Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

LIBYA ILIKUWA INAENDA KUWA FIRST CLASS COUNTRY
Ada bure, matibabu bure, nafuta robo dola, usafiri bei rahisi, vijana wasio kuwa na ajira wanapewa hela ya kujikimu. Duty free shops....
Mabeberu walivyo ona anataka kuunganisha Africa wakose raslimali za viwanda vyao; wakamtengenezea zengwe kuwa ni gaidi na kugawa silaha ili wapigane.....
Sasa hivi hao wanalia na kusaga meno....
wanatamani Mungu amrudishe ila ndio hivyo tena hakuna namna!!!
Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni nchi mojawapo yenye matatizo makubwa ya umeme barani Africa??
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Vipi baada ya mr propaganda gaddafi kufariki Libya inaendeleaje saivi mkuu?
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Usimfananishe Traore na Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa Ghadafi

🔹Huyu Ghadafi ndiye aliyeleta majeshi yake kuja kuua Watanzania wakati wa vita ya Uganda

🔹 Alitaka kuufuta ukristu Afrika ili kuleta u Moja wa Africa Moja yenye dini Moja ya kiislamu.

🔹 Alichochea vikundi vingi vya kigaidi afrika kwa kuvipa vifaa na FEDHA hasa vilivyokuwa na mrengo wa dini yake

🔹 Alikuwa anaingilia chaguzi za ndani za nchi za kiafrika kwa kuwapa FEDHA magari kuwarubuni baadhi ya wagombea njaa wabadilishe dini wafuate dini yake au wakubaliane na ajenda zake za kuongiza sheria na mifumo ya dini yake kwenye serikali

🔹 Misaada aliyokuwa anaitoa Africa mingi ilikuwa ya ujenzi wa misikiti na sio Barbara mahospitali au shule za umma.

🔹 Aliwahi kuudhihaki ukristu kati kati ya itali kwa kuwalipa ma changu na kuwabenesha vitabu vya dini yake kuzunguka mitaani wakiimba kuwa dini yake ndio dini sahihi

🔹 Alitengeneza Taifa la mazezeta kwa kutumia rasilimali za nchi kuwahonga vijana wanaotaka kuoa kuwalipia mahari. Haili lilifanya vijana wawe wajinga , kutokufanya kazi na kumwaachia yeye na familia yake rasilimali zote za nchi azitumie apendavyo. Hovyo kabisa ghadafi
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Kwa hiyo maisha ya walibya enzi za gadaffi yalikuwa mabaya kuliko ya Watanzania na sehemu nyingine Afrika? Wewe ni nchi gani afrika ambapo raia alikuwa anapewa posho, elimu bure hata nje ya nchi, afya bure hata utake matibabu ambayo yanapatikana nje ya nchi, posho ya kuanzia maisha baada ya ndoa n.k?
Waafrika mtaacha lini kufuata mkumbo wa West kuwaambia ni nani ni gaidi na ni nani si gaidi? West waliwaambia hata Mandela ni gaidi. Eti West wana list ya magaidi ambapo wanaweza kumweka mtu na kumwondoa kwa maslahi yao na dunia itambue hivyo.
Mujahedin-e Khalq (MEK) - alikuwa kwenye list ya US ya ugaidi baadaye akaondolewa
As long as kijana anafanya anachofanya kwa maslahi ya nchi na raia wake that is all that matters maana hata nchi kama Marekani kila wanachofanya ni kwa maslahi ya marekani ikiwa ni pamoja na kuvamia nchi zingine na kuwaita wengine magaidi.
 
Kikwete aliuza rasilimali gani za Tanzania?
Uhuru aliuza rasilimali gani za Kenya?
Aisee kumbe we bado hujielewi na haujui kabisaaaa hebu kaa kwa kutulia, unakumbuka mabalaa kipindi cha mwaka 2012?

Usiwe unapenda kujibizana kwa vitu ambavyo hujavifanyia utafiti. Ngoja nikufukulie ule waraka enzi za utawala wa Kikwete halafu nikusukumie pm
 
Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni nchi mojawapo yenye matatizo makubwa ya umeme barani Africa??

LIBYA HAIKUWA NA MATATIZO YA UMEME GADAFI AKIWA MADARAKANI
Katika utawala wa Gadafi Libya ndio Nchi pekee Africa ambapo karibikia kila nyumba ilikuwa na umeme
Electricity generation in Libya steadily increased throughout this period, with the total installed capacity reaching 6.8 GW by 2010
Umeme ulianza kusumbua baada ya mabeberu kumtoa madarakani. Katafute data vizuri uone kipindi alichokuwa madarakani umeme ulikuwaje.
 
LIBYA ILIKUWA INAENDA KUWA FIRST CLASS COUNTRY
Ada bure kuanzia primary hadi university, matibabu bure, mafuta ya petrol/diesel robo dola kwa lita, usafiri bei rahisi, vijana wasio kuwa na ajira walipewa hela ya kujikimu, Duty free shops....
Kosa la Gadafi likawa kutaka kuunganisha Africa; mabeberu walivyo ona akiunganisha Africa na kuwatoa usingizini .....watakosa raslimali za viwanda vyao; wakaona wamtengenezee zengwe kuwa ni gaidi na Anamiliki Nuclear...bila ushahidi wowote!
Vijana wa Kiafrica walivyo wajinga (rahisi kuwa manipulate) wakahamasishwa na kupewa silaha ili wapigane.....
Sasa hivi wanalia na kusaga meno.... wanatamani Mungu amrudishe ila ndio hivyo tena hakuna namna!!!
Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni mojawapo ya nchi zenye viwango vya juu sana vya ukosefu wa ajira (unemployment) hasa kwa vijana hali ilyopelekea wawe wanaishi kwa msaada wa TASAF ya Libya??
 
Unafahamu Libya ya Gaddafi ilikuwa ni mojawapo ya nchi zenye viwango vya juu sana vya ukosefu wa ajira (unemployment) hasa kwa vijana hali ilyopelekea wawe wanaishi kwa msaada wa TASAF ya Libya??
Hiyo ni kweli kabisa, Libya ni kati ya Nchi ambazo vijana wengi hawana ajira
Nafikiri kwa sababu ya jangwa, Gadafi alitakiwa awekeze kwenye Viwanda ili vijana wengi wapate ajira...
 
Sijui kwa nini hakuja Dar kwenye mkutano wa Nishati..
Tanzania huwa hawaruhusu watu wenye drama za kisanii kwenye mambo ya Ulinzi na Usalama.

Baada ya mkutano uliofanyika wa South Afrika miaka ile enzi Mkapa ni alipokuwa madarakani, Ghaddaf alipanga kutoka South Africa hadi Libya kwa barabara.

Huko njiani katika kila nchi aliyooita, alikuwa akigawa hela kwa wananchi waliojipanga barabarani kumuona, huku kila wanapopita waki jam mawasiliano.

Msafara wake kwa njia ya barabara ukaendelea hadi kufika Malawi, safai ikaishia hapo. Tanzania haikuruhusu ule msafari kwa namna walivyojipangia.

Ikabidi Ghadaf achukuliwe na ndege, msafara wake ukaelekezwa Mozambique, huko ukapakiwa kwenye meli kurudi kwao Libya.

HIvyo hata huyu dogo mwenye balehe anayejiona 'Komando Joni', yeye pia security strategies and frameworks zake zimekataliwa na wenyeji, hivyo akaona ni bra kutokwenda.
 
Hiyo ni kweli kabisa, Libya ni kati ya Nchi ambazo vijana wengi hawana ajira
Nafikiri kwa sababu ya jangwa, Gadafi alitakiwa awekeze kwenye Viwanda ili vijana wengi wapate ajira...
Hakuwa na akili za kuwekeza kwenye viwanda, yeye alijikita kuwagaia watu vipesa kidogo kidogo ili wabaki tegemezi na chawa kwake. Hata silaha bora na mafunzo bora ya kijeshi aliwapatia kikosi chake cha ulinzi binafsi na eneo la nyumbani kwake tu huku sehemu kubwa ya jeshi akiiacha hovyo kwa sababu ya paronia yake ya kuogopa kupinduliwa.
 
Tanzania huwa hawaruhusu watu wenye drama za kisanii kwenye mambo ya Ulinzi na Usalama.

Baada ya mkutano uliofanyika wa South Afrika miaka ile enzi Mkapa ni alipokuwa madarakani, Ghaddaf alipanga kutoka South Africa hadi Libya kwa barabara.

Huko njiani katika kila nchi aliyooita, alikuwa akigawa hela kwa wananchi waliojipanga barabarani kumuona, huku kila wanapopita waki jam mawasiliano.

Msafara wake kwa njia ya barabara ukaendelea hadi kufika Malawi, safai ikaishia hapo. Tanzania haikuruhusu ule msafari kwa namna walivyojipangia.

Ikabidi Ghadaf achukuliwe na ndege, msafara wake ukaelekezwa Mozambique, huko ukapakiwa kwenye meli kurudi kwao Libya.

HIvyo hata huyu dogo mwenye balehe anayejiona 'Komando Joni', yeye pia security strategies and frameworks zake zimekataliwa na wenyeji, hivyo akaona ni bra kutokwenda.
Ila Gaddafi alikuwa na mbwembwe na mashamsham sana🤣. Kuna mwaka alipoenda kwenye mkutano wa UN Marekani ulitokea mzozo mkubwa sana na serikali ya Marekani kwa sababu walimkatalia kusimika hema lake la utamaduni wa jangwani la Bedouin awe anakaa huko, ndipo Trump akamkodishia moja ya eneo lake aweke hilo tent lake la muda la kuishi.
 
Vipi Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ziko sawa?
Uyo ulokole ndio umearibu kichwa propaganda wkt Gaddafi kasaidia sana Africa misaada mingi sanaa na akuwadai ata Tanzania ametusaidia sana Gaddafi umekwama zwazwa la kununua udongo! Jina la Ibrahim ndio tatizo kwake lkn Akisikia watu wanasifia Nelson Mandela Patrick Lumumba kwame Nkrumah anajisikia swafi lkn akisikia jina la Kislamu anatamani kupasuka mijitu imejaa chuki kama wanakula mavi uko kanisani !!! mwache Apasuke tu lkn kwasasa Mwamba wa AFRICA ndio uyo IBRAHIM TRAOLE, kila kona ya AFRICA anatajwa yeye tu.
 
Libya ya Gadafi ilikuwa
Umeme Bure Kwa raia wote
Huduma za Afya Bure Kwa raia wote
Elimu bure Hadi mwisho wa akili yako
Nyumba za serikali Bure
Ukitaka kuo unapewa pesa ya mahali na ya kuanzia maisha

Hivyo vitu vyote walivyopewa na Bure na Gadafi Sasa hivi hawapati bure

Trump alisema waAfrica na waArabu wajinga sana ukiwapa siraha wanauana wenyewe Kwa wenyewe

Uzuri Trump sio mnafiki na sio mwanasiasa
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
ZWAZWA LA KILOKOLE KWENYE UBOLA WAKO tukiwaambia uko kanisani mnalishwaga upumbavu mnakataaa sasa umekuja kujivua nguo mbele za watu

kinachokuuma kusikia tu jina la Kislamu Gaddafi Ibrahim lkn ukisikia Nelson Mandela Patrick Lumumba Kwame Nkrumah awa ndio asa wapigania haki wa AFRICA !!! Endelea kulishwa upumbavu ipo siku Akili itakurudi lkn kwasasa jua MWAMBA WA AFRICA anaepedwa na waafrika namba 1 uyo ndio
IBRAHIM TRAOLE
 
Back
Top Bottom