Matokeo ndo wanabaki na kuimba bungeni "ndiooooooooo".
Tunapitishiwa sheria mbovu ambazo zinatuumiza sisi.
Tusiwachukie eti kwakuwa ukawa. Hata wewe angalia uone km katiba pendekezwa Kwa ujumla wake inakulinda


Mkkta Acha hizo! Kila Mbunge anaumuhimu wake kulingana na wananchi wa jimbo lake walivyoona anafaa, wewe usilaumu Mkatiba, Kazi ya Katiba ni kuwa Sheria mama ya nchi na kutoa miongozo mbalimbali na haimbagui raia wa nchi husika isipokuwa inawapa fursa, wenye sifa hizo za kuwa Wabunge hujitokeza na wakionekana wanafaa na kuchaguliwa na wananchi wawakilishe! Ni wajibu wao kuwawakilisha vema na ipasavyo waliowachagua. Zaidi ya hayo, Wakati wa kuandaa muswada wa sheria, Serikali ya Jamhuri ya Muungano, Kamati ya Bunge, Kikundi cha Wabunge au Mbunge atahakikisha kwamba anawashirikisha wananchi kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo juu ya muswada huo.
 
Ni mtazamo wako mkuu. Ila tafakari upya jinsi bunge lilivyokuwa na kazi nyeti Kwa taifa halafu umpeleke mtu ambaye hata shule hakwenda ila anajua kusoma nakuandika ili akapige kura ya ndio kupitisha sheria km ya makosa ya Mitandao na takwimu.
Bila kumung'unya maneno hii wameiweka ili kujipendelea, namishahala waliyo nayo hata mwenye PHD Inamshinda. Hapa hapapo sawa nasehem nyngine nyingi tu za katiba,
 
Ni mtazamo wako mkuu. Ila tafakari upya jinsi bunge lilivyokuwa na kazi nyeti Kwa taifa halafu umpeleke mtu ambaye hata shule hakwenda ila anajua kusoma nakuandika ili akapige kura ya ndio kupitisha sheria km ya makosa ya Mitandao na takwimu.
Bila kumung'unya maneno hii wameiweka ili kujipendelea, namishahala waliyo nayo hata mwenye PHD Inamshinda. Hapa hapapo sawa nasehem nyngine nyingi tu za katiba,

Je? Kama raia ndani ya nchi yake, huoni kwamba unamkosea haki yake ya kuchaguliwa? kwanini achaguue tu na yeye asichaguliwe? Tuende mbali zaidi unapotaka kuchaguliwa ukubali nawe kuchagua kama amepewa ridhaa na watu wa eneo lake mwache atekeleze haki yake ya kikatiba.
 
Utapata shida sana kuuliza jina, Hilo jina umelikut, umeliiga na utaliacha hapa hapa baada ya matumizi yako kuisha (maana jina lako lina expiring date) kulitumia, mie nikiendelea nalo kama kawaida maana ni langu sio jina la bandia kama lako la kuiga. Katiba hii pendekezwa wewe haujaisoma ila umelishwa cha kupost hapa JF. Mtu yeyote mwenye sound mind, ambaye hana ushabiki wa chama chochote (wala halindi maslahi yake ya kifisadi) akiisoma hiyo document ya serikali ataona hayo madhaifu makubwa, na tunaposema madhaifu haina maana kuwa kila kilichomo ni rubbish, No. Kuna mazuri yapo ila nami nimekushangaa umetaja maeneo ambayo yana udhaifu mkubwa sana yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho and on top of that ongeza na eneo la maadili nalo liko hovyo hovyo... Halafu kuna watu tunawaambia wanasema eti nao wameona, eti kwa sasa tupitishe tu marekebisho yatafanyika baadaye, very strange ideas,,,,.... the best option is not constitutional amendment but let's start afresh b'se now we have failed the nation

Unaandika insha tu,Mwakaboko gani usiyejielewa!taifa litawndelea hata bila wewe tambua kuna watanzania kibao wenye akili wanaojua nchi yao inatakiwa kwenda wapi ndo maana mpaka leo hata wewe unaexist japokua unapinga pinga tu kila jambo afu bado unaishi na kufaidika na mambo hayohayo unayopinga,unakurupuka na kuataja Ibara usizozielewa kisa tu umesoma mstari mmoja tu afu hujaelewa unarukia kujibu hoja!!!
 
