Ilo lokole la kupiga mikelele kwenye jua usisumbuke nalo uyo akisikia kuna udongo unauzwa Arusha anakwenda kununua!!!!!We jamaa sidhan kama una akili timamu ww au uwenda ulikuwa unanyonya wakati wa utawala wa kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo lokole la kupiga mikelele kwenye jua usisumbuke nalo uyo akisikia kuna udongo unauzwa Arusha anakwenda kununua!!!!!We jamaa sidhan kama una akili timamu ww au uwenda ulikuwa unanyonya wakati wa utawala wa kikwete
Kaimbe kwayaa ww una ulijualo zwazwz la mwisho!! Umeacha kukata mauno kwenye nyimbo za kwaya umeamia kwenye propaganda za majina ya kislamu Taifa limebeba zigo kubwa sana.Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni nchi mojawapo yenye matatizo makubwa ya umeme barani Africa??
Zwazwa lengine la kilokole limejitokeza!! Ivi udongo kwasasa kias gani bwashee!!Usimfananishe Traore na Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa Ghadafi
🔹Huyu Ghadafi ndiye aliyeleta majeshi yake kuja kuua Watanzania wakati wa vita ya Uganda
🔹 Alitaka kuufuta ukristu Afrika ili kuleta u Moja wa Africa Moja yenye dini Moja ya kiislamu.
🔹 Alichochea vikundi vingi vya kigaidi afrika kwa kuvipa vifaa na FEDHA hasa vilivyokuwa na mrengo wa dini yake
🔹 Alikuwa anaingilia chaguzi za ndani za nchi za kiafrika kwa kuwapa FEDHA magari kuwarubuni baadhi ya wagombea njaa wabadilishe dini wafuate dini yake au wakubaliane na ajenda zake za kuongiza sheria na mifumo ya dini yake kwenye serikali
🔹 Misaada aliyokuwa anaitoa Africa mingi ilikuwa ya ujenzi wa misikiti na sio Barbara mahospitali au shule za umma.
🔹 Aliwahi kuudhihaki ukristu kati kati ya itali kwa kuwalipa ma changu na kuwabenesha vitabu vya dini yake kuzunguka mitaani wakiimba kuwa dini yake ndio dini sahihi
🔹 Alitengeneza Taifa la mazezeta kwa kutumia rasilimali za nchi kuwahonga vijana wanaotaka kuoa kuwalipia mahari. Haili lilifanya vijana wawe wajinga , kutokufanya kazi na kumwaachia yeye na familia yake rasilimali zote za nchi azitumie apendavyo. Hovyo kabisa ghadafi
Uyo zwazwa wa kilokole yupo kwenye propaganda ya kupinga majina ya kislamu unamjibu nini lokole la kupiga kilele juani!!LIBYA HAIKUWA NA MATATIZO YA UMEME GADAFI AKIWA MADARAKANI
Katika utawala wa Gadafi Libya ndio Nchi pekee Africa ambapo karibikia kila nyumba ilikuwa na umeme
Electricity generation in Libya steadily increased throughout this period, with the total installed capacity reaching 6.8 GW by 2010
Umeme ulianza kusumbua baada ya mabeberu kumtoa madarakani. Katafute data vizuri uone kipindi alichokuwa madarakani umeme ulikuwaje.
Watuachie Capt. Ibrahim Traoré wetu.Kwako rais mzuri ni muoga na asiye msimamo?
Mifano ya kina Kikwete na Uhuru sio?
HAHAHAGAHAHAHAHAHAHAH MTAKUJA KUTUUA NAKUCHEKA BHNLibya ya leo iko kama Ileje
Kwanini mkuuJanja bila shaka home ni porini maana ana harakati za ajabu
Kitu gani alichofanya huko Burkina Faso ambacho kinaoenekana?Watuachie Capt. Ibrahim Traoré wetu.
Sisi tunampenda tu hivyo hivyo hata kama ni propaganda!
Uzuri anafanya vitu vinaonekana kama ilivyokuwa enzi za Hayati JPM Mwamba wa Afrika.
