Idadi ya Wanaume waliotoka kimapenzi na Shilole

Acha uchawi wako...
Unataka kuanza kunitisha mapema yote hii 😁😁😁😁
Nimetumia viagra mara nyingi
 
Acha uchawi wako...
Unataka kuanza kunitisha mapema yote hii 😁😁😁😁
Nimetumia viagra mara nyingi
πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚Nina maswali matatu mkuu;
1)Je hukuwa ukihisi kuchoka sana ama kupata uchovu mkubwa ukimaliza game?
2)Je hukuwahi kuhisi moyo kuwa mzito ama kudunda haraka hata mara moja?
3)Je hukuwahi hisi maumivu sana katika mishipa ya mjamaa??

Sikutishi mkuu nimeshuhudia watu wakipoteza life ila sana sana umri kuanzia 55+ kwa utumizi wa viagra.
Hata huyo shekhe ilikua vivyo hivyo ila yeye alikua na 60s.
 
πŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Hayo yote matatu mkuu yamenikuta sna tu hiyo ya moyo kwenda kasi ndo daah mara nyingi baada ya mda flan kumeza dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…