Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?


True , USA ame destabilize uchumi wa libya kwa sasa hivi Imebaki magofu tu halafu kuna jitu linakwambia aliwahi kuwa kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea , hata ukiangalia wanayoyaita mapinduzi yalifanywa na NATO na kijikundi kidogo cha waasi hawafiki hata 10.
 
Ilo lokole la kupiga mikelele kwenye jua usisumbuke nalo uyo akisikia kuna udongo unauzwa Arusha anakwenda kununua!!!!!
Mambo imani yana uhusiano gn na alichoandka? Mbona kama una chuki na imani za watu wengne kwan imani yako haikamiliki bila kupambana na imani za wengne mkuu au bila kutusi imani za wengne
 
Binadamu tunakawaida ya kukinai,tatizo la viongozi wengi wa Afrika hawapendi kuweka mifumo imara ya uongozi wao wanapenda kuimarisha mifumo ya utawala ili waonekane kama Miunguwatu.
Kama Gaddafi angeweka mifumo imara ya uongozi Libya isingevurugika kama ilivyo leo.
 
Ibrahim Traore ni mchawi tu anayebumbabumba.

Tatizo Waafrika wengi wanatapatapa, ni kama wafa maji ambao hata wakiona unywele tu wanaushikilia wasizame.
 
Kwani hata zipokuwa sawa ndio inafanya propaganda na uongo wa kumtukuza Gaddafi kuwa ukweli na uhalisia??
Siku zote ndoa ikivunjika kila mmoja hutafuta mchepuko alioupenda zaidi ili wafunge ndoa. Waafrika wengi ndoa zao (uzalendo) zinategemea wazungu wamesemaje
 
Shida yako ni kwamba unachanganya chuki zako za dini na siasa

Kama Traole ni Muislam na mtoto wako atakuja kuandika comment kama yako kuhusu Traole maana atakuwa tayari ameshalishwa propaganda za uongo kutoka Marekani na Ufaransa kuhusu Traole

Unasemaje kuhusu waasi wa Goma wanaodhaminiwa na Ufaransa na Marekani Ili kuuwa watu na kuiba madini?
 
Kinachoshangaza raia huko Burkina Faso hawalalamiki lakini mashosti wa Ufaransa waliopo Tanganyika wanatoa milio kama wehu.
 
Kijana Acha uongo ndg,kwa Libya hicho unachosikia ni kweli.
Nimekaa wiki 3 yanayosemwa niliweza shuhudia
Hizo wiki 3 ulizokaa huko uliona elimu bure kama Tanzania??
 
Soma vizuri kenge wee na uelewe kabla ya kukurupuka kuchangia. Nimempeongeza Taraore na lawama zote nilizoandika hapo ni za Kiongozi wa hovyo kuwahi kutoka Africa aliyeitwa GHADAFI ( Laana tulah)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…