Tall Msafi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 230
- 231
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadi
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.
huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.
Ertuglu akiwafikia wameisha
😂😂😂😂😂akiwa na Turgut,wamekwisha
Waturuki wengi sio waarabuUkweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
Waturuki siyo waarabu..ni waturukiWaturuki wengi sio waarabu
We mzee thibitisha kwamba uislam hautoi haki kwa wanawake,Ukweli ni kwamba kijiografia eneo la Uturuki lipo katika mabara mawili, kuna eneo lipo Ulaya na kuna eneo lipo Asia.
Tukija kwenye hoja ya kujiunga katika Umoja wa Ulaya, ni wazi kuwa umoja huu umejengwa chini ya mikataba ya haki za binadamu zinazotambua usawa kwa kila binadamu. Uturuki ina waislam wengi, ndani ya uislam hakuna usawa wa mwanamke na mwanaume.
Kwa muda mrefu Uturuki imekuwa ikitaka kujiunga na huu umoja ila sharti lilikuwa ni kurekebisha sheria zake ili ziendane na zile za umoja wa Ulaya.
Ila kuna hoja iko hapa, members wa EU wana uhuru wa free movement kwa wananchi wa nchi husika, ukimruhusu Turkey kuwa mwanachama, waarabu wanavyopenda Ulaya watakuwa wamepata daraja, hivyo lazima ipigwe spana kwanza.
PUNGUZA UNAZI wa kishamba basi!!! Yaani Samia tayari kashawapeleka Mafisadi CHADEMA???/??Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema
Hata UK wapo raia ambao ni weusi, hivyo basi hata Uturuki waarabu wapo ila sio wengiWaturuki siyo waarabu..ni waturuki
Waturuki siyo waarabu..labda Kama Kuna mwarabu kaomba uraia uturukiHata UK wapo raia ambao ni weusi, hivyo basi hata Uturuki waarabu wapo ila sio wengi
Uturuki ni nchi , yeyote anaweza kuwa raia na kuitwa mturuki, hata mmakonde wa Tandahimba, hivyo basi waarabu waturuki wapoWaturuki siyo waarabu..labda Kama Kuna mwarabu kaomba uraia uturuki
Muungano feki wa Tanganyika na ZanzibarMambo ya wazungu yanakuhusu nini. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unatuvuruga.
Asilimia ngapi!?Uturuki ni nchi , yeyote anaweza kuwa raia na kuitwa mturuki, hata mmakonde wa Tandahimba, hivyo basi waarabu waturuki wapo
Samora anasema ukisikia wazungu wananisifu jua nimewasaliti tyrhuko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.
1.2% , sawa na watu zaidi ya 1.5m ni waarabu au wana asili ya kiarabu, ni kundi la tatu kwa ukubwa nchini UturukiAsilimia ngapi!?