Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

🙄🙄🙄Embu nitajie umetumia mazaga yapi na yapi?
Pia nikuoneshe dalili za kuanza hayo madhara,maana madhara yake huwa ni gradually ila ukifika kuwa mzee kuanzia 55+ yanakua rapid,maana kuanzia umri huo mara nyingi viungo vinapungua ufanisi kuanzia ndani mpaka nje.
Acha uchawi wako...
Unataka kuanza kunitisha mapema yote hii 😁😁😁😁
Nimetumia viagra mara nyingi
 
Mkuu umemsahau Paul Kagame akicheza naye stejini akiwa nusu uchi ubelgiji 2015
shi2.jpg


mrangi Proved King Kong III zitto junior Jestkilla Leratoo Smart911
 
Acha uchawi wako...
Unataka kuanza kunitisha mapema yote hii 😁😁😁😁
Nimetumia viagra mara nyingi
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️😂😂Nina maswali matatu mkuu;
1)Je hukuwa ukihisi kuchoka sana ama kupata uchovu mkubwa ukimaliza game?
2)Je hukuwahi kuhisi moyo kuwa mzito ama kudunda haraka hata mara moja?
3)Je hukuwahi hisi maumivu sana katika mishipa ya mjamaa??

Sikutishi mkuu nimeshuhudia watu wakipoteza life ila sana sana umri kuanzia 55+ kwa utumizi wa viagra.
Hata huyo shekhe ilikua vivyo hivyo ila yeye alikua na 60s.
 
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️😂😂Nina maswali matatu mkuu;
1)Je hukuwa ukihisi kuchoka sana ama kupata uchovu mkubwa ukimaliza game?
2)Je hukuwahi kuhisi moyo kuwa mzito ama kudunda haraka hata mara moja?
3)Je hukuwahi hisi maumivu sana katika mishipa ya mjamaa??

Sikutishi mkuu nimeshuhudia watu wakipoteza life ila sana sana umri kuanzia 55+ kwa utumizi wa viagra.
Hata huyo shekhe ilikua vivyo hivyo ila yeye alikua na 60s.
🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hayo yote matatu mkuu yamenikuta sna tu hiyo ya moyo kwenda kasi ndo daah mara nyingi baada ya mda flan kumeza dawa
 
Back
Top Bottom