Halafu sijui wanaowapinga hawa Wazalendo huwa wanalipwa na nani!
Adam Schiff aliwahi kuulizwa kilichomkuta Gaddafi alijibu ni kile kile kinachosababisha political unrest kwa mataifa mengine" Ku defy Petrodollar system na Central bank activities".kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Gaddafi hakusiwa Bali alikuwa anatenda Kwa vitendo na ingetokea yu hai mpka Leo nafikiri hakuna nchi Africa ingeizidi Libya Kwa uchumiKama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287
View attachment 3217288
Wewe ni mfia dini. Points zako zote ni za kidini🤔Usimfananishe Traore na Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa Ghadafi
🔹Huyu Ghadafi ndiye aliyeleta majeshi yake kuja kuua Watanzania wakati wa vita ya Uganda
🔹 Alitaka kuufuta ukristu Afrika ili kuleta u Moja wa Africa Moja yenye dini Moja ya kiislamu.
🔹 Alichochea vikundi vingi vya kigaidi afrika kwa kuvipa vifaa na FEDHA hasa vilivyokuwa na mrengo wa dini yake
🔹 Alikuwa anaingilia chaguzi za ndani za nchi za kiafrika kwa kuwapa FEDHA magari kuwarubuni baadhi ya wagombea njaa wabadilishe dini wafuate dini yake au wakubaliane na ajenda zake za kuongiza sheria na mifumo ya dini yake kwenye serikali
🔹 Misaada aliyokuwa anaitoa Africa mingi ilikuwa ya ujenzi wa misikiti na sio Barbara mahospitali au shule za umma.
🔹 Aliwahi kuudhihaki ukristu kati kati ya itali kwa kuwalipa ma changu na kuwabenesha vitabu vya dini yake kuzunguka mitaani wakiimba kuwa dini yake ndio dini sahihi
🔹 Alitengeneza Taifa la mazezeta kwa kutumia rasilimali za nchi kuwahonga vijana wanaotaka kuoa kuwalipia mahari. Haili lilifanya vijana wawe wajinga , kutokufanya kazi na kumwaachia yeye na familia yake rasilimali zote za nchi azitumie apendavyo. Hovyo kabisa ghadafi
Ipo amabyo verified ila kaikacha since decemberNaomba unisaidie tag (@) yake ya X (Twitter) maana kila nikiitafuta nakutana na fakes tu!
Just few google search mkuu haina haja ya kutuonesha ujinga wako, nikusaidie ingia kwenye browser yoyote unayotumia fungua google search engine kisha andika hivi "libya before and after gaddafi" then nenda kwenye upande wa picha .Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287
View attachment 3217288
Halafu cha maana hamna anachofanya,zaidi misifa ya kijeshi.
Alikuwa anafanya kama wao wamarekani wanavyofanya. WAkati obama anakuja hapa kwani si ulinzi wake ulitangulia hadi barabara zinakaguliwa.Ila Gaddafi alikuwa na mbwembwe na mashamsham sana🤣. Kuna mwaka alipoenda kwenye mkutano wa UN Marekani ulitokea mzozo mkubwa sana na serikali ya Marekani kwa sababu walimkatalia kusimika hema lake la utamaduni wa jangwani la Bedouin awe anakaa huko, ndipo Trump akamkodishia moja ya eneo lake aweke hilo tent lake la muda la kuishi.
Chagpt yenyewe inasema hivi "During Muammar Gaddafi’s rule (1969–2011), Libya had a relatively high standard of living compared to many other African and Middle Eastern countries. Gaddafi implemented socialist policies that used Libya’s oil wealth to fund public services such as free healthcare, free education, subsidized housing, and interest-free loans. The country also had one of the highest GDP per capita figures in Africa."Just few googke search mkuu haina haja ya kutuonesha ujinga wako, andika hivi google "libya before and after gaddafi" then nenda kwenye upande wa picha .
Au andika hivi "libya before anf after democracy" then nenda upande wa picha .
Zote nimeandika fact kutokana na alivyokuwa, aliyoyafanya na aliyoyaamini.Wewe ni mfia dini. Points zako zote ni za kidini🤔