Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA

Ibara ya 97 ya Katiba Inayopendekezwa inawachefua UKAWA


Huyu pimbi dawa yake kumwacha abwabwaje ajifurahishe nafsi yake na kuendelea kupalilia ujinga wake uliokithiri.

He is overwhelmed by stupidity. Contemptibly foolish is the right description hahah. Clearly he cannot be worth our time!.

CC

Jay Milionea
Mwakaboko King
 
Huyu pimbi dawa yake kumwacha abwabwaje ajifurahishe nafsi yake na kuendelea kupalilia ujinga wake uliokithiri.

He is overwhelmed by stupidity. Contemptibly foolish is the right description hahah. Clearly he cannot be worth our time!.

CC Jay Milionea

Huo ujinga wenu mtauona baada ya watanzania kuamua kwenye sanduku la kura kwa kura ya NDIYO !nchi haiendeshwi kwa hisia zenu!ukilala ukaota then unakurupuka tu na kuleta pumba zako ukifikiri utaeleweka never!
 
wenye below utawajua tu!!! wala hamjifichi, Fahamu kuwa wewe ni mweupe kichwani mwako

Wewe una down!!sasa kipi usichokijua hapo maneno yote uliyosema yakurudie mwenyewe hapo!unataka kupinga nini hujaielewa hiyo ibara au unafanya makusudi uonekane umechangia!
 
Wewe una down!!sasa kipi usichokijua hapo maneno yote uliyosema yakurudie mwenyewe hapo!unataka kupinga nini hujaielewa hiyo ibara au unafanya makusudi uonekane umechangia!

Mpe mpe huyo pasua kichwa maana kazoea kuropoka sana. Anajifanya yeye yupo up. Wapi huyo? Ni miongoni mwa wenye uelewa kidunchuuuuuuuuuuuui!
 
Wewe una down!!sasa kipi usichokijua hapo maneno yote uliyosema yakurudie mwenyewe hapo!unataka kupinga nini hujaielewa hiyo ibara au unafanya makusudi uonekane umechangia!
Huna lolote kichwani mwako, zaidi ya kuelekezwa upost nini mtandaoni. Una below, na sijui kama unajua maana yake, wanaojua wanakucheka ni heri unyamaze kimya, maana una below hivyo huwezi jadiliana na mwenye above
 
Huyu pimbi dawa yake kumwacha abwabwaje ajifurahishe nafsi yake na kuendelea kupalilia ujinga wake uliokithiri.

He is overwhelmed by stupidity. Contemptibly foolish is the right description hahah. Clearly he cannot be worth our time!.

CC

Jay Milionea
Mwakaboko King
Wenye below mbona wanaonekana kwa uwazi sana, angalia mwenyewe wenye above wanawacheka, wachutame wanachekwa kwa upu----mbavu wao
 
Mpe mpe huyo pasua kichwa maana kazoea kuropoka sana. Anajifanya yeye yupo up. Wapi huyo? Ni miongoni mwa wenye uelewa kidunchuuuuuuuuuuuui!
una below, ndiyo maana unasema hivyo. NAJUA UNAJUA KUWA NJUA KUWA UNA Below, mimi nina above. Kwa hiyo sikushangai sana kuona unaandika hovyo hovyo kwa 7bu najua una below
 
una below, ndiyo maana unasema hivyo. NAJUA UNAJUA KUWA NJUA KUWA UNA Below, mimi nina above. Kwa hiyo sikushangai sana kuona unaandika hovyo hovyo kwa 7bu najua una below

Wewe? Labda mwingine, we ni mweupe kama karatasi ya kotolea nakala. Bora ungekuwa sawa na karatasi ya mistari (ruled paper). Ungekuwa sawa na ruled paper ungeringa sana wewe. Any way nisikupe maneno mazito maana std vii unaweza kwenda kuanza kuhangaika kutafuta maneno usiku huu usilale bure!
 
una below, ndiyo maana unasema hivyo. NAJUA UNAJUA KUWA NJUA KUWA UNA Below, mimi nina above. Kwa hiyo sikushangai sana kuona unaandika hovyo hovyo kwa 7bu najua una below
Wewe vp wewe acha hizo mtu mwenyewe mchumia tumbo wewe, huna jipya humu
 
Wewe? Labda mwingine, we ni mweupe kama karatasi ya kotolea nakala. Bora ungekuwa sawa na karatasi ya mistari (ruled paper). Ungekuwa sawa na ruled paper ungeringa sana wewe. Any way nisikupe maneno mazito maana std vii unaweza kwenda kuanza kuhangaika kutafuta maneno usiku huu usilale bure!
unajua na najua kuwa unajua kuwa una below, sasa mimi nitakusaidiaje, una below rudi nyumbani maana una below. Wanaojua maana yake wanakucheka kila unanukuuu post yangu inayokuonesha kuwa yuna below, ndiyo maana unaandika mambo ya hovyo hovyo kama zuzu vile, kuhusu katiba. bye
 
Huna lolote kichwani mwako, zaidi ya kuelekezwa upost nini mtandaoni. Una below, na sijui kama unajua maana yake, wanaojua wanakucheka ni heri unyamaze kimya, maana una below hivyo huwezi jadiliana na mwenye above

Acha kucopy na kupaste mawazo ya watu,uwezo wako mdogo kinachokusumbua hapa ni nini?hujaelewa vifungu au unatafuta umaarufu tu hapa!
 
Huna lolote kichwani mwako zaidi ya below. FAHAMU KUWA UNAJUA KUWA NAJUA KUWA UNA Below, mimi nina above.

Umesoma vifungu hivyo lakini? if Yes pamoja na below yako kula msumari wa moto!Ibara ya 97 inawameza vibaraka wote na mawazo yenu ongeeni lingine!
 
Back
Top Bottom