Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

We jamaa sidhan kama una akili timamu ww au uwenda ulikuwa unanyonya wakati wa utawala wa kikwete
Ilo lokole la kupiga mikelele kwenye jua usisumbuke nalo uyo akisikia kuna udongo unauzwa Arusha anakwenda kununua!!!!!
 
Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni nchi mojawapo yenye matatizo makubwa ya umeme barani Africa??
Kaimbe kwayaa ww una ulijualo zwazwz la mwisho!! Umeacha kukata mauno kwenye nyimbo za kwaya umeamia kwenye propaganda za majina ya kislamu Taifa limebeba zigo kubwa sana.
 
Weeh mgalatia kwani nchi ikiongozwa na muislam kwako inakua shida sanaa si ndio?
 
Usimfananishe Traore na Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa Ghadafi

🔹Huyu Ghadafi ndiye aliyeleta majeshi yake kuja kuua Watanzania wakati wa vita ya Uganda

🔹 Alitaka kuufuta ukristu Afrika ili kuleta u Moja wa Africa Moja yenye dini Moja ya kiislamu.

🔹 Alichochea vikundi vingi vya kigaidi afrika kwa kuvipa vifaa na FEDHA hasa vilivyokuwa na mrengo wa dini yake

🔹 Alikuwa anaingilia chaguzi za ndani za nchi za kiafrika kwa kuwapa FEDHA magari kuwarubuni baadhi ya wagombea njaa wabadilishe dini wafuate dini yake au wakubaliane na ajenda zake za kuongiza sheria na mifumo ya dini yake kwenye serikali

🔹 Misaada aliyokuwa anaitoa Africa mingi ilikuwa ya ujenzi wa misikiti na sio Barbara mahospitali au shule za umma.

🔹 Aliwahi kuudhihaki ukristu kati kati ya itali kwa kuwalipa ma changu na kuwabenesha vitabu vya dini yake kuzunguka mitaani wakiimba kuwa dini yake ndio dini sahihi

🔹 Alitengeneza Taifa la mazezeta kwa kutumia rasilimali za nchi kuwahonga vijana wanaotaka kuoa kuwalipia mahari. Haili lilifanya vijana wawe wajinga , kutokufanya kazi na kumwaachia yeye na familia yake rasilimali zote za nchi azitumie apendavyo. Hovyo kabisa ghadafi
Zwazwa lengine la kilokole limejitokeza!! Ivi udongo kwasasa kias gani bwashee!!
 
LIBYA HAIKUWA NA MATATIZO YA UMEME GADAFI AKIWA MADARAKANI
Katika utawala wa Gadafi Libya ndio Nchi pekee Africa ambapo karibikia kila nyumba ilikuwa na umeme
Electricity generation in Libya steadily increased throughout this period, with the total installed capacity reaching 6.8 GW by 2010
Umeme ulianza kusumbua baada ya mabeberu kumtoa madarakani. Katafute data vizuri uone kipindi alichokuwa madarakani umeme ulikuwaje.
Uyo zwazwa wa kilokole yupo kwenye propaganda ya kupinga majina ya kislamu unamjibu nini lokole la kupiga kilele juani!!
 
Kwako rais mzuri ni muoga na asiye msimamo?

Mifano ya kina Kikwete na Uhuru sio?
Watuachie Capt. Ibrahim Traoré wetu.
Sisi tunampenda tu hivyo hivyo hata kama ni propaganda!
Uzuri anafanya vitu vinaonekana kama ilivyokuwa enzi za Hayati JPM Mwamba wa Afrika.
Halafu sijui wanaowapinga hawa Wazalendo huwa wanalipwa na nani!
 
Weeh mgalatia udini tuu umekujaa nchi nyng tu za Africa zineongozwa na wagalatia kwani zimefikia robo ya Libya?
Paul Biya wa Cameroon mgalatia mzuri mbn humtolei mfano mpk umrukie Gaddafi?..kwani hakua binadamu Gaddafi?..mpk asiwe alipokosea mwalimu Nyerere je?..hakukoswa koswa kupinduliwa?
 
Afrika inawapenda wazalendo regardless dini zao.
Hayo mambo ya dini mnayaleta nyie.
Kina Lumumba, Mandela, Nkrumah, Ghadafi, Thomas Sankara, Magufuli n.k wote walipendwa sana na Waafrika Wazalendo bila kujali dini zao.
 
