Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wanaojulikana.
Tumia tafsida 😁😁Yaan Akai na dudu Moja miaka mitano akishaikinai tu anatafuta mpyaaa😅😅
We ushazeeka mkuu,embu tulizana utaja fia kwa matiti ya mabinti Lol!!Mwenye anaweza niunganisha nae huyo mtu..
Maana kipindi kile nilienda bongo star search akaniuliza show naiweza nikasema ndio nashangaa hakunitafuta
Daaaah Bora sikuwahi Kujulikana aseee.... Ningepata Tabu Sana na media!!!
Wee kosugi ng'ombe azeeki maini...We ushazeeka mkuu,embu tulizana utaja fia kwa matiti ya mabinti Lol!!
Mkuu sawa ila nyama yake inakua imepungua futa.Wee kosugi ng'ombe azeeki maini...
😁😁😁😁
Hata mm nashukuru kwenye hiyo list sipo mana ingekuwa aibu kwa familia yanguDaaaah Bora sikuwahi Kujulikana aseee.... Ningepata Tabu Sana na media!!!
Amekua mtu mzima sasa hivi,mafuta yamejaa.Enzi za usichana wake alikuwa mzuri sana, sasa hivi kazeeka kawa bongebonge uzuri umetoweka