Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Dogo kaula tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apiteje kimya sasa?Elezea ulichokishuhudia kwa ulinganisho wa leo.Ndiyo maana ya uwepo wa majukwaa kama haya.Nimeishi libya mwaka 1 na nusu.. enzi za gadaf kipindi ambacho J.Kikwete akiwa rais.. Mleta mada mambo ambayo huyaelewi bora ukapita kimya kimya
Walikua watu wa ndiyo mzee kwa mataifa makubwa...Kikwete na Uhuru walikosa msimamo kwenye nini??
Waliuza nini na nini kwa mfuatano wa kila mmoja?Walikua watu wa ndiyo mzee kwa mataifa makubwa...
Waliongoza kama vibaraka wa mataifa ya nje kiasi cha kujikuta wanauza rasilimali za mataifa yao kirahisi tu
Kikwete aliuza rasilimali gani za Tanzania?Walikua watu wa ndiyo mzee kwa mataifa makubwa...
Waliongoza kama vibaraka wa mataifa ya nje kiasi cha kujikuta wanauza rasilimali za mataifa yao kirahisi tu
We jamaa sidhan kama una akili timamu ww au uwenda ulikuwa unanyonya wakati wa utawala wa kikweteKikwete aliuza rasilimali gani za Tanzania?
Uhuru aliuza rasilimali gani za Kenya?
Ana utoto mwingi sana, cha ajabu zai ni kwamba ameingia kwa kupindua serikali hala kwa Tanzania anashangiliwa zaidi na UVCCM hadi picha zake wameziweka kwenye profiles zao.Sijui kwa nini hakuja Dar kwenye mkutano wa Nishati..
Majuzi tu alienda Ghana kuhudhuria uapisho wa rais mpya, mavazi yake na security detail yake ilikuwa comedy tosha.
Kavaa magwanda, 'mguu wa. kuku' kiunoni, upanga pajani na walinzi kibao waliovaa magwanda, kana kwamba kwenye sherehe ya kuapisha rais jijini Accra hakuna ulinzi
![]()
Gun-wearing Burkina Faso leader Capt Ibrahim Traore sparks concern at Ghana inauguration
Burkina Faso's Capt Ibrahim Traore had a holstered pistol in what some saw a security breach.www.bbc.com
Ungeeleza huo wizi.Hakuna swali la kijinga duniani.We jamaa sidhan kama una akili timamu ww au uwenda ulikuwa unanyonya wakati wa utawala wa kikwete
Sijui kwa nini hakuja Dar kwenye mkutano wa Nishati..
Majuzi tu alienda Ghana kuhudhuria uapisho wa rais mpya, mavazi yake na security detail yake ilikuwa comedy tosha.
Kavaa magwanda, 'mguu wa. kuku' kiunoni, upanga pajani na walinzi kibao waliovaa magwanda, kana kwamba kwenye sherehe ya kuapisha rais jijini Accra hakuna ulinzi.
Halafu mikononi kavaa gloves, anasalimia watu kwa kugonganisha ngumi tu..
View: https://youtu.be/schsRA5aFoc?si=CYvJQnd722Bd9rdg
![]()
Gun-wearing Burkina Faso leader Capt Ibrahim Traore sparks concern at Ghana inauguration
Burkina Faso's Capt Ibrahim Traore had a holstered pistol in what some saw a security breach.www.bbc.com
Kikwete aliuza gesi yote ya lindi na mtwaraKikwete aliuza rasilimali gani za Tanzania?
Uhuru aliuza rasilimali gani za Kenya?
Janja bila shaka home ni porini maana ana harakati za ajabuDogo kaula tayari
Gesi na mikataba ya hovyo- KikweteWaliuza nini na nini kwa mfuatano wa kila mmoja?
Hata huyu ni kibaraka wa UrusiWalikua watu wa ndiyo mzee kwa mataifa makubwa...
Waliongoza kama vibaraka wa mataifa ya nje kiasi cha kujikuta wanauza rasilimali za mataifa yao kirahisi tu
Kama kuna ukweli na si uzushi watakuwa walilogwa.Wanapaswa kufungwa kamba na kuwahishwa kuaguliwa kabla waliowaloga hawajafa.Gesi na mikataba ya hovyo- Kikwete
Mikataba ya hovyo - Uhuru
Ukiwa real lazima usemwe kwa mazuri acheni chukiWacheni ujinga wa kutukuza watu aisee!
Vipi Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ziko sawa?
Sio kweli, urusi ni partner kiusalama.Hata huyu ni kibaraka wa Urusi
Ndiyo yale yale malaya wa bar ana afadhali kuliko malaya wa barabarani.Sio kweli, urusi ni partner kiusalama.