Watuachie Capt. Ibrahim Traoré wetu.
Sisi tunampenda tu hivyo hivyo hata kama ni propaganda!
Uzuri anafanya vitu vinaonekana kama ilivyokuwa enzi za Hayati JPM Mwamba wa Afrika.
Halafu sijui wanaowapinga hawa Wazalendo huwa wanalipwa na nani!
Kitu gani alichofanya huko Burkina Faso ambacho kinaoenekana?
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Gaddafi hakusiwa Bali alikuwa anatenda Kwa vitendo na ingetokea yu hai mpka Leo nafikiri hakuna nchi Africa ingeizidi Libya Kwa uchumi
 
Usimfananishe Traore na Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa Ghadafi

🔹Huyu Ghadafi ndiye aliyeleta majeshi yake kuja kuua Watanzania wakati wa vita ya Uganda

🔹 Alitaka kuufuta ukristu Afrika ili kuleta u Moja wa Africa Moja yenye dini Moja ya kiislamu.

🔹 Alichochea vikundi vingi vya kigaidi afrika kwa kuvipa vifaa na FEDHA hasa vilivyokuwa na mrengo wa dini yake

🔹 Alikuwa anaingilia chaguzi za ndani za nchi za kiafrika kwa kuwapa FEDHA magari kuwarubuni baadhi ya wagombea njaa wabadilishe dini wafuate dini yake au wakubaliane na ajenda zake za kuongiza sheria na mifumo ya dini yake kwenye serikali

🔹 Misaada aliyokuwa anaitoa Africa mingi ilikuwa ya ujenzi wa misikiti na sio Barbara mahospitali au shule za umma.

🔹 Aliwahi kuudhihaki ukristu kati kati ya itali kwa kuwalipa ma changu na kuwabenesha vitabu vya dini yake kuzunguka mitaani wakiimba kuwa dini yake ndio dini sahihi

🔹 Alitengeneza Taifa la mazezeta kwa kutumia rasilimali za nchi kuwahonga vijana wanaotaka kuoa kuwalipia mahari. Haili lilifanya vijana wawe wajinga , kutokufanya kazi na kumwaachia yeye na familia yake rasilimali zote za nchi azitumie apendavyo. Hovyo kabisa ghadafi
Wewe ni mfia dini. Points zako zote ni za kidini🤔
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Just few google search mkuu haina haja ya kutuonesha ujinga wako, nikusaidie ingia kwenye browser yoyote unayotumia fungua google search engine kisha andika hivi "libya before and after gaddafi" then nenda kwenye upande wa picha .

Au andika hivi "libya before and after democracy" then nenda upande wa picha .
 
Ila Gaddafi alikuwa na mbwembwe na mashamsham sana🤣. Kuna mwaka alipoenda kwenye mkutano wa UN Marekani ulitokea mzozo mkubwa sana na serikali ya Marekani kwa sababu walimkatalia kusimika hema lake la utamaduni wa jangwani la Bedouin awe anakaa huko, ndipo Trump akamkodishia moja ya eneo lake aweke hilo tent lake la muda la kuishi.
Alikuwa anafanya kama wao wamarekani wanavyofanya. WAkati obama anakuja hapa kwani si ulinzi wake ulitangulia hadi barabara zinakaguliwa.
Gadaffi alikuwa anafanya kile wanachofanya tu wao kwa sababu ela ilikuwepo.
Hii ni according to chatgpt
"During Muammar Gaddafi’s rule (1969–2011), Libya had a relatively high standard of living compared to many other African and Middle Eastern countries. Gaddafi implemented socialist policies that used Libya’s oil wealth to fund public services such as free healthcare, free education, subsidized housing, and interest-free loans. The country also had one of the highest GDP per capita figures in Africa."
Kwa hiyo utaona na kumwita gaidi lakini alitumia vizuri resources za nchi yake kwa wananchi wake. Wakati huo huo kuna nchi kama Nigeria ambayo ndiyo inaongoza kwa uzalishaji wa mafuta AFrika haijaweza kufanya hivyo.
 
Just few googke search mkuu haina haja ya kutuonesha ujinga wako, andika hivi google "libya before and after gaddafi" then nenda kwenye upande wa picha .

Au andika hivi "libya before anf after democracy" then nenda upande wa picha .
Chagpt yenyewe inasema hivi "During Muammar Gaddafi’s rule (1969–2011), Libya had a relatively high standard of living compared to many other African and Middle Eastern countries. Gaddafi implemented socialist policies that used Libya’s oil wealth to fund public services such as free healthcare, free education, subsidized housing, and interest-free loans. The country also had one of the highest GDP per capita figures in Africa."
Waafrika ni kama vile akili yetu tumeshikiwa na west. Wakisema huyu ni mbaya bai humu watu wanakomaa shingo kuwa ni mbaya hata kama wao wakienda kujifungua wanaambiwa walete pesa wakati wenzao hata operation zisizowezekana kufanyika nchini mwao walikuwa wanasafirishwa kutibiwa nje kwa gharama ya serikali.
 
Back
Top Bottom