Ibrahim Rahbi na Azam na uchambuzi wa mgogoro wa Israel na Hamas

Yule mbilikimbo mkufunzi wa chuo cha Mwalimu nyerere kigamboni, anayesapoti magaidi ya hamas, leo nimemuona tena azam tv akiendelea kulaumu Israel kwamba ndio wakulaumiwa, na haoni kama hamas kushikilia mateka kama wanatakiwa kulaumiwa. hivi chuo cha mwalimu nyerere memorial haya anayoyaongea ndio mmemtuma? huyu si anawasakilisha ninyi?

1. Tanzania kuna watu wanaosapoti Israel, na wengine wanasapoti Palestina,
2. yote hii ni kwasababu ya dini, hivyo hii ni sensitive issue, usikimbilie sana kusimama upande mmoja kwenye public.

3. yeye kama mwajiriwa wa chuo cha serikali, muislam swala tano, anapokuja kushabikia magaidi ya hamas na kuilaumu israel, bila kulaumu hamas walioteka watu na watoto hadi leo wapo mateka, ndio azam wamemtuma kwasababu ni waislam au ni chuo cha mwalimu nyerere ndio wamemtuma kwasababu serikali inaongozwa na waislam hivyo haina shida hata ukiongea masuala ya hisia kwa wakristo maadam rais ni wenu no problem?
 
Kajamaa kaongo kaongo sana kanapendelea sana Iran+Hezbollah+Houth Yemen, hajui kwamba kila mtu anaujua ukweli.
 
Jamaa ni pro - Hamas, pro - Houthi na pro - Hezbollah mkubwa.
Kuna siku alipingwa na mtangazi mmoja wa VOA ( somebody Abdurahman) mpaka Goodluck akaona aibu yeye.
Huwa anajenga hoja bila ushahidi ukimuuliza swali juu ya anachosema anatoka road kinyama goodlucky mwenyewe alishaacha kumuuliza maswali magumu juu ya fafanuzi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…