Idadi kubwa ya Waislam (99%) inaweza kuwa kikwazo cha Uturuki kutokuwa mwanachama rasmi wa EU?

Wanatakia nini kujiunga EU! kitu gani wamekosa kwenye nchi yao mpaka watake kujiunga na wanyonyaji! Ni kujidhalilisha tu. Kwani ulaya kuna nini haswaa kwao hawana!


Lakini kwa uwepo wa Erdogan kama Rais sidhani kama ataafiki huu mpango.
 
Waturuki wengi sio waarabu
 
We mzee thibitisha kwamba uislam hautoi haki kwa wanawake,

Tumepewa vichwa tuvitumie kuwaza nyie mnatumia WOWOWO
 
Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema
PUNGUZA UNAZI wa kishamba basi!!! Yaani Samia tayari kashawapeleka Mafisadi CHADEMA???/??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…