Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nimewastukia.... Acha waseme mie nala tu!hebu nimuulize huyo dadangu wa rohoni, labda ana taarifa zaidi! eti gfsonwin nani anakula chakula ya babu akiwa hayupo?? lol, hubby wanakurusha roho tu, u r my only man!
Ukitaka kujua utamu wa ngoma??hubby rabekha! nimefika!
uingie ucheze lol! nitachezaje thatha??Ukitaka kujua utamu wa ngoma??
umeona eeeeeee??? hata mtakatifu ivuga naye simsomi kwa sanaa!Kuna haja ya mtakatifu kuboresha mahudhurio.............................
asha dii ndo huyo anaye jiita roulete. hujagundua nini??. waangalie miandiko yao inavyo fanana. miahivi ASHA dii alikuwa ni wa msimu kama katrina.....?
Yeeeebah!!kuanzia sasa hivi atakayefukunyua ndoa ya babu na wakeze, mashoka ya kichogo yatamuhusu!![]()
![]()
hubby, wakuache kwa kweli!![]()
hubby si ulisema utanionjesha we mwenyewe??? nangojea thatha?Waijua raha ya chumvi???
aiseeee!![]()
unajua tena kuna watu wengine wananuna wakijua kama kesho ndo vileeee.....nikatafuta namna ya kujiexpress! Lol
aiseeee!
hebu nimuulize huyo dadangu wa rohoni, labda ana taarifa zaidi! eti gfsonwin nani anakula chakula ya babu akiwa hayupo?? lol, hubby wanakurusha roho tu, u r my only man!