Sio hivyo tu,kuna athari ya penis kuwa na malfunction umri ukisogea maana hizo dawa zinalazimisha jamaa afanye kazi beyond its capability.π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππππππ
Hayo yote matatu mkuu yamenikuta sna tu hiyo ya moyo kwenda kasi ndo daah mara nyingi baada ya mda flan kumeza dawa
Basi mkuu huanzaga hivyo hivyo.
Kwani presha ya kupanda na kushuka hutokea kwa siku moja??
Jibu hapana.
Usitumie mkuu tumia vitu vya asili na milo asili.
Mbona mie sijai tumia na naenda till 5 rounds!?