Idadi kubwa ya Waislam (99%) inaweza kuwa kikwazo cha Uturuki kutokuwa mwanachama rasmi wa EU?

1.2% , sawa na watu zaidi ya 1.5m ni waarabu au wana asili ya kiarabu, ni kundi la tatu kwa ukubwa nchini Uturuki
Wana asili ya kiarabu,haiwezekani wawe waarab wa uturuki,wahamiaji kwa vizazi,Kama mnyamwezi wa igunga kutoka iran
 
Wana asili ya kiarabu,haiwezekani wawe waarab wa uturuki,wahamiaji kwa vizazi,Kama mnyamwezi wa igunga kutoka iran
Uturuki ni nchi hata wakurdi wapo wenye uraia wa Uturuki, hivyo basi hata waarabu wapo wenye uraia wa Uturuki, hakuna jamii inaitwa waturuki ni nchi ile
 
Nchi zilizo mwanachama wa EU zinakatiba insyofanana kwa kiwango kikubwa na Sheria za nchi na nchi hazimzuii mwananchi wa nchi flani kukosa uhuru changamoto ipo hapo cos uturuki kunamambo anastaili ayarekebishe ambayo ni magumu kwa uturuki cos wao bado wanalinda dini zaidi
 
Naikumbukwe USSR alitaka kuishambulia uk na ufarasa ndio wakaikoa kumbukumbu cremia war
 
Hii ni news ya kuonesha udhaifu wenu enh... Nguvu za Kumshinda Israel mwajisifia alafu mkichokoza mkapigwa kelele Dunia nzima... Muslim hamuwezi kaa mkatulia mnapenda fujo fujo tu mkipata pesa... even tokea enzi dini yenu ilipoaanza... Msemo wenu Convert or Die!
 
Wazungu wanaamini Kobazi bado ustaarabu wao uko chini, na zaidi watatumia Uturuki kama lango la kukimbilia Ulaya kueneza ugaidi.
 
Uturuki yenyewe kuanzia raisi wao hawajakaa kama nchi ya Ulaya kabisa!
Walitakiwa wawe kule jirani na Iran
 
Jumuiya ya Ulaya (EU) una msingi fulani wa ukristo ndani yake kiasi kwamba nchi yoyote, kama Uturuki, ambayo haina huo msingi haiwezi kuruhusiwa kuwa mwanachama.

Ni hii ndiyo inayovuruga si ukristo maana ukristo unaelekea ukingoni huko Ulaya

The rights of lesbian, gay, bisexual, transgender, and queer (LGBTQ) people are protected under the European Union's (EU) treaties and law.

Same-sex sexual activity is legal in all EU member states and discrimination in employment has been banned since 2000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…