grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Chagpt yenyewe inasema hivi "During Muammar Gaddafi’s rule (1969–2011), Libya had a relatively high standard of living compared to many other African and Middle Eastern countries. Gaddafi implemented socialist policies that used Libya’s oil wealth to fund public services such as free healthcare, free education, subsidized housing, and interest-free loans. The country also had one of the highest GDP per capita figures in Africa."
Waafrika ni kama vile akili yetu tumeshikiwa na west. Wakisema huyu ni mbaya bai humu watu wanakomaa shingo kuwa ni mbaya hata kama wao wakienda kujifungua wanaambiwa walete pesa wakati wenzao hata operation zisizowezekana kufanyika nchini mwao walikuwa wanasafirishwa kutibiwa nje kwa gharama ya serikali.
True , USA ame destabilize uchumi wa libya kwa sasa hivi Imebaki magofu tu halafu kuna jitu linakwambia aliwahi kuwa kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea , hata ukiangalia wanayoyaita mapinduzi yalifanywa na NATO na kijikundi kidogo cha waasi hawafiki hata 10.