Ndomana nasema usiangalie upande mmoja tu.
Angalia hili:-
1. Katiba imebainisha kuwa kila mtu anahaki ya kuajiliwa, kwanini useme lazima awe na elimu hii na ujuzi Hui!

2 katiba imesema kila mtu anahaki ya kupata elimu, kwanini wengine wasipokelewe vyuoni kutokana na kufeli!

3 katiba inasema kila mtu anahaki ya kuchahua na kuchaguliwa, mbona urais wameweka kigezo cha elimu.

Hata tufanyeje, hapa wamechemsha mkuu. Tusiwe washabiki yuongee ukweli
 
Hakuna cha kuwafanya UKAWA kuhofia katika ibara ya 97 nothing at all!
 
Nadhani kunahaja watanzania kuwa watu wa kufikiri wenyewe, na tusiwe watu wakusikiliza MTU kasema nini ili nawewe ukakielezee Kwa watu, utakwama na hutokuwa na hoja ya kuitetea. Hebu angalia hili tuone km ni la ukawa au kero Kwa watanzania wote.
ILI UAJILIWE KAMA MUHUDUMU SERIKALINI NI LAZIMA UWE NA ELIMU KUANZIA FORM FOUR.
LAKINI SIFA YA MTU KUWA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.
KILA MTU ANAELEWA KAZI MOJA WAPO YA BUNGE NI KUTUNGA SHERIA, HUYU MTU AMBAYE HATA COZ MOJA HANA ATATUNGA AU KUPISHA SHERIA ILIYO BORA? Matokeo ndo wanabaki na kuimba bungeni "ndiooooooooo".
Tunapitishiwa sheria mbovu ambazo zinatuumiza sisi.
Tusiwachukie eti kwakuwa ukawa. Hata wewe angalia uone km katiba pendekezwa Kwa ujumla wake inakulinda

Unachoshindwa kuelewa hata yule asiyejua kusoma wala kuandika kuna anachopenda kiwe sheria so mtanzania anahaki ya kushiriki hasa kwenye utungaji wa sheria with regardless na elimu acha kunyanyapaa......naweza nisijue kutafsiri sheria lakini naweza changia in a sense kile nachotaka kitawasaidia wengine.....kumbuk bunge lenyewe sio wote wamesomea sheria kuna walimu kule kuna wahasibu kule kuna watu wa kada mbalimbal...so usitake kumdharau mtu kulingana na elimu yake kwamba hana uwezo wa kuchangia kwenye mambo kama hayo....namchagua ninayemtaka ili mradi najua ataniwakilisha vizuri....acheni dharau...we mwenyewe unaweza kuwa tabula compared na yule asiye na elimu
 
Ndomana nasema usiangalie upande mmoja tu.
Angalia hili:-
1. Katiba imebainisha kuwa kila mtu anahaki ya kuajiliwa, kwanini useme lazima awe na elimu hii na ujuzi Hui!

2 katiba imesema kila mtu anahaki ya kupata elimu, kwanini wengine wasipokelewe vyuoni kutokana na kufeli!

3 katiba inasema kila mtu anahaki ya kuchahua na kuchaguliwa, mbona urais wameweka kigezo cha elimu.

Hata tufanyeje, hapa wamechemsha mkuu. Tusiwe washabiki yuongee ukweli

Kaka nina wasiwasi hata ulichoandika ww kama unakielewa........
 
Nadhani kunahaja watanzania kuwa watu wa kufikiri wenyewe, na tusiwe watu wakusikiliza MTU kasema nini ili nawewe ukakielezee Kwa watu, utakwama na hutokuwa na hoja ya kuitetea. Hebu angalia hili tuone km ni la ukawa au kero Kwa watanzania wote.
ILI UAJILIWE KAMA MUHUDUMU SERIKALINI NI LAZIMA UWE NA ELIMU KUANZIA FORM FOUR.
LAKINI SIFA YA MTU KUWA MBUNGE NI KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA.
KILA MTU ANAELEWA KAZI MOJA WAPO YA BUNGE NI KUTUNGA SHERIA, HUYU MTU AMBAYE HATA COZ MOJA HANA ATATUNGA AU KUPISHA SHERIA ILIYO BORA? Matokeo ndo wanabaki na kuimba bungeni "ndiooooooooo".
Tunapitishiwa sheria mbovu ambazo zinatuumiza sisi.
Tusiwachukie eti kwakuwa ukawa. Hata wewe angalia uone km katiba pendekezwa Kwa ujumla wake inakulinda

Wengi wape si ndo Democracy au vipi?sasa hao unaowataja wewe ndo wanaokubalika kwa wananchi na wanawachagua sasa wewe ni nani upinge maamuzi yao?hebu nipe huo mchango wa hao wasomi unaowataja na unaowataka wewe nu upi?Angalia taarifa ya juzi usiku star Tv waliomtoa mbunge mmoja msomi wa CDM wa Mbozi Magharibi kuhusu matumizi ya mfuko wa jimbo mpaka madiwani wake wakamjia juu na kumpa ultimutum sasa wabunge wasomi dizaini hiyo wapo kibao vyama vyote sio CDM tu hata CUF, CCM pia wapo wasomi na bado wanafanya utumbo sio la kutunga sheria tu, tuache hizo kwa kuwa Bunge ni chombo cha kutunga sheria basi utakuja na agenda ya mbunge kuwa na shahada ya sheria,zinzofanya kazi ni shahada au elimu yao?mbona hao wasomi ndo wanakulostisha?????? Sikuungi mkono hata kidogo.
 
Wewe unajijibu mwenyewe, kwanini unafungua ma Id mengi hivyooo, ona sasa umejiita Mwakaboko mara Mwakaboko King which is which? Unaonesha jinsi gani ulivyo mchumia tumbo
Hakuna unalo lijua unadhani kila mtu ana double IDs kama wewe unayejifanya kuifahamu JF jana. Jina hilo ni jina langu halisi sio la mtandaoni, angalia huyo anayejiita mwakaboko king kajiunga lini!!! tuheshimiane mie sio mchumia tumbo kama wewe najiheshimu najitegemea kim awazo, na sielekezwi niandike nini hapa mtandaoni kama wengine waliojiunga kwa ajili ya Katiba Pendekezwa
 
Unaandika insha tu,Mwakaboko gani usiyejielewa!taifa litawndelea hata bila wewe tambua kuna watanzania kibao wenye akili wanaojua nchi yao inatakiwa kwenda wapi ndo maana mpaka leo hata wewe unaexist japokua unapinga pinga tu kila jambo afu bado unaishi na kufaidika na mambo hayohayo unayopinga,unakurupuka na kuataja Ibara usizozielewa kisa tu umesoma mstari mmoja tu afu hujaelewa unarukia kujibu hoja!!!
kwa heri kumbe ndivyo ulivyofundishwa!!! mimi sio wa level yako, bye
 
Hakuna unalo lijua unadhani kila mtu ana double IDs kama wewe unayejifanya kuifahamu JF jana. Jina hilo ni jina langu halisi sio la mtandaoni, angalia huyo anayejiita mwakaboko king kajiunga lini!!! tuheshimiane mie sio mchumia tumbo kama wewe najiheshimu najitegemea kim awazo, na sielekezwi niandike nini hapa mtandaoni kama wengine waliojiunga kwa ajili ya Katiba Pendekezwa
Mchumia tumbo namba moja wewe unamiliki id nyingi afu unazikataa, we unanambia mimi nina id nyingi umeziona wapi zitaje sasa, wewe ndo unaemiliki Mwakaboko king na hiyo Mwakaboko acha kutuzogoa humu huna lolote umetumwa wewe, ondoa hiyo moja ubaki na moja, njaa itakuua wewe
 
kwa heri kumbe ndivyo ulivyofundishwa!!! mimi sio wa level yako, bye
Unajifanya kuikataa id yako ulofungua juzi baada ya maboss wako wa Ukawa kukwambia uongeze id nyingine humu ndani, hahahhaha njaaa hiyooo mchumia tumbo na kibaraka wa Ukawa.
 
Back
Top Bottom