Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

Hivi wafuasi wa kijani kibichi mna shifa gani, adui yenu ni ukweli na misimamo ya haki.
Basi tufanye Kasongo ndiye best Ptesident in Africa kwa furaha yenu.
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Upo kwenye fikra za kitumwa hebu tuambie ubaya wa ghaddafi!
 
Huyu mgalatia asikuumuze kichwa udini tuu umemjaa...ndo angle yake hujamsoma tuu
 
Kwani nini usitolee mfano hapo Zambia taifa ambalo mwanzo mwsh limeongozwa na wagalatia wenzio nini wamefanya?..
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Rubbish
 
Kuwachota akili waAfrica kazi rahisi sana.

Gaddafi aliuwawa kwa mikono ya walibya wenyewe. That speaks volume.
 
Trump alisema waAfrica na waArabu wajinga sana ukiwapa siraha wanauana wenyewe Kwa wenyewe

Unaweza kutupa a credible source ya hii habari yako? Usiseme source "trust me bro".
 
Dah!uwa naheshimu saana mchango wako..ila kwenye Gaddafi hapo Kaka umechemka..na hata huyu wa Burkina Faso,sioni sababu ya kumkosoa Kwa namna hiyo,muda utaongea.
 
Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!

Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287

View attachment 3217288
Parody...
 
Vipi Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ziko sawa?
Ya Ghaddafi na Libya na Waasi.
Waasi walikuwa wameamua Ghaddfi asipoondoka basi Libya inaharibika, Ghaddfi nae akafanya kuwa haondoki Libya kamwe acha iharibike
 
Adam Schiff aliwahi kuulizwa kilichomkuta Gaddafi alijibu ni kile kile kinachosababisha political unrest kwa mataifa mengine" Ku defy Petrodollar system na Central bank activities".
Weka clip au link ya hiyo interview hapa
 
Back
Top Bottom