Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Tupe ajira mkuu tuache kushinda vijiweniNI KAMA MVE HALI SIO NZURI KABISA NISEME KUANZIA GEN EAC
NIMEKUWA NAIROBI HAPA KATI YAAN VIJANA ASBH MAPEMA WANAKUNYWA VIPOMBE VIKALI MCHANA UNAKUTANANAO NJIAN WANAONGEA WENYEWE AISEE
HAITOSHI HILI JANGA LIMEHAMIA TANZANIA KWA UJUMLA HASA MJI WA DAR ES SALAAM
YAAN HATUKATAI KUNYWA SEMA INAUMIZA SANA HIVI SANA KILA UKIAMKA ASBH UNAKUTA PUB NA MADUKA VIMEJAA VI SMARTGIN NA ILE NYINGNE KALI
NANNYINGINEZO
INATIA SHAKA WAPI TWAENDA KWA KWELI INAUMIZA HATUKATAI WANYWE JE TUNATENGENEZA TAIFA LA VIJANA WALEVI
USINIULIZE NA UZINZI HUKO SIJAFIKA
EE MOLA TUNUSURU WANAWAKO
Kufa hk yao piaMara ya mwisho nimekunywa alcohol yoyote ni January 1 2024, gkasi moja ya Champagne ya kusheherekea mwaka mpya.
Sijanywa pombe tena.
Halafu kila siku naziona pombe, nina Scotch Whisky, Tequila Vodka Gin na wine kwenye home mini bar, nina beer kwenye friji la garage.
Lakinisijaona hata kishawishi cha kunywa pombe.
Na niliamua tu kuacha kunywa, sikulazimika.
Miaka ya nyuma nilikuwa naamua kukaa bila kunywa pombe mpaka miaka miwili.
Katika nchi ambayo pressure ya kunywa pombe ni kubwa sana.
Ukiamua kuacha pombe, unaweza.
Lakini pia, ukiamua kunywa pombe, ni haki yako.
Mkuuu janga kubwaw hilooo mabodaboda wote wa tbovu kawee kwa zena afrikana n wala ugoro mbayq wanaonja smart gin wanapitishia plan hapoo kaa mbali na pkkzao akitoka unaweza hisi dreamlliner imenyanyukaKuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
Niiionyeshwa na dk.mmojq mapafu yanavyokuwa na figo walioathirika a toka sikuhio nlisema wwcha nibaki na cdm.zangy kwa pochiii hukooo hapaaaanaaa huku ntatokq.polepoleeeNI KAMA MVE HALI SIO NZURI KABISA NISEME KUANZIA GEN EAC
NIMEKUWA NAIROBI HAPA KATI YAAN VIJANA ASBH MAPEMA WANAKUNYWA VIPOMBE VIKALI MCHANA UNAKUTANANAO NJIAN WANAONGEA WENYEWE AISEE
HAITOSHI HILI JANGA LIMEHAMIA TANZANIA KWA UJUMLA HASA MJI WA DAR ES SALAAM
YAAN HATUKATAI KUNYWA SEMA INAUMIZA SANA HIVI SANA KILA UKIAMKA ASBH UNAKUTA PUB NA MADUKA VIMEJAA VI SMARTGIN NA ILE NYINGNE KALI
NANNYINGINEZO
INATIA SHAKA WAPI TWAENDA KWA KWELI INAUMIZA HATUKATAI WANYWE JE TUNATENGENEZA TAIFA LA VIJANA WALEVI
USINIULIZE NA UZINZI HUKO SIJAFIKA
EE MOLA TUNUSURU WANAWAKO
Ni haki yao kama wanataka, sasa unataka kuwalazimisha waishi ikiwa hawataki?Kufa hk yao pia
Tanesco hawajaongeza tozo yoyote, yule chizi wenu anayevaa hadi chupi ya bendera ya Taifa ndio mbaya wenu.
Endeleeni kuwachekea ccm, kumbe mpaka sasa Watanzania wengi hamumjui adui yenu ni nani
Doh!huu mwandiko hapana bhanaYAAN NIMEPITIA MOSHI JAMAN HUKO AKUFI WACHAGA WENZANGU TUKO DAR TUPIGE MAOMBII
YAAN ZIK
LE KAMPUNI ZA POMBE KALI ZA VIKOPO KAMA ZIMEZALIWA KULEEKILA AINA IKOO KULEE JOGOOO
MTETEAAA SIJUI
KIWANGO
KIBOKO
KIKALIO HATAREE TUPUUUUU
VIJANA UNAWAONA MTAAAN USIKU WAKEZAO WANALIA UMEMEE HAKUNAAA
NILIENDAA SEHEMU NKAWAKUTA JAMAA ZA HOME WAMEKAA KIKUNDI WANANUNUA GONGO WANACHANGANYA NA VILE VIPOMBE VYA PLASTICK WANAJAZIA NA MBEGE AISEE HATAREE SANAA NILITOAA MACHOZI KWA KWELI
2. HAWALI WAKINYWA SAA NNE ASBH NDOO KIMOJA
3.USIKU UMEME UMEKATA MAZJMA BAADHI YA WAKE ZAO HUJA KUFANZA KAZI HOME NA KUGEUKA WANALIA KAKA WADOGO ZAKOO WALEE WOOTE HAMNA KITU ATA UPIGE TARUMBETA
AISEE NILIUMIAA SANA ANYWAY ALKAH ATUPONYE NA HIILI JANGA
Du hatari hahahahahaKuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
Ww bila shaka ni mbogamboga au mchicha mwiba!?Safisha ungae
Mkuu kaa vizuri uandike comments Zako, maana unaandika kama umelewa vilewakati mwingine tunalalamika hiiizii pombe jaman nilitokea znz majuzi kati pale darajani sijui wameamua kutelekezwa wale vijana ama lah
YYaanmateja kama woteee njenjeee wanaenda sehemu na wanajidunga vila shoboooo..wanauza kwa kiziboo cha soda mzigooo
Nkasema tukilia na hizi pombe kuna ambaoo wanakaribia kufa wakiona watoto zaoo na madawa za kulevya znz na kwingjnekoo
Allah atusaidie tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arusha, Kilimanjaro na Manyara pombe inanyweka kuanzia saa 12 asubuhi yani watu mnaenda mihangaikoni au kanisani jpili unapishana na mtu yuko bwiii kijana wa 28 yrs lkn ukimtizama miguu na mashavu yamevimbiana kama katuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wasipokunywa mapombe watadondokea kwenye mauraibu mengine tu vijana wamevurugwa na ma ccm
Hawa ndo huwa nawaza, wachumba zao wanawezajee kupeana nao denda, khaaaahKuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!