ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

Wanatagemea kupata uhuru na hall Kwa kila Mtanzania,sio kwa kikundi cha Watu tu..

Wanategemea siku moja Tanzania itakuwa nchi yenye Demokrasia ya kweli inayoheshimu Sheria na haki za Binaadamu
Hakuna demokrasia isiyo na mipaka dogo hapa duniani!! Hapa USA ambako wameanza kupratise demokrasi miaka mingi lakini bado wanalalamika tu. Trump na group lake baada ya kushindwa naye analalamika kuwa hakuna demokrasia kwenye uchaguzi uliyopita!
 
The dawning is soon coming. The impunity shown by these uncooth lots should be tamed as soon as possible as they are sowing elements too poisonous to the Nation. Let them be brought to books!
 
Aim For The Moon, If You Miss, You May Land Among The Stars.
 
Je, wataingilia Kati kweli au Ni blur blur blur tu
Mkuu huu ni moto , dam changa Kama za akina lissu sio za mchezo, combination iliyopo katika mchezo huu sio ya kitoto,unaweza shangaa kwa Kasi ya hajabu shauri hili la ICC likaenda kwa speed ya hatari, maana combination inawatu watata Sana.

So tahalifa Kama hizi sio za kubeza,ukizingatia kwa haraka Sasa ICC wamedisclose information very fast, noma sana
 
Tatizo la hawa wote ni kukosa ubunge, hata siyo criminality. Yaonekana mambo ya uchaguzi hawana hamu nayo tena! Sasa, Lema kukimbilia Kenya ni criminal kiasi cha kufikishwa ICC? Hapa ndo naona kama opposition na hako kabinti ka kijaluo wana matatizo vichwani.

Naiona trend ya ujinga wa wanasheria kuamini kwamba kila kitu kinapatikana mahakamani. Trump kule atakwama, Lissu naye hapa atakwama tu maana badaye ataambiwa tupige kura.
 
Kwa hiyo masanduku mliyoingiza kwennye vituo ambayo yaliwapa ushindi ndo mnaona mlishinda kihalali wakati wananchi waliwakataa licha ya kumnyima lisu media coverage na kumfanyia figisu kibao
 
Hakuna demokrasia isiyo na mipaka dogo hapa duniani!! Hapa USA ambako wameanza kupratise demokrasi miaka mingi lakini bado wanalalamika tu. Trump na group lake baada ya kushindwa naye analalamika kuwa hakuna demokrasia kwenye uchaguzi uliyopita!
Ila hatujasikia serikali ya Trump ikiteka na kuua wagombea wa Democratic.
 
i think they have to say why submit this,who are you,are you not a politics activistt in host county?is this not your way just to backfire yuo didnot won elenction and true democrac is atributed by afrcian ccou rties .
viva tanzania mama tanzania beast shall not surface

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu kashasema pamoja na kusisitiza kwenye kila mkutano wa kampeni wananchi wameishia kugomea mpango wake wa maandamano na sasa anataka maridhiano na rais John Pombe Joseph Magufuli
 
Kwanza mpaka sasa hawaamini hiki kinachoendelea maana hawakutarajia. Hili teyari ni funzo kubwa kwa hawa watu.
 
Tundu kashasema pamoja na kusisitiza kwenye kila mkutano wa kampeni wananchi wameishia kugomea mpango wake wa maandamano na sasa anataka maridhiano na rais John Pombe Joseph Magufuli
Hawajagomea Bali polisi na jeshi waliyazuia kwa nguvu. Wananchi walikuwa ready.
 
Mashetani yanajifariji eti yametoa kipigo.
 
 

Attachments

  • 2616225-f0fa930c2a2605b253589f973da1578b.mp4
    5.7 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…