Hutaki mchakato iwe na watu lakini kwenye hoja zako unazoandika ndani yake unawataja hapo hao ambao huwataki,,"NANUKUU"kajimstari katika hiyo hoja yako hapo juu"Ukweli ukisemwa na "WATU"fulani unageuka unakuwa uongo"Mwisho wa nukuu.Kwa nino una focus kwa watu badala ya ku focus kwenye michakato na matokeo na kuyapima matokeo?
Ukweli ukisemwa na watu fulani unageuka na kuwa uongo?
This is goingbto be an ad h9minem fallacy.
Badala ya kuchambua hoja, unamshambulia mtoa hoja.
Hii fallacy huwa inatumiwa sana na watu wasioweza kujadili hoja na wasio na hoja.
Kwa nini watu wawe muhimu kuliko hoja? Unabisha kwamba dunia haina miaka 4.54 billion?Hutaki mchakato iwe na watu lakini kwenye hoja zako unazoandika ndani yake unawataja hapo hao ambao huwataki,,"NANUKUU"kajimstari katika hiyo hoja yako hapo juu"Ukweli ukisemwa na "WATU"fulani unageuka unakuwa uongo"Mwisho wa nukuu.
Kama hutaki cha mtu, nimekwambia na wewe usitumie alphabet ya watu, anzisha yako.Hizo peer reviewed scientific process na hizo facts umezijuaje kama si kupitia watu??na pia kwani wewe una uhakika ya kuwa dunia ina miaka hiyo uliyoandika??Thibitisha hilo sasa
Kama na wewe umeanzisha ulivyoandika na unavotumia ni vya kwako Hongera mnoo,, kwa kuwa na wewe ni MTU pia,,,acha na wengine wafanye yao kwa upande wao ambao wanaona ni sahihi Iwe wametoa kwa watu au wamebuni wao wenyewe hakuna aliewahi kwisha kuwa sahihi,,yupo sahihi au atakuja kuwa sahihi,,kila MTU ana,,Fikra,,,maono na mitazamo tofauti hatuwezi fanana kamwe.Kama hutaki cha mtu, nimekwambia na wewe usitumie alphabet ya watu, anzisha yako.
Usiandike kwa kutumia alphabet ya watu, usitumie app ya watu, usitumie internet ya watu. Anzisha vyako.
Umeshindwa.
Unajielewa hata wewe mwenyewe unasimamia nini?
Au unawayawaya tu bila muelekeo?
Kama na wewe umeanzisha ulivyoandika na unavotumia ni vya kwako Hongera mnoo,, kwa kuwa na wewe ni MTU pia,,,acha na wengine wafanye yao kwa upande wao ambao wanaona ni sahihi Iwe wametoa kwa watu au wamebuni wao wenyewe hakuna aliewahi kwisha kuwa sahihi,,yupo sahihi au atakuja kuwa sahihi,,kila MTU ana,,Fikra,,,maono na mitazamo tofauti hatuwezi fanana kamwe.
Hoja ipo lakini Ndugu.."kwamba waliofanya huo mchakato ni Akina nani?" Hii hoja nzuri tu.Kwa nino una focus kwa watu badala ya ku focus kwenye michakato na matokeo na kuyapima matokeo?
Ukweli ukisemwa na watu fulani unageuka na kuwa uongo?
This is goingbto be an ad h9minem fallacy.
Badala ya kuchambua hoja, unamshambulia mtoa hoja.
Hii fallacy huwa inatumiwa sana na watu wasioweza kujadili hoja na wasio na hoja.
Zee la fact hujawahi kunifelishaKwa nino una focus kwa watu badala ya ku focus kwenye michakato na matokeo na kuyapima matokeo?
Ukweli ukisemwa na watu fulani unageuka na kuwa uongo?
This is goingbto be an ad h9minem fallacy.
Badala ya kuchambua hoja, unamshambulia mtoa hoja.
Hii fallacy huwa inatumiwa sana na watu wasioweza kujadili hoja na wasio na hoja.
Hakuna jina la mtu mmoja, wanasayansi karibu wote wa jiolojia wameikubali hiyo hoja, sasa unataka nimtaje nani na kumuacha nani?Hoja ipo lakini Ndugu.."kwamba waliofanya huo mchakato ni Akina nani?" Hii hoja nzuri tu.
Kuna Namna fact HAIWEZI kubishaniwa Lakini hizi habari za maoni binafsi sometimes take time to listen even if MTU hawezi kujenga hoja unayotaka wewe
Nakushukuru sana kwa kunielewa.Zee la fact hujawahi kunifelisha
Kiranga ni mmoja tu, ogopa matapeli.
Bro unajua mpk unajua tena πππ
Salam!!! Ungemjibu hivyo yule ndugu angeelewa tu mantiki Yako, Lakini aina Ile ya majibu kwamba hana hoja wakati hoja ipo sidhani kama ilikuwa sawa.Hakuna jina la mtu mmoja, wanasayansi karibu wote wa jiolojia wameikubali hiyo hoja, sasa unataka nimtaje nani na kumuacha nani?
Unaweza kuweka hoja ya kisayansi na kimantiki ya kubishia kwamba dunia ina umri wa miaka bilioni 4.54 ? Kama unaweza, weka hoja hapa tuichambue, utachapisha paper na ukiwa sahihi utapata nishani ya Nobel.
Kama huwezi, huna hoja, una kiroja tu.
Hana hoja. Na wewe huna hoja. Na mimi sipo hapa kum babysit mtu yeyote.Salam!!! Ungemjibu hivyo yule ndugu angeelewa tu mantiki Yako, Lakini aina Ile ya majibu kwamba hana hoja wakati hoja ipo sidhani kama ilikuwa sawa.
NB: Ulimwengu huu una maoni ya watu wengi ambayo si kweli ,Wala si fact Lakini yamekubaliwa na walio wengi kwa sababu moja tu...wakoloni walicolonise utu wetu na taarifa pia...Kila wanachosema wao tunataka kuamini kwamba ni sahihi wakati mengi yao ni concept machache ambayo ni fact and we agree as humans
Piga fimbo za ubongo hao ignorant peopleβsNakushukuru sana kwa kunielewa.
We can be very insular and ignorant as a people, I am here to correct some aspects of that.
Dunia maana yake ni nini?Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.
Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)