ID za JF bana. . . .

ID za JF bana. . . .

nakungojaje sasa?? karibu sana! dadaangu gfsonwin ana taarifa hizi??

nanikanuna.png
 
hebu nimuulize huyo dadangu wa rohoni, labda ana taarifa zaidi! eti gfsonwin nani anakula chakula ya babu akiwa hayupo?? lol, hubby wanakurusha roho tu, u r my only man!
Nami nimewastukia.... Acha waseme mie nala tu!

Wanatimua mavumbi sisi twalaaaaa.
Wanataka mapinduziiiii,
Na mapinduzi hawayaweziiiiiiii
Usiende mbali namiiiiiiiiiii

Itikia cacico my sugar tafazali
 
Last edited by a moderator:
chase.gif
kuanzia sasa hivi atakayefukunyua ndoa ya babu na wakeze, mashoka ya kichogo yatamuhusu!







hurl.gif


hubby, wakuache kwa kweli!
wakuache.gif
 
Na kwenye maji ya bahari nini hakikosekani?
nimeshangaa kujua hata Kaizer ni muhudhuriaji wa mke wa mudhungu! lol! si kwa ubaya hubby, mimi na wewe mpaka finito!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha Kaizer u have completed my afternoon! lol, kweli kwenye msururu wa mamba mpaka mijusi imo! lol

nanikanuna.png


unajua tena kuna watu wengine wananuna wakijua kama kesho ndo vileeee.....nikatafuta namna ya kujiexpress! LOL
 
hebu nimuulize huyo dadangu wa rohoni, labda ana taarifa zaidi! eti gfsonwin nani anakula chakula ya babu akiwa hayupo?? lol, hubby wanakurusha roho tu, u r my only man!

khaaa! msiri wangu watu wanamlia babu. sijawah kuona kabisa jamani wewe tena? manake hata wale wenye sura za show rum kama erichb52, waliojazia kama Judgement na HorsePower, watulivu kama boss uliwapiga chini, sembuse vigumegume ma dia. sijaona wa kumpiku your hubby Asprin mamito ingawa sasa wewe unawalia wenzio kipunjo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom