Fuatilia kwenye mitandao mbalimbali utaona. Kikubwa ni GDP imeongezeka toka 18b $ to 22b $Kitu gani alichofanya huko Burkina Faso ambacho kinaoenekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fuatilia kwenye mitandao mbalimbali utaona. Kikubwa ni GDP imeongezeka toka 18b $ to 22b $Kitu gani alichofanya huko Burkina Faso ambacho kinaoenekana?
Embu tuambie unachokifahamu kuhusu libya maana kila kitu propagandaHizi ndio propaganda Gaddafi alizofanikiwa kusambaza Africa nzima.
Ileje hii hii isiyo na jengo la ghorofa hata moja?Libya ya leo iko kama Ileje
Upo kwenye fikra za kitumwa hebu tuambie ubaya wa ghaddafi!Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287
View attachment 3217288
Na wewe ndo mjinga mwenyewe, mtaji wa CcmBila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa
Wewe na fact 🫲 ........ 🫱Zote nimeandika fact kutokana na alivyokuwa, aliyoyafanya na aliyoyaamini.
RubbishKama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287
View attachment 3217288
Trump alisema waAfrica na waArabu wajinga sana ukiwapa siraha wanauana wenyewe Kwa wenyewe
Hizi ndio propaganda Gaddafi alizofanikiwa kusambaza Africa nzima.
Parody...Kama kuna kiongozi Africa aliyekuzwa, kutukuzwa na kusifiwa sana kwa propaganda za kila aina na uongo mwingi sana barani Africa basi ni Muamar Gaddafi. Huyu bwana aliimbiwa sifa zote kiasi kwamba ungeweza kufikiri aliifanya Libya sawa na peponi ila uhalisia ulikuwa ni tofauti kabisa, alipewa sifa za kila aina ikiwemo kuharibu uchumi wa "mabeberu" Marekani kwa kukataa kuuza mafuta kwa $dola!
Bila shaka sasa aliyerithi nyota yake ya propoganda ni huyu kijana wa Burkina Faso, Ibrahim Traore. Kuna ujinga mwingi sana Africa.
View attachment 3217287
View attachment 3217288
Ya Ghaddafi na Libya na Waasi.Vipi Libya ya sasa na ile ya Gaddafi ziko sawa?