Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

Bora nife kifuani mkuu...
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Unaujua mkongo weww
Ndugu nakupa ushauri wa last,iwe mkongo iwe Viagra,huwa hizo dawa zina mtindo wa ku-disturb systematic circulation kwa kuongeza kani umeme ya moyo,mwishowe unapata shinikizo la damu la ghafla na unadedi umedinda.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธBabu yetu tunakupenda ila haupendeki unataka kututia aibu aiseee!!
๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ Embu nimuite Ms R aje aone babu yake alivyo wa hovyo.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿšฌ๐Ÿšฌ Nimaeanza kutumia hayo mazaga mda sana mkuu..

Na mpaka umri huu bado natumia sijaona hiyo effect unayosema wewe
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿšฌ๐Ÿšฌ Nimaeanza kutumia hayo mazaga mda sana mkuu..

Na mpaka umri huu bado natumia sijaona hiyo effect unayosema wewe
๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„Embu nitajie umetumia mazaga yapi na yapi?
Pia nikuoneshe dalili za kuanza hayo madhara,maana madhara yake huwa ni gradually ila ukifika kuwa mzee kuanzia 55+ yanakua rapid,maana kuanzia umri huo mara nyingi viungo vinapungua ufanisi kuanzia ndani mpaka